Wahenga mpooooo


Watoto wa siku hizi waemkulia ndani ya Perving Blocks na Tiles sidhani kama wanawajua FUKUFUKU.
 
[emoji1] [emoji1] watoto wa siku hizi watajulia wapi michezo wakati wanachezea laptop na midori inayoongea[emoji1]
Sie tulichezea udongo,na mwanasesere wa vitambaa na makaratasi
Niliangaika sana kukutafutia fukufuku kipindi kile nahisi ni wakati mubashara nijionee wale fukufuku walikuwa real au wa kichina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…