Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Nakumbuka baada ya kuacha kusikiliza TBC na kuhamia RFA nilikuwa napenda kusikiliza hiki kipindi cha Sitasahau kilikuwa kinarushwa saa mbili asubuhi siku ya jumapili kikifuatiwa na kile cha vitu vilivyovunja record sijui kiliitwaje baada ya hapo kilifuatiwa na Je huu ni uungwana???? Nlikuwa shabiki sana wa hilki kipindi wakati huo mtangazaji alikuwa Fredua ( sijui ndio inaandikwa hivi? ) baadae akaja mwingine anaitwa nani sijui mtani.
Baada ya Sitasahau, kilikuwa kinafuatiwa na kipindi cha ''Je wajua?" mtangazaji alikuwa Samada Maduhu(kama sijakosea)