ju ma nchuki
JF-Expert Member
- Jun 5, 2018
- 205
- 96
[emoji529]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo Mkuu!
Mie mhenga, nikashtuka nikadhani hizi streets za mbinguni!
Yaani hao legends aliowataja, mie ni bibi titi nae anaongelea kina lissu
aaaaa wapi nina dai hatari bado niko moto
farkhina sijui yupo wap sikuhiz
kazi kwako mhengaOhhhppppssssss....
Kumbe.....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mdomo wangu umebaki wazi wallah..[emoji47] [emoji47]
Lahaula lakwata.....kazi kwako mhenga
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Lahaula lakwata.....
Duh nimekumbuka mbaliHabari wadau na mabestito
Karibuni kwenye Forum ya zilipendwa ya WAHENGA FORUM ambayo tutakuwa tukijadili na kuweka mambo yetu ya kale yaani zile thread zilizopendwa ambazo zilitamba sana enzi hizo, na tutakuwa tukifurahishana kwa kuwataja wale ambao walikuwa masupastaa wa nyakati hizo lengo hasa ni kutaka kuwapa taarifa MAKAPUKU F wa kisasa kuwa jf ina wenyewe ndo siye waanzilishi wake
Halooooohaloooo wale waliokuwa wakichat kwa takriban masaa 24 akina Viol, Asnam, miss chagga, Matola, mwinyimkuu, Khantwe , PakaJimmy , @Rutashobolwa, na wengineo wengi karibu sasa uwanja mpana ni wenu
Kwa wenzangu waliokuwa mstari wa mbele kutuletea mada za kuchangamsha na kuelimishana na kuburudisha nao ni akina Mentor , Mtambuzi , Arushaone , Watu8 (my daddy sijui kafichwa wapi), GEORGE mimi, Pascal Mayalla, (huyu kiboko wa siasa) @Clara1 (kiboko wa mada changanizi) hahahaaaaaa,
Miss Bantu (nimkoseje naye huyu), Miss Natafuta (yy upande wa mmu humkosi), jamani ni wengi na wengine nimewasahau si unajua zilipendwaaaaaa hahaaaaaaa wahenga msijekunitafuna bure hapa yeereeeuuuu nimemsahau na Madame B , oyoooo na KakaKiiza wahenga hawa wa jf, hahaaaaaaaaaaaa
Sasa nakuja kwa wachangiaji wakereketwa yaani si mchezo hawa nao ni: Passion Lady, Lady doctor (huyu alikuwa kiboko masaa 24 anachangia sijui alikuwa halali hahaaaaaa its jokes), measkron (my mumy asiyejulikana hahaaaaaa), Filipo, amu, steven Masako, (sijui sijakkosea maana muda mrefu sijamuona huyu) , AshaDii (Uuwii sijajua yuko wapi huyu madam nimekumiss kweli) mkongwe mwingine ndiye founder wetu hahaaaaaa Maxence Melo (uko wapi braza). ahahaaaa wadau nimewamiss kweli leteni vile viionjo vya kale tukumbushane vya kihenga ahaaaaaaaa
Wasalaamu
Ladyf
Kabuli hili umelifukua ulikua wapi?Duh nimekumbuka mbali
Those days[emoji119][emoji119]
Hawa watu sijui wako wapi jmn
Na kweli nimelifukua🤣.Kabuli hili umelifukua ulikua wapi?
YAANIAANI WENGI WAMEBADILI ID ZAO ILA WAPO SANA HUMUDuh nimekumbuka mbali
Those days🙌🙌
Hawa watu sijui wako wapi jmn
HAHHAAAAAAA FaizaFoxy njooo huku unaitwa wamekukumbukaKuna yule bibi kizee huwa anapenda kuwaita members wajukuu zake
hahahaaaaaaaaa aisee nashangaa umefungua uzi wa zamani mpk mm nimeshangaaNa kweli nimelifukua🤣.
Natafuta Uzi wa Verossa ,humo ndo Kuna ma legend