Wahenga naomba jina la hicho kifaa?

Tuliita kiberiti cha gas. Japo kilitumia mafuta ya taa
 
Kiberiti cha mafuta ya taa. Baba angu alikuwa ana kimiliki then kuna roller ambayo ukizungusha unaweka kijiwe maalumu kwa kutoa Sparks ambacho huwa kinaisha. Mafuta ya taa unaweka kwenye utampi kwa chini na yananyonywa.
 
kabla utaalamu wa gesi haujashika kasi hicho kiberiti ndio kilikuwa kikitumika kina utambi na unaweka mafuta ya taa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…