Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,120
Bado unatafuta visingizio tuu!
Huko ulikoenda siko niliko........goodday my dear lady!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado unatafuta visingizio tuu!
crdb mlimani branch kuna TV,ecobank mnazi mmoja kuna TV,kuna MTU kataja Barclays pia INA maana humo watu hawafanyi kazi.Najua unafahamu banks ni miongoni mwa taasisi ambazo zipo smart kimaamuzi na mambo mengine.
Umetoroka hosipitali ipi? Kunywa Maji ukalale ukue.Katika muendelezo wangu wa kufanya Utafiti Binafsi wa kuweza kupata au kujaribu kupata majibu ya kwa nini sisi tuko nyuma sana kimaendeleo kulinganisha na jamii nyingine hapa Duniani, nimegundua kifuatacho!
Nimejaribu kufanya Jaribio dogo la kuzunguka kwenye Maduka ya Wahindi na sehemu zao za Uzalishaji, nilichoona ni kwamba hakuna Duka hata moja nililoingia la Muhindi au Ofisi au kiwanda cha Muhindi ambapo nimekuta kuna TV na wanaangalia Bunge moja kwa moja (live), lkn nilipo jaribu kuzunguka kwenye Ofisi na sehemu za shughuli za Waswahili wenzangu nimekuta wafanyakazi wako makini na kuangalia Bunge live badala ya kufanya kazi na kuongeza kipato chao!
Nilichojifunza ni kwamba sisi tuko maskini kwa sababu hatupendi na hatuthamini kazi, hawa Wahindi ktk Nchi nzima wako chini ya 300, 000 (laki tatu) katika Nchi ya watu zaidi ya milioni 40, lakini wanamiliki zaidi ya asilimia 85% ya Uchumi wa Tanzania, Hapo tuna tatizo!
Serikali piga Marufuku Bunge Kuonyeshwa Muda wa Kazi, Ili tuweze Kufanya kazi kwa Bidii na Umakini na tuweze kushindana na Wahindi na jamii nyingine Duniani!
Mkuu umeshawahi kuwaona hao ma bank tellers au mameneja wameacha kuhudumia wateja wao na wanaangalia hizo TV? Ninavyofahamu mimi hizo zimewekwa mostly kwa ajili ya wateja wao ambao wako kwenye foleni, just like wanavyoweka kwenye sehemu mbalimbali za biashara (mahoteli, mabaa, mabasi, Maduka n.k) kwa lengo la kuwakeep wateja wao entertained or informed while waiting for the services (ndo customer care coz mteja ni mfalme!!). Mada hapa ilikuwa kuacha kufanya kazi na kukomaa na TV.
Je ni kweli post nyingi na comments nyingi JF zinarushwa siku na saa za kazi Monday to Friday?Katika muendelezo wangu wa kufanya Utafiti Binafsi wa kuweza kupata au kujaribu kupata majibu ya kwa nini sisi tuko nyuma sana kimaendeleo kulinganisha na jamii nyingine hapa Duniani, nimegundua kifuatacho!
Nimejaribu kufanya Jaribio dogo la kuzunguka kwenye Maduka ya Wahindi na sehemu zao za Uzalishaji, nilichoona ni kwamba hakuna Duka hata moja nililoingia la Muhindi au Ofisi au kiwanda cha Muhindi ambapo nimekuta kuna TV na wanaangalia Bunge moja kwa moja (live), lkn nilipo jaribu kuzunguka kwenye Ofisi na sehemu za shughuli za Waswahili wenzangu nimekuta wafanyakazi wako makini na kuangalia Bunge live badala ya kufanya kazi na kuongeza kipato chao!
Nilichojifunza ni kwamba sisi tuko maskini kwa sababu hatupendi na hatuthamini kazi, hawa Wahindi ktk Nchi nzima wako chini ya 300, 000 (laki tatu) katika Nchi ya watu zaidi ya milioni 40, lakini wanamiliki zaidi ya asilimia 85% ya Uchumi wa Tanzania, Hapo tuna tatizo!
Serikali piga Marufuku Bunge Kuonyeshwa Muda wa Kazi, Ili tuweze Kufanya kazi kwa Bidii na Umakini na tuweze kushindana na Wahindi na jamii nyingine Duniani!
mkuu samahani kukutoa kwny hoja,nasikia Lowasa katimuliwa kwa mda
Wahindi pia hawapo Jeshini, Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza nk. Kwa hiyo hayo Majeshi pia tuyavunje kwa vile hayana Wahindi, ili tujumuike nao tukauze Maduka Kariakoo?.
Katiba isipo patikana kwa Amani, wahindi hao hao wata waachia Mafremu yenu Karikaoo, hao wanaenda zao Kenya. Kwa Taarifa yako, Mhindi hata aishi hapa Nchini Miaka 50, Bado hajui kiswahili fasaha. Na kila Muhindi ana paspot kama sio ya Canada, India, Uingereza basi itakua Marekani.
Hata watoto wao wa kike hawaolewi na Waswahili. Ila vijana wao wakiume wanawasodoma na Gomora Dada zetu Mahause girl katika majumba yao na wanaofanyakazi katika maduka au viwanda vyao kichizi. Kwa bahati Mbaya binti zetu wakibeba mimba zao, huwapa hela waka zitoe, au akibisha akizaa, huyo ni wake. Mtaani wapo tele machotara wakihindi na mama zoa choka mbaya, mpaka ukiwaona unawaonea huruma.
Jews like indians, Hitler like Idd Amin. They all deserved it. Wayahudi walikua wanachukiwa Europe nzima, kama ambavyo Wahindi wanavyo chukiwa Dunia Nzima, kuanzia Uingereza hadi Arabuni. Asili yao ni Matapeli wa kufa mtu. Wakiwa na shida huongea kirafiki sana utafikiri ni binadamu lakini wewe unapokua ndio mwenye shida, utawaramba miguu.
Asili ya Neno Tapeli ni PATEL. Jina la Kihindi.