Wahenga mpooooo

Wahenga mpooooo

Hahahahaa! Aisee umenikumbusha mbali, kipindi nipo mdogo hizo mambo nimezifanya sana.
Nakumbuka tulikuwa twapiga piga Pembeni ya kishimo huku twaimba wimbo wa kumtoa huyo mdudu (atoke ampokee mgeni)
Na kweli baada ya muda anatoka [emoji2] [emoji2]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] tupoooooo
Wapo wale wengine wanakaa kwenye maji,mtoni au ziwani vinang'ata kweli[emoji23] kakishakung'ata kachuchu kanavimba unajipa moyo manyonyo yanakua makubwa kumbe uvimbe

Watoto wa siku hizi hawajui hizi mana wanashinda kwenye shule zao za English medium wakitoka jion wanaungia kwenye mageti yao hawakutani na fukufuku
Wale weusi wanakaa.kwenye mto wanapiga chenga daah umenikumbusha mbali sana.Tukiwa wadogo tulikuwa tunawashika tunawaweka kwenue.chuchu wanauma hao hatari.Wasichana walikuwa wanataka chuchu zao.zichomoze sisi wavulana tulikuwa tunafuata mkumbo.
 
Hivi mnakumbuka hawa wadudu fuku fuku jaman tulikuwa tunawaweka kwenye maziwa kipindi tupo wadogo ili tukikuwa maziwa yawe makubwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Pembeni ya nyumba yetu nikitoka tu nakuta wamefukua naanza sasa fuku fuku fukua [emoji3][emoji3][emoji3] akitokea namuweka kwenye chuchu jaman utoto raha kifua cheupee hakina nyonyo eti maziwa yawe makubwa ila wakishua sijui kama mnawajua hao wadudu
30492c466fb595c7dbc648a719060eb1.jpg
Tulimwitaga 'pambakuku', nikikumbuka hadi raha. Ule ulikuwa utoto wa kweli, sio watoto wa siku hizi, utandawazi umewapora utoto wao, wanakomazwa wakingali wachanga
 
Hahahahaa! Aisee umenikumbusha mbali, kipindi nipo mdogo hizo mambo nimezifanya sana.
Nakumbuka tulikuwa twapiga piga Pembeni ya kishimo huku twaimba wimbo wa kumtoa huyo mdudu (atoke ampokee mgeni)
Na kweli baada ya muda anatoka [emoji2] [emoji2]
Ahahahha muhengaaaa
 
Back
Top Bottom