Umemaliza na wewe kuwa Muislamu unayemfua mtume صل الله عليه وسلم ndo maana wa Suni wanafata Suna au mwendo wa mtume صل الله عليه وسلمHakuwa na dhehebu.Alikuwa muislamu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemaliza na wewe kuwa Muislamu unayemfua mtume صل الله عليه وسلم ndo maana wa Suni wanafata Suna au mwendo wa mtume صل الله عليه وسلمHakuwa na dhehebu.Alikuwa muislamu tu.
Kijana, ukubali usikubali.....uchawi wote upo ndani ya Uislam. Ufugaji majini, albadiri, makafara, n.k.Jamaa mbishi ushirikina mkubwa ni kusema Yesu , mtu aliyezaliwa na binadamu na kula na kunya kama wewe kuwa ni Mungu.
hivi wewe jamaa mbishi nikikuita Nguruwe utafurahi ??? na utaona ni sawa??
na ndio maana Mwenyezi mungu akasema kuwa anaweza kukusamehe makosa yote isipokuwa hilo kosa la kumshirikisha na kiumbe anayekunya
Wewe hapo ulipo unao uwezo wa kuelewa Qur'an na hadithi wewe mwenyewe?Acha kupata tabu kwani mtume صل الله عليه وسلم alikuwa thehebu gani?
We ndio acha ujinga unawajua wakristo wa ethiopia.dini inakuja na ukabira bado kusoma kote unakuwa kichwa chepesiHakuna dhehebu linaitwa wahabi kwenye uislam acha ujinga
Huwezi kuifuata sunna wewe mwenyewe na hauwezi kuielewa Qur'an wewe mwenyewe.Umemaliza na wewe kuwa Muislamu unayemfua mtume صل الله عليه وسلم ndo maana wa Suni wanafata Suna au mwendo wa mtume صل الله عليه وسلم
Kipindi cha tabiina na tabitabiina wale ambao wasiyokuwa na elimu au waliyokuwa na ufahamu mchache kuhusu dini yao walikuwa wanawategemea maimamu wakubwa wa kwenye miji ambao walikuwa wanawategemea.Hakuwa na dhehebu.Alikuwa muislamu tu.
Unasoma biblia wewe ?Kijana, ukubali usikubali.....uchawi wote upo ndani ya Uislam. Ufugaji majini, albadiri, makafara, n.k.
Ndo maana Kila wakati nilikuwa nakukwepa sababu nilijua unapoelekea, nimemalizana na wewe endelea na usufi wako, eti huwezi elewa Qur,aan na Sunnah mpaka .........Huwezi kuifuata sunna wewe mwenyewe na hauwezi kuielewa Qur'an wewe mwenyewe.
Ili uwe na uelewa sahihi wa kuelewa dini ni lazima uwafuate wanawazuoni ambao Mtume mwenyewe amesema ni warithi wa Mitume.
Hapa ndipo inapokuja asili ya neno madheheb, linatokana na kitenzi dhahaba, ikiwa na maana ya mwendo au mwelekeo.
Yaani kutoka kwa Mtume, kuja kwa sahaba fulani (hiyo ni hatua), kutoka kwa sahaba kwenda kwa fulani (hiyo ni hàtua). Zikiwa nyingi zinaitwa madheheb yaani mwendo au mwenendo.
Hivyo ndivyo wanawazuoni wanavyofafanua maana ya madheheb.
Hivyo, wewe ikiwa unafuata uelewa wa mwanawazuoni fulani kuhusu ufafanunuzi wake wa Qur'an na Sunna basi huo ndiyo mwendo au mwenendo uliyoshika wewe. Yaani huo ndiyo mwenendo wako. Kiarabu hiyo hali inaitwa madheheb.
Ikiwa kama wewe ukisema hauna madheheb, tafsiri yake ni kwamba ufafanuzi juu ya Qur'an na hadithi ni wa kwako wewe mwenyewe.
Yaani uelewa wako wa dini hauna sanadi ya kufanya marejeo ya uelewa na kupata ufahamu wa kufafanua na kuelewa Qur'an na Sunna kutoka kwa yeyote isipokuwa ni wewe mwenyewe.
Lakini ikiwa kama uelewa wako wa Qur'an na hadithi unategemea wanawazuoni fulani basi huo ndiyo mwenendo wako wa ufahamu wa dini. Hayo ndiyo madheheb yako.
Mtume hana madheheb kwa sababu yeye ndiye chimbuko la elimu na hekima.
Suala si kunikwepa! Suala badala ya kuwa na elimu una itikadi, hili ni jambo lisilofaa.Ndo maana Kila wakati nilikuwa nakukwepa sababu nilijua unapoelekea, nimemalizana na wewe endelea na usufi wako, eti huwezi elewa Qur,aan na Sunnah mpaka .........
Sasa wakina nani ndy sio hatari kwa ulimwengu huu?Waislamu bila kujali ni Wasunn,Wahabi,Washia,Wahamadia ni walewale! Wote wanatumia Quran ile ile na Sunna za mtume yule yule.
Ni hatari kwa ulimwengu huu.
Mnajiita Answar na cheo kikipanda mnajiita salafi... Yaani HAMCHEKI NA WOWOTE😁😁😁Sijui umekopy katika kitabu na mashia kipi but ukisikia wahabi ujue kua hilo jina wamepewa na mashia na masufi but hamna mtu wa sunnah anajiita wahabi but ukiwa na msimamo wa kufuata sunna na kukemea uzushi mashia na sufi wanakuita wahabi so hiyo kitu umetoa wapi huko kuandika miaka ni mbwembwe tu