Wahenga tu: Katika awamu 5 za serikali ya JMT zilizopita ipi unaikubali zaidi kwa Utendaji uliotukuka?

Wahenga tu: Katika awamu 5 za serikali ya JMT zilizopita ipi unaikubali zaidi kwa Utendaji uliotukuka?

Awamu ya pili ndio msingi wa maendeleo ya leo

1) vision 2025 andiko lake lilianza 1994
2) Soko huria liliasisiwa 1992
3) Structural Adjustment Program (SAP) ni kazi ya Mzee Mwinyi kuachana na mfumo mfu wa ujamaa
4) fursa ya kurudishwa vyama vingi vya siasa na mabadiliko mengi ya kiuchumi yalikuwa wakati wa Mwinyi
5) Mchakato wa kupunguza wafanyakazi ili uwiano wa wafanyakazi na kazi wafanyazo ulingane na waliopo waweze kuboreshewa maslahi uliasisiwa 1993-95
6) Uhuru wa kujieleza na kukosoa ukatamalaki
7) Mapambano dhidi ya rushwa hadi kufikia kufukuza baraza lote la mawaziri kwa kuthiri kwa rushwa hapo Jan 1990
8)kuanzisha mchakato wa kuachana na Idara ya kodi na kuanzisha Mamlaka ya kodi ulianza wakati wa Mwinyi na kuzinduliwa 1996 muda mchache baada ya Mkapa kuwa Rais
9) kulizika Azimio la kishamba la Arusha
10) Uchumi kuchangamka na Rais kuanza kujenga na kufunga sana kwa shughuli binafsi
Hata mchakato wa kuanzisha TRA ulianzia hapa!
 
Nimekuelewa kwa sababu hukuwepo awamu ya kwanza.

Kila hitaji lilikuwepo tena Made in Tanzania.
Sasa unauliza wakati tayari unaonekana una upande ..... Anyway, sema awamu ipi ilikuwa bora kuliko zingine, siyo Utendaji uliootukuka. Kama tungpata serikali ya aina hiyo ten kwa sasa tungelikuwa mbali sana ......!!
 
Awamu ya pili ndio msingi wa maendeleo ya leo

1) vision 2025 andiko lake lilianza 1994
2) Soko huria liliasisiwa 1992
3) Structural Adjustment Program (SAP) ni kazi ya Mzee Mwinyi kuachana na mfumo mfu wa ujamaa
4) fursa ya kurudishwa vyama vingi vya siasa na mabadiliko mengi ya kiuchumi yalikuwa wakati wa Mwinyi
5) Mchakato wa kupunguza wafanyakazi ili uwiano wa wafanyakazi na kazi wafanyazo ulingane na waliopo waweze kuboreshewa maslahi uliasisiwa 1993-95
6) Uhuru wa kujieleza na kukosoa ukatamalaki
7) Mapambano dhidi ya rushwa hadi kufikia kufukuza baraza lote la mawaziri kwa kuthiri kwa rushwa hapo Jan 1990
8)kuanzisha mchakato wa kuachana na Idara ya kodi na kuanzisha Mamlaka ya kodi ulianza wakati wa Mwinyi na kuzinduliwa 1996 muda mchache baada ya Mkapa kuwa Rais
9) kulizika Azimio la kishamba la Arusha
10) Uchumi kuchangamka na Rais kuanza kujenga na kufunga sana kwa shughuli binafsi
Mengi uliyoandika hapo juu yamo ndani ya SAP. Labda kama umepitiwa kuhusu maudhui ya SAP!
 
Sasa unauliza wakati tayari unaonekana una upande ..... Anyway, sema awamu ipi ilikuwa bora kuliko zingine, siyo Utendaji uliootukuka. Kama tungpata serikali ya aina hiyo ten kwa sasa tungelikuwa mbali sana ......!!
Hakuwepo ndio maana nampa ufafanuzi kidogo kwa sababu Mkapa alikuwa mwanafunzi wa Mwalimu Nyerere!
 
Kwangu ni awamu ya kwanza, kodi yangu ilitumika vema maana nilienda Shule bora bure(kila kitu unakikuta Shuler,ukimaliza daftari unampelekea mwalimu wa vifaa anakagua karatasi zipo zote 24 anasaini na wap unapewa jipya, uniforms etc etc),chuo nimesoma Bure momm na chakula kizuri pale cafeteria!,Mkwawa CNE ninasoma huku ninalipwa kichele, JKT napo unalipwa!na uchaguzi wa kazi na kozi upo.....SEL4,viwanda nchi nzima na tunatumia proud Tanzania products, Novalonge Swela CD inanisafirisha kutoka iringa hadi Dar usiku in 9hrs!leo hii majambazi ndio yaliyoamua mabasi yasafiri mchana ...TISS yenye heshima na adabu..sio uchafu huu...ohooo Sikinde ngoma ya ukae,awamu ya kwanza I live my life.
 
Waseme wasemavyo licha ya madhaifu yanayotajwa magufuli hana mfanowe. Kuna akina mwangosi walikuwa na olasiti palilipuka mabomu. Kwa hiyo bila bila kikazi magufuli ngatisha. .
 
Awamu ya nyerere haina mpinzani
ila katika awamu ya mkapa, kikwete na jpm hamna awamu makini kama ya jpm ya hangaya inaboma ila tuone itakuwaje labda itabadilika.
 
Awamu ya kwanza kuanzia tarehe 9/12/1961 mpaka tarehe 4/2/1977 ilikuwa ni awamu iliyotukuka ukienda LUMUMBA pale unakutana na wasomi waliobobea katika nyanjabalimbali ,na wanamaandiko katika mtazamo wa kujenga taifa na ukiyasoma hofu ya maisha inapungua ,kwamfano tu maandiko yalivyokuwa yanaandikwa na wasomi pale Lumumba Konimbatizaji nenda kaangalie kitabu kinaitwa 1972 towards Uhuru ,ukisoma hicho kitabu sijui kama WEWE Joni ungekubali kuona vyama vya ushirika vinaliwa,benki YETU inauzwa shirika la Bomba linakufa ttcl posta vinabaki hohehae kiwanda Cha bia Sigara tanbond supaghee nk mnauza,kiwanda Cha caterpillar,oxygen nk vyote shaghalabagala ,maandiko hayo Lumumba yalitayarishwa na wasomi ninaowakumbuka
AMON NSEKELA
FUMBUKA
G MWAIKAMBO
yaani chama Cha TANU kilikuwa kinachukuwa watu waliobobea katika delta mbalimbali kutengeneza sera zake, Joni nikupe Siri hata Nyerere kuruhusu mtu binafsi kufungua Ile shule iliyosomwa pale iringa ya highland ilikuwa programu ya kundaa vijana kusimamia sEkta fedha katika mashirika ya umma ndio maana ilikuwa ukienda benk nic utakuta vijana highland kibao hii ilimhamasisha AMON NSEKELA kuwaletea chuo kikuu. Cha bank iringa ,Sasa Lumumba ya 5/2/1977
 
Kwangu ni awamu ya kwanza, kodi yangu ilitumika vema maana nilienda Shule bora bure(kila kitu unakikuta Shuler,ukimaliza daftari unampelekea mwalimu wa vifaa anakagua karatasi zipo zote 24 anasaini na wap unapewa jipya, uniforms etc etc),chuo nimesoma Bure momm na chakula kizuri pale cafeteria!,Mkwawa CNE ninasoma huku ninalipwa kichele, JKT napo unalipwa!na uchaguzi wa kazi na kozi upo.....SEL4,viwanda nchi nzima na tunatumia proud Tanzania products, Novalonge Swela CD inanisafirisha kutoka iringa hadi Dar usiku in 9hrs!leo hii majambazi ndio yaliyoamua mabasi yasafiri mchana ...TISS yenye heshima na adabu..sio uchafu huu...ohooo Sikinde ngoma ya ukae,awamu ya kwanza I live my life.
Hahahaaaa........ Navalonge Swela Layland victory ilikuwa haina mpinzani.
 
Awamu ya kwanza kuanzia tarehe 9/12/1961 mpaka tarehe 4/2/1977 ilikuwa ni awamu iliyotukuka ukienda LUMUMBA pale unakutana na wasomi waliobobea katika nyanjabalimbali ,na wanamaandiko katika mtazamo wa kujenga taifa na ukiyasoma hofu ya maisha inapungua ,kwamfano tu maandiko yalivyokuwa yanaandikwa na wasomi pale Lumumba Konimbatizaji nenda kaangalie kitabu kinaitwa 1972 towards Uhuru ,ukisoma hicho kitabu sijui kama WEWE Joni ungekubali kuona vyama vya ushirika vinaliwa,benki YETU inauzwa shirika la Bomba linakufa ttcl posta vinabaki hohehae kiwanda Cha bia Sigara tanbond supaghee nk mnauza,kiwanda Cha caterpillar,oxygen nk vyote shaghalabagala ,maandiko hayo Lumumba yalitayarishwa na wasomi ninaowakumbuka
AMON NSEKELA
FUMBUKA
G MWAIKAMBO
yaani chama Cha TANU kilikuwa kinachukuwa watu waliobobea katika delta mbalimbali kutengeneza sera zake, Joni nikupe Siri hata Nyerere kuruhusu mtu binafsi kufungua Ile shule iliyosomwa pale iringa ya highland ilikuwa programu ya kundaa vijana kusimamia sEkta fedha katika mashirika ya umma ndio maana ilikuwa ukienda benk nic utakuta vijana highland kibao hii ilimhamasisha AMON NSEKELA kuwaletea chuo kikuu. Cha bank iringa ,Sasa Lumumba ya 5/2/1977
Hahahaaaa....... Umenikumbusha Muunguja, John Mhagama, Cretus Luvinga, Brown nk....nk.

Yaani NBC ilikuwa full highlanders!!
 
Ya mkoloni, maana tulikuwa tunafahamu fika tunapigwa. Hizi zingine zote za wakoloni weusi wanaojifanya tupo pamoja
 
Back
Top Bottom