Wahenga wa kike: Mnakumbuka nguo za redimedi, sare sare, moka bila kisahau fukufuku

Wahenga wa kike: Mnakumbuka nguo za redimedi, sare sare, moka bila kisahau fukufuku

Muzine

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2017
Posts
32,366
Reaction score
60,453
Wahenga wa kike mnakumbuka haya!

Magauni ya redimedi!

Nguo za sare sare(sare sare maua asiyejua kuchagua kabila lake mzegua[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3])

Moka nyeupe kwa nyeusi!

Soksi nyeupe zina maresi kwa juuu zikilegea ni balaaaa!

Vimkoba vilivyokuwa vinakuja na redimedi na kofia zake zina maua na kambaa ya kubana shingoni.

Baada ya kuvaa redimedi sikukuu unajipaka wanja alafu unaweka vidoti vitatu mashavuni na kwenye utosi usoni.

Ukinunua pichu mpya lazima uwaonyeshe mashosti zako [emoji3][emoji3][emoji3]

Siku mkipika wali nyamaa sasa swali la kuwauliza mashost zako
( Otea kwetu leo tumepika nini?)agggh ilikuwa rahaaaaa sana.

Shunie karibu uchukue fukufuku .



Mrs Jr (Malikia wa Ulozi)
 
Wahenga wa kike mnakumbuka haya!

Magauni ya redimedi!

Nguo za sare sare(sare sare maua asiyejua kuchagua kabila lake mzegua[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3])

Moka nyeupe kwa nyeusi!

Soksi nyeupe zina maresi kwa juuu zikilegea ni balaaaa!

Vimkoba vilivyokuwa vinakuja na redimedi na kofia zake zina maua na kambaa ya kubana shingoni.

Baada ya kuvaa redimedi sikukuu unajipaka wanja alafu unaweka vidoti vitatu mashavuni na kwenye utosi usoni.

Ukinunua pichu mpya lazima uwaonyeshe mashosti zako [emoji3][emoji3][emoji3]

Siku mkipika wali nyamaa sasa swali la kuwauliza mashost zako
( Otea kwetu leo tumepika nini?)agggh ilikuwa rahaaaaa sana.

Shunie karibu uchukue fukufuku .



Mrs Jr (Malikia wa Ulozi)
na viatu vya losso
 
Wahenga wa kike mnakumbuka haya!

Magauni ya redimedi!

Nguo za sare sare(sare sare maua asiyejua kuchagua kabila lake mzegua[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3])

Moka nyeupe kwa nyeusi!

Soksi nyeupe zina maresi kwa juuu zikilegea ni balaaaa!

Vimkoba vilivyokuwa vinakuja na redimedi na kofia zake zina maua na kambaa ya kubana shingoni.

Baada ya kuvaa redimedi sikukuu unajipaka wanja alafu unaweka vidoti vitatu mashavuni na kwenye utosi usoni.

Ukinunua pichu mpya lazima uwaonyeshe mashosti zako [emoji3][emoji3][emoji3]

Siku mkipika wali nyamaa sasa swali la kuwauliza mashost zako
( Otea kwetu leo tumepika nini?)agggh ilikuwa rahaaaaa sana.

Shunie karibu uchukue fukufuku .



Mrs Jr (Malikia wa Ulozi)
😀 😀 😀 😀 😀
Baada ya kumenya vitunguu saumu hunawi mikono, kazi inakuwa kunusisha wenzio kiganja.
 
Yaan umenikumbusha muhenga mie bila nguo mpya ya sikukuu sitoki mwananyamala kwetu tulikuwa tunaendaga kutembea mwinyijuma kule kuna kila aina ya michezo au disco toto villa kwa ujiji natamani kurudisha miaka nyuma
 
Yaan umenikumbusha muhenga mie bila nguo mpya ya sikukuu sitoki mwananyamala kwetu tulikuwa tunaendaga kutembea mwinyijuma kule kuna kila aina ya michezo au disco toto villa kwa manjunju natamani kurudisha miaka nyuma
Kiukweli mm kitu kilichokuwa kinaniuma ni Mama kununua tenge alafu tushone sare na dada angu wakat hapo unaelewa watu wanaofatana ugomvi wake

Looh sare sare sipendi sana nilikuwa naenda sabasaba Morogoro nanunua kipensi na kitshirt siku ya sikukuu sivai sare sare kwa sababu tumeshona sare na dada anguuu

Utasikia mama anakwambia wewe huendi popote mpaka uvae gauni nililokushonea

Nalia mpaka sikukuu inaisha nimekaa kibarazani baba akija ananichukua ananitoa out kesi inaisha nakuja na Zawadi nawadolishia wenzangu looh
 
Kiukweli mm kitu kilichokuwa kinaniuma ni Mama kununua tenge alafu tushone sare na dada angu wakat hapo unaelewa watu wanaofatana ugomvi wake

Looh sare sare sipendi sana nilikuwa naenda sabasaba Morogoro nanunua kipensi na kitshirt siku ya sikukuu sivai sare sare kwa sababu tumeshona sare na dada anguuu

Utasikia mama anakwambia wewe huendi popote mpaka uvae gauni nililokushonea

Nalia mpaka sikukuu inaisha nimekaa kibarazani baba akija ananichukua ananitoa out kesi inaisha nakuja na Zawadi nawadolishia wenzangu looh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Losso ndio ilikuwa mpango mzima, ukivaa losso unaonekana kwenu mambo safi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ndo maana alikuwa analilia sana hivyo viatu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Redimedi zilikuwa za special alafu unavaaa zikikuvuka unamwachia na mwingine anavaaaa na yeye zikimvuka anamwachia na mwingine jaman nguo haziiishi wala kupaukaaa
 
Back
Top Bottom