Bonny
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 13,370
- 29,968
Unanchukulia poa enhee, Mie nmesoma enz hzo shulen kuna chipukiz unawajua weweKama nakuona dalali kwenye kazi yake hivi lakini we si wa kishua hao fukufuku umewajulia wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unanchukulia poa enhee, Mie nmesoma enz hzo shulen kuna chipukiz unawajua weweKama nakuona dalali kwenye kazi yake hivi lakini we si wa kishua hao fukufuku umewajulia wapi
Na sa hivi bado unayahitaji matiti makubwa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] fuku fuku kiboko hao wa mtoni sijawahi waona yaan fuku fuku wa kwenye nyumba nikitoka tu nje nakuta wameshafukua naanza sasa kuimba na kuwaweka kwenye nyonyo uking'atwa unajisikia raha unaona nyonyo litakuwa
Watoto wa sasa hivi kweli hawafahidi michezo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wanaangaika kutafuta vumbi la mkongo kuondoa bamia ... kwanini wasimtumie mdudu huyo aliyefanya vizuri na kutoa majibu kwa kukuza matiti ya wadada wa zamani (kamanyola) ili waondoe tatizo sugu la vibamia?
Yeeesu rua!Hao wa mtoni minah wanafanaje me siwajui halaf minah we ni wa kishua ndio mana huwajui
Kucheza mtoni raha jaman
Wakati wa likizo tukienda zamu shule ,Tulikuwa tunavua uniform tunafua ,wakati tunasubir zikauke tunajiekea wadudu Sasa
Bwy.. Nilimaliza 2006
Arusha kuna mito mingi.... kila unapopita utakutana na mto... hiyo shule kuna mito miwiliHawa wa wadudu wa mtoni nahisi mikoani ndio wanapatikana kwa wingi
Maskini pole dawa yake ninayoNayahitaji mkuu yaan pamoja na kuweka fukufuku matiti makubwa hayakuja vipo vititi tudogo
Nahisi hao wanapatikana sana mikoani kwenye mito mingiYeeesu rua!
Wakishua ? Hapana
Naic kama Kuna baadhi ya vitu havipo kila mahali ndo maana cwajui na Wewe pia chora baruaaa hawajui
Niwadudu weuc ivi wanakuaga Mara nyingi mtoni
Wanavyopita umo kwenye maji wanakua kama wanachora