Yaan umenikumbusha muhenga mie bila nguo mpya ya sikukuu sitoki mwananyamala kwetu tulikuwa tunaendaga kutembea mwinyijuma kule kuna kila aina ya michezo au disco toto villa kwa manjunju natamani kurudisha miaka nyuma
Ndo redimedi iyoKuna yake magauni ya seti.
Unakuta demu kavaa kigauni, pochi, hat, soksi, gloves, miwani alaf rangi ndio balaa...
Nop ni ujiji jamani nilisahau si unajua nimeshakuwa muhenga tenaKwa Manjunju pale kwenye ule Mbuyu?
[emoji23] [emoji23] ili kikuze tako au?[emoji3][emoji3][emoji3]nasikia eti unawekewa kigodoro hebu muulize vizur pyaar
Hahahahahahah daaaah nimecheeeka hiyo ya kujipitisha,nilikua nawaambia wenzangu,kaeni hapa nikawaoneshe nguo nimeletewa naenda navaa af natoka nasimama mlangoni,watanishika shika kunisfia mpaka ichafukeHahahha! Aisee nakumbuka nguo ilikuwa yanunuliwa mapema kabla ya sikukuu, basi kufika sikukuu ishachafuka kwa kujaribisha,,
Hapo unakuwa wataka marafiki zako waione, halafu ushajua mama kaiweka wapi.. Una mvizia mama yupo nje, unaivaa halafu
unawaambia marafiki zako wakae mkao wa kula,,hahahaha! Wanakaa mlangoni halafu unakuwa unajipitisha ili wakuone..Hahahaha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaan umenikumbusha muhenga mie bila nguo mpya ya sikukuu sitoki mwananyamala kwetu tulikuwa tunaendaga kutembea mwinyijuma kule kuna kila aina ya michezo au disco toto villa kwa ujiji natamani kurudisha miaka nyuma
Nimekumbuka mchezo mmoja unaitwa kolokolo sijui yaan unaweza vitu kwenye kikopo halafu vinamwaga sijui nipo sahihi uhenga huu nishasahau[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ee ya suruali na blauzi ndefu mpaka kwenye magoti hivi hahaha kama wahindi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ya suruali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu usikute bazee la blueEe ya suruali na blauzi ndefu mpaka kwenye magoti hivi hahaha kama wahindi
Hahaha huo naujua ila sikuwahi kuuvaa,na bkauzi yake inakua na kikamba ukivuta kanabana maziwa,sista angu kavaa sana.Mm nilikuwa napenda mwanamke nyongaaa alafu anaweka kikamba kwa chini ya takoo aliounga nikivuta takooo loteee linabebwaa jujuuuuu
Yaaaani kama ulikuwepo hahaha lilikua la blue bahari,afu hizo nguo mama mpaka leo zake kazitunza,ila zangu uwii nilikua sizipendi nazichukia akazigawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu usikute bazee la blue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaaaani kama ulikuwepo hahaha lilikua la blue bahari,afu hizo nguo mama mpaka leo zake kazitunza,ila zangu uwii nilikua sizipendi nazichukia akazigawa
Hahahaha! Ilikuwa raha sana.Ee ya suruali na blauzi ndefu mpaka kwenye magoti hivi hahaha kama wahindi
Na ukikutwa unapima unapigwa hatari[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukinunuliwa nguo mpya kila saa unaingia ndani kujipima
Hahahaha!! Ilikuwa inawekewa kisponge juu kidogo ya nyonga, basi ule muondoko wa kutembea unafanya nyuma kutikisike.[emoji23] [emoji23] ili kikuze tako au?
kumbe na ww ulichezaga mule villa? [emoji1][emoji3][emoji2]Yaan umenikumbusha muhenga mie bila nguo mpya ya sikukuu sitoki mwananyamala kwetu tulikuwa tunaendaga kutembea mwinyijuma kule kuna kila aina ya michezo au disco toto villa kwa ujiji natamani kurudisha miaka nyuma
He he villa club ghorofani disco toto unapajua Millerkumbe na ww ulichezaga mule villa? [emoji1][emoji3][emoji2]