Pyaar
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 16,078
- 77,186
Kuna mshono mmoja uliitwa tingisha, yaani hata kama huna wukwu/wowowo lazima utingishe.. gauni linashonwa linatiwa sponge. HahahaGauni alafu chini kiunoni linavutwa marindaaa loooh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mshono mmoja uliitwa tingisha, yaani hata kama huna wukwu/wowowo lazima utingishe.. gauni linashonwa linatiwa sponge. HahahaGauni alafu chini kiunoni linavutwa marindaaa loooh
Umesahau wakat wa kucheza redeeee lazima ufunue sket mpaka juu wataonaje kama pichu mupyaaaaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahaha! Hapo kwenye chupi, mkiwa shule unawaomba wenzio wakusindikize toilet, huko toilet sasa sketi inabinuliwa nje kabisa kabla hata ya kuingia toilet..Hapo lazima waishangae na kukusifia.
😀 😀 😀 😀 😀Umesahau wakat wa kucheza redeeee lazima ufunue sket mpaka juu wataonaje kama pichu mupyaaaaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahhaa mkuu sikuhizi jamaa kapata jimama linambana 24/7 anaonekana mara moja²Sorry Mr joverest
Achana na mwanamke nyonga + nguva, hiyo mishono ilikuwa inakusanya takoDuuuh
Mwanamke nyongaaaaaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ilikuwa inabeba takoooo balaaaa
Achana na mwanamke nyonga + nguva
Kuna mshono uliitwa Tingisha.
Duuuh
Mwanamke nyongaaaaaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ilikuwa inabeba takoooo balaaaa
Hivi ile mshono nilishonewa utoto sikukuu moja hivi me na cousin wangu mana huyu ndio tulikuwa tunavalishwa sare upo hivi skirt ndefu ni tait ina mpasuo mbele pembeni na blauzi ya vifungo vya kugongewaRedimedi zilikuwa za special alafu unavaaa zikikuvuka unamwachia na mwingine anavaaaa na yeye zikimvuka anamwachia na mwingine jaman nguo haziiishi wala kupaukaaa
Hahaha! wengine kwenye hicho kimpasuo cha sketi walikuwa wakiweka vishikizo pia.Hivi ile mshono nilishonewa utoto sikukuu moja hivi me na cousin wangu mana huyu ndio tulikuwa tunavalishwa sare upo hivi skirt ndefu ni tait ina mpasuo mbele pembeni na blauzi ya vifungo vya kugongewa
Hahahaha hapo sasa hata hujatoa lebo,au wakati wa kucheza rede unajirusha uku unafunua sketiHahaha! Hapo kwenye chupi, mkiwa shule unawaomba wenzio wakusindikize toilet, huko toilet sasa sketi inabinuliwa nje kabisa kabla hata ya kuingia toilet..Hapo lazima waishangae na kukusifia.
Hahhaah umeukumbuka eenhHahaha! wengine kwenye hicho kimpasuo cha sketi walikuwa wakiweka vishikizo pia.
NdiyoHahhaah umeukumbuka eenh
Dah! Ilikuwa raha sanaHahahaha hapo sasa hata hujatoa lebo,au wakati wa kucheza rede unajirusha uku unafunua sketi
Hiyo tingisha siijui jaman au nimesahau labda tulikuwa tunatofautiana majinaAchana na mwanamke nyonga + nguva, hiyo mishono ilikuwa inakusanya tako
Kuna mshono uliitwa Tingisha, unafanya tako litingishike.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ngoja pyaar akujibu maan mm mambo ya mishono.khaaa nilikuwa sipendiHivi ile mshono nilishonewa utoto sikukuu moja hivi me na cousin wangu mana huyu ndio tulikuwa tunavalishwa sare upo hivi skirt ndefu ni tait ina mpasuo mbele pembeni na blauzi ya vifungo vya kugongewa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mama angu alikuwa mjanja anawanunulia nguo anazificha karibia na sikukuuu mm nanuna kila sku akinituma kazi namwambia sitak hujaninunulia gauni siku akilitoa naniambia sikupi mpaka ufanye kazi fulani oooh jaman nitalia hiyo sku balaaaaUkinunuliwa nguo mpya kila saa unaingia ndani kujipima