Wahenga wenzangu njoo tukumbushane vipindi vilivyobamba RTD enzi hizoo

Wahenga wenzangu njoo tukumbushane vipindi vilivyobamba RTD enzi hizoo

tafsiri ya nyimbo usiku kuazia saa nne......"nyimbo kama baba jane ya hamza kalala" solemba
 
Jamani kweli siku hazigandi. Nakumbuka enzi hizo hakuna utitiri wa redio stations ukitaka kusikiliza huna option kama kipindi kilichopo hukipendi uzime tu radio.
Hata mfumo wa vipindi ulikuwa tofauti sana na huu wa sasa...enzi hizo vipindi vililenga kutoa elimu zaidi kuliko burudani. Kama kipindi ni cha kutoa elimu kuhusu masuala ya umeme let's say, hakuna porojo ni elimu tu mwanzo mwisho.
Nakumbuka ilikuwa miaka ya tisini mwishoni hivi, kuna vipindi nilikuwa sipitwi kabisa hata kama nilikuwa kucheza muda huo ntafanya juu chini niwepo

Kulikuwa na vipindi vya watoto kimoja nilikuwa kinaitwa Mama na mwana kilikuwa kinarushwa jumamosi saa nane na nusu. Nilikuwa sipitwi kabisa....kulikuwa na hadithi zilikuwa zinasimuliwa naikumbuka moja tu ya Binti Chura.

Kuna kipindi kingine kilikuwa kinaitwa Twende na wakati ulikuwa mchezo wa kuigiza unarushwa kila jumamosi saa mbili na nusu usiku. Nilikuwa nafuatilia hatua kwa hatua maana ulikuwa haurudiwi ukipitwa ndo tuonane next episode.
Karibu mdau tukumbushane wewe ulikuwa unapenda vipindi gani?


Sent using Jamii Forums mobile app
Me nimemiss wa hapa hapa na kijiji cha wanajitazame sijui kipindi kilikuwa kinaitwaje
 
Hiki niliwahi kukisikia walikuwa wanaanza na ka wimbo kanasema 'wa hapahapa wa hapahapa aah' Hapa tayari nilikuwa mzee nikawa bize na shule kwa hiyo nilikuwa nakisikiliza kwa muda tu
Me nimemiss wa hapa hapa na kijiji cha wanajitazame sijui kipindi kilikuwa kinaitwaje
 
Hiki niliwahi kukisikia walikuwa wanaanza na ka wimbo kanasema 'wa hapahapa wa hapahapa aah' Hapa tayari nilikuwa mzee nikawa bize na shule kwa hiyo nilikuwa nakisikiliza kwa muda tu
Hahahahahaahahah
Nilikuwa naenjoy walikuwa wanaimba wa hapa hapa wa hapa hapa we njoo..ukitaka wa kucheza naye ukitaka wa kuruka naye we njoo kwa hapa hapa.....halafu linafuata igizo sema sasa RTD kule kwetu ilikuwa haisikiki vizuri maana kulikuwa na radio nyingine za kule kwa wenzetu bas ikianza ku-scratch napata hasiraaa hahahahahaahhaahahahahah
 
Jamani kweli siku hazigandi. Nakumbuka enzi hizo hakuna utitiri wa redio stations ukitaka kusikiliza huna option kama kipindi kilichopo hukipendi uzime tu radio.
Hata mfumo wa vipindi ulikuwa tofauti sana na huu wa sasa...enzi hizo vipindi vililenga kutoa elimu zaidi kuliko burudani. Kama kipindi ni cha kutoa elimu kuhusu masuala ya umeme let's say, hakuna porojo ni elimu tu mwanzo mwisho.
Nakumbuka ilikuwa miaka ya tisini mwishoni hivi, kuna vipindi nilikuwa sipitwi kabisa hata kama nilikuwa kucheza muda huo ntafanya juu chini niwepo

Kulikuwa na vipindi vya watoto kimoja nilikuwa kinaitwa Mama na mwana kilikuwa kinarushwa jumamosi saa nane na nusu. Nilikuwa sipitwi kabisa....kulikuwa na hadithi zilikuwa zinasimuliwa naikumbuka moja tu ya Binti Chura.

Kuna kipindi kingine kilikuwa kinaitwa Twende na wakati ulikuwa mchezo wa kuigiza unarushwa kila jumamosi saa mbili na nusu usiku. Nilikuwa nafuatilia hatua kwa hatua maana ulikuwa haurudiwi ukipitwa ndo tuonane next episode.
Karibu mdau tukumbushane wewe ulikuwa unapenda vipindi gani?


Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni kabisa mama na mwana ilikuwa bamba to bamba, alikuwa anatangaza anti debora mwanda
 
Hahahahahaahahah
Nilikuwa naenjoy walikuwa wanaimba wa hapa hapa wa hapa hapa we njoo..ukitaka wa kucheza naye ukitaka wa kuruka naye we njoo kwa hapa hapa.....halafu linafuata igizo sema sasa RTD kule kwetu ilikuwa haisikiki vizuri maana kulikuwa na radio nyingine za kule kwa wenzetu bas ikianza ku-scratch napata hasiraaa hahahahahaahhaahahahahah
Haha hatari mimi nakumbuka nilisikiliza msimu mmoja tu nilikuwa likizo
 
Debora Mwenda, Eda Sanga, Halima Kiemba wengine nimewasahau...kuna kitabu fulani form four tulijibia mtihani kinaitwa Kilio Chetu, mchezo ulirushwaga kwenye mama na mwana naona baadae wakaandikia kitabu
Acheni kabisa mama na mwana ilikuwa bamba to bamba, alikuwa anatangaza anti debora mwanda
 
Back
Top Bottom