[emoji23] [emoji23] [emoji23] manyoya yangu unayatakia nini[emoji23][emoji23][emoji23] hapo ndio ninapotamani kudai picha
Kwako utakiwa mwnyew usjalKwangu sitaki nina wivu mie hizo mambo siziwezi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nije wapi?Nataka njo basi[emoji57]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ngoja niwe msomajiHao wanaitwa chukuchuku jje's atakuwa anawajua....
Kuna kawimbo wakati tunawachimba tunaimba..
Chukuchuku toka .... wanaitikia tokaaa.
Noma saana.
Sio chuchu tu... wapiga puchu watatoa ushuhuda. Karibuni.
Haha umenikumbusha kipindi nasoma nimekaa zangu kumbe kifungo cha juu kimeachia sina habari alikuja mdada akaniambia mshipa naomba ufunge hicho kifungo unanidisturb sana au ukakae sehemu nyingine nisione hizo nyweleNiyaone tu jaman ya kifuani yapo eenh
Shikamoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi hii miaka 45 niliyokuwa nayo nitajihesabia me ni kabinti special jaman
[emoji23] [emoji23] [emoji23] asante nakujaHapa jamani uchukue mbona mshipa muoga wewe
Fuku fuku toka mama yako kajaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] tupoooooo
Wapo wale wengine wanakaa kwenye maji,mtoni au ziwani vinang'ata kweli[emoji23] kakishakung'ata kachuchu kanavimba unajipa moyo manyonyo yanakua makubwa kumbe uvimbe
Watoto wa siku hizi hawajui hizi mana wanashinda kwenye shule zao za English medium wakitoka jion wanaungia kwenye mageti yao hawakutani na fukufuku
Jaman ungenitag huu mchezo huu wa fukufuku umenikumbusha mbali kuna siku nilichukua ndulele nikaweka nikafunga kamba wewe mtoto nikawa na tutiti[emoji23][emoji23][emoji23] hapo ndio ninapotamani kudai picha
He he ebu weka pichaHaha umenikumbusha kipindi nasoma nimekaa zangu kumbe kifungo cha juu kimeachia sina habari alikuja mdada akaniambia mshipa naomba ufunge hicho kifungo unanidisturb sana au ukakae sehemu nyingine nisione hizo nywele