Wahenga mpooooo

[emoji3][emoji3]
 
[emoji1] [emoji1] watoto wa siku hizi watajulia wapi michezo wakati wanachezea laptop na midori inayoongea[emoji1]
Sie tulichezea udongo,na mwanasesere wa vitambaa na makaratasi
Ahahhaha hawafaidi kabisa utoto wao
 
Ahahhahah unatamani urudi kuwa mtoto
 
na enzi hizo bint anatoka home kwenda teka maji mtoni kava chingolingoli sio hawa wa kuoga kwenye beseni
 
na enzi hizo bint anatoka home kwenda teka maji mtoni kava chingolingoli sio hawa wa kuoga kwenye beseni
Mkuu umeniacha kwenye mataa chingolingoli ndio nini tena
 
Mhhh,umewaza nn na mada yako ya fuku fuku,long sana miaka ya 80+ kule home tunawaita " nyasinde"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…