Wahindi na Bunge Kurushwa Live!

Wahindi na Bunge Kurushwa Live!

Katika muendelezo wangu wa kufanya Utafiti Binafsi wa kuweza kupata au kujaribu kupata majibu ya kwa nini sisi tuko nyuma sana kimaendeleo kulinganisha na jamii nyingine hapa Duniani, nimegundua kifuatacho!

Nimejaribu kufanya Jaribio dogo la kuzunguka kwenye Maduka ya Wahindi na sehemu zao za Uzalishaji, nilichoona ni kwamba hakuna Duka hata moja nililoingia la Muhindi au Ofisi au kiwanda cha Muhindi ambapo nimekuta kuna TV na wanaangalia Bunge moja kwa moja (live), lkn nilipo jaribu kuzunguka kwenye Ofisi na sehemu za shughuli za Waswahili wenzangu nimekuta wafanyakazi wako makini na kuangalia Bunge live badala ya kufanya kazi na kuongeza kipato chao!

Nilichojifunza ni kwamba sisi tuko maskini kwa sababu hatupendi na hatuthamini kazi, hawa Wahindi ktk Nchi nzima wako chini ya 300, 000 (laki tatu) katika Nchi ya watu zaidi ya milioni 40, lakini wanamiliki zaidi ya asilimia 85% ya Uchumi wa Tanzania, Hapo tuna tatizo!

Serikali piga Marufuku Bunge Kuonyeshwa Muda wa Kazi, Ili tuweze Kufanya kazi kwa Bidii na Umakini na tuweze kushindana na Wahindi na jamii nyingine Duniani!

Wahindi pia hawapo Jeshini, Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza nk. Kwa hiyo hayo Majeshi pia tuyavunje kwa vile hayana Wahindi, ili tujumuike nao tukauze Maduka Kariakoo?.

Katiba isipo patikana kwa Amani, wahindi hao hao wata waachia Mafremu yenu Karikaoo, hao wanaenda zao Kenya. Kwa Taarifa yako, Mhindi hata aishi hapa Nchini Miaka 50, Bado hajui kiswahili fasaha. Na kila Muhindi ana paspot kama sio ya Canada, India, Uingereza basi itakua Marekani.

Hata watoto wao wa kike hawaolewi na Waswahili. Ila vijana wao wakiume wanawasodoma na Gomora Dada zetu Mahause girl katika majumba yao na wanaofanyakazi katika maduka au viwanda vyao kichizi. Kwa bahati Mbaya binti zetu wakibeba mimba zao, huwapa hela waka zitoe, au akibisha akizaa, huyo ni wake. Mtaani wapo tele machotara wakihindi na mama zoa choka mbaya, mpaka ukiwaona unawaonea huruma.

Jews like indians, Hitler like Idd Amin. They all deserved it. Wayahudi walikua wanachukiwa Europe nzima, kama ambavyo Wahindi wanavyo chukiwa Dunia Nzima, kuanzia Uingereza hadi Arabuni. Asili yao ni Matapeli wa kufa mtu. Wakiwa na shida huongea kirafiki sana utafikiri ni binadamu lakini wewe unapokua ndio mwenye shida, utawaramba miguu.

Asili ya Neno Tapeli ni PATEL. Jina la Kihindi.

 
Wewe ni mtumwa na unatumika vibaya kama unaona kuangalia tv ni kosa Kwa mtanzania na Ndo unamletea umasikini basi peleka omni serikalini wazime mitambo ya tv na internet pia jua ya kwamba tanganyika tangu iwapo atukupa maendekeleo ingawa atukuwa na tv na internet Kwa maelfu ya miaka Kwani mitambo ya tv imeanza kutumika miakaya 90 tanganyika...
Pia wewe unashinda kwenye internet kupost vitu vya kijinga unavyoelekezwa na mabwana zako wanaokufuk Kwa Malipo ya kisengerema.
 
Kama kuwashwa ni kawaida njoo nikukune basi na libolo.

Mimi sio mvivu kiasi hicho kiasi kwamba hata kujikuna mpaka niende kwa mtu, najikuna mwenyewe, sasa wewe hata kama Kujikuna Mpaka umtafute Mtu Basi tatizo ni kubwa kuliko nilivyodhani!
 
1.hizi takwimu za >85% umezipata wapi?na sisi tuzione?
2.wapapotuuzia hivyo vitu sisi tunapata wapi hela?au anaeweza kununua hamiliki uchumi?
MAJIBU YA HOJA YAKO.
Wahindi ni wawekezaji walowezi,kwakua wao ni wafanya biashara kikubwa wanachohitaji ni POLITICAL STABILITY NA USALAMA WA MALI ZAO.wengi wao hapa sio kwao ndomana hawana vigezo/wanashindwa kujihusisha na siasa.thus ukitokea mlipuko wa mabomu watafatilia,sisi wenye nchi lazima tufatilie siasa.

Kwa mfano nikikwambia kwamba Watz wengi tuna tatizo la KUSOMA na KUELEWA kitu kilichoandikwa utabisha kwa kutaka nikupe Data?
Je, hapa JF hapatoshi kuthibitisha hilo?
Ukisoma na kuelewa nilichoandika na ukaona majibu ambayo watu wengi wanatoa, hauna budi kukubali kwamba kuna hilo tatizo.
Watu wengi (sio Wote) wanashindwa kupata nilichomaanisha wanabakia kuhamaki na kujibu kwa jazba, badala ya kukaa kidogo na kutafakari!
 
mkuu nadhani huwafahamu vizuri hawa punjabs, hapa wanajitanua tu kama wanamajipu kwenye kwapa, lakini huko kwao kuna masikini wanalala kwenye mitaro ya maji machafu, jamaa wanakula mpaka yale majani ya migomba aisee, acha kabisa, hapa they are in heaven ...
 
Mara nyingi ofisi zenye TV ni zile ambazo kuna wateja wanasubiri huduma mfano Benki,TRA hata hospitali lakini kwenye kazi za viwandani,migodini nk huwezi kuweka TV labda ofisi za mabosi tu.
 
Lakini usichojua ni kwamba wanamiliki zaidi ya asilimia 85 (>85%) ya Uchumi wetu, kwa maana nyingine wewe hauwezi hata kujenga nyumba bila ya wao kukuzia kitu, hauwezi hata kuvua Samaki bila ya wao kukuuzia Nyavu, hauwezi kununua aspirini Dukani bila ya wao kukuuzia, wakati wewe unapoteza muda tangu asubuhi kuangalia Bunge, wenzako wanachapa kazi na wanazidi kujiimarisha kiuchumi na kujiwekea mazingira mazuri pamoja na vizazi vyao vijavyo! Ndio Ujumbe wangu, fikiria hilo!

Kwanza inakubidi uelewe nani aliwapa wahindi fursa hii na je Waswahili wanazuiwa? Nijuavyo mimi Mwingereza ndio aliyewaleta wahindi ili wamrahisishie kututawala. Kwa hivo kwa miaka mingi Mhindi amejijengea mbinu,maarifa na mazingira ya kuwa karibu na watawala. Ndio maana leo hii hakuna muhindi hata mmoja kwenye upinzani. Siku nchi ikichukuliwa na upinzani utashangaa wahindi "kuitema" CCM kama walivyomtema mkoloni 1961.

Hayo maduka na viwanda vyao viko kitambo sana katika maeneo yao, na ndio maana kila siku tunasongamana kuwafuata city centre asubuhi na jioni tunarudi makwetu ushenzini!
 
Kwanza inakubidi uelewe nani aliwapa wahindi fursa hii na je Waswahili wanazuiwa? Nijuavyo mimi Mwingereza ndio aliyewaleta wahindi ili wamrahisishie kututawala. Kwa hivo kwa miaka mingi Mhindi amejijengea mbinu,maarifa na mazingira ya kuwa karibu na watawala. Ndio maana leo hii hakuna muhindi hata mmoja kwenye upinzani. Siku nchi ikichukuliwa na upinzani utashangaa wahindi "kuitema" CCM kama walivyomtema mkoloni 1961.

Hayo maduka na viwanda vyao viko kitambo sana katika maeneo yao, na ndio maana kila siku tunasongamana kuwafuata city centre asubuhi na jioni tunarudi makwetu ushenzini!

Hebu niweke sawa kidogo, hiyo unataka kusema nini hasa?
Kwamba Huo utajiri wao wamepewa na hawajaufanyia kazi?
Sijakuelewa vizuri unaweza kufafanua vizuri, kama ukipenda!

 
Mkuu una hoja ya msingi sana ila hujaiweka sawa tu. Mimi mwenyewe kuna siku nilitembelea kwenye idara moja ya serikali kwa shida binafsi,nikafika mapokezi lakini hakukuwa na mtu,nikasimama kwenye kijidirisha nikitegemea mhusika atatokea muda si mrefu lakini wapi
Baada ya kusimama kama dakika 3 nikaona ni kheri nikapumzike kwenye sofa ambazo zipo pale na kulikuwa na watu wengine wanne ambao nilidhani ni wageni kama mimi,walikuwa wakiangalia marudio ya tamthiliya ya isidingo. Cha kushangaza baada ya kumalizika kwa tamthiliya hiyo,wadada wawili waliinuka na kuingia kwenye chumba cha mapokezi na mmoja wao kuniita na kuniuliza anisaidie nini. Hiyo ilikuwa baada ya dkk kama 20 tangu nifike pale. Tv ile imewekwa kwa ajili ya wageni,kama ilivyo kwa taasisi zingine kama mabenki na hospitali,sasa linapokuja swala la kuacha kufanya majukumu yako kwa kuangalia runinga tu,huu ni umasikini mkubwa sana
 
Nimezungumzia fursa za kiuchumi

Kama unavyosema ni sawa, Je, sisi tumeshindwa nini kuzitumia hizo fursa za kiuchumi ukichukulia sasa tunaendesha Serikali kwa 100% ambacho ndicho chombo pekee kinachoweza kuweka mazingira ya Mtu kufanikiwa?
Na, kama hizo fursa za kichumi Wazungu wangetuachia sisi bado unafikiri leo hii tungekuwa tunamiliki Uchumi wa nchi yetu kwa zaidi ya 90?

Nikupe mfano mdogo sana, Reli ya kati ilijengwa na Mjerumani mwaka 1904 kama sikosei, Miaka 100 iliyopita, wakati imeisha ilikuwa inachukua treni kutoka Dar mpaka Kigoma mwisho wa reli masaa 48, na kulikuwa na Treni kila Siku, leo hii miaka mia moja (100) baadae treni inatumia mpaka siku nne kama sio zaidi na labda mara moja kwa wiki kufika Kigoma mwisho wa Reli, huo ni mfano mmoja tuu na sitaki kuongelea mingine kwa maana nafikiri unaifahamu!

Hivyo kutokana na mambo kama hayo inanifanya nishawishike kukubali kwamba tuna tatizo yaani kuna kitu hatukifanyi sawa sawa na hatuna budi kungalia wengine wanafanyaje, hao wengine wapo hapa hapa kwetu hatuna haja kwenda nje ya Nchi, bali hapa hapa, tuangaliie wanafanyaje na tuwaige!


 
Nipo dukani kwa muhindi, anaangalia katiba.

Sample yako haijafika huku.
 
Kwa mfano nikikwambia kwamba Watz wengi tuna tatizo la KUSOMA na KUELEWA kitu kilichoandikwa utabisha kwa kutaka nikupe Data?
Je, hapa JF hapatoshi kuthibitisha hilo?
Ukisoma na kuelewa nilichoandika na ukaona majibu ambayo watu wengi wanatoa, hauna budi kukubali kwamba kuna hilo tatizo.
Watu wengi (sio Wote) wanashindwa kupata nilichomaanisha wanabakia kuhamaki na kujibu kwa jazba, badala ya kukaa kidogo na kutafakari!


nimekuelewa,ila sijaona research ya >85% ndomana nikauliza huenda kuna sehemu zipo data za research.tuko pamoja mkuu,ila usiwafate wahindi ktk siasa mana wao sio kwao hapa,zikitokea vurugu wanarudi kwao.
 
Kama unavyosema ni sawa, Je, sisi tumeshindwa nini kuzitumia hizo fursa za kiuchumi ukichukulia sasa tunaendesha Serikali kwa 100% ambacho ndicho chombo pekee kinachoweza kuweka mazingira ya Mtu kufanikiwa?

Serikali hiyohiyo inayofadhiliwa na Wahindi kuwepo madarakani?
 
Serikali hiyohiyo inayofadhiliwa na Wahindi kuwepo madarakani?

Sasa hauoni kama tuna tatizo hapo? Serikali ni ya nani? ni ya Waingereza au Wajerumani? Kama umesema kwamba Wahindi waliweza kufanikiwa kwa kuwa Serikali za wakati ule za Wazungu ziliwapendelea, sasa kwa nini na leo pia Serikali iliyo chini yetu pia iendelee kuwapendelea tuu? Kumbuka kwamba Serikali siyo Mashine bali ni watu ambao ni mimi na wewe kwa maana nyingine Serikali ya Nchi fulani ndio kioo cha kuonyesha jinsi hiyo jamii ilivyo kwa ujumla na si vinginenvyo!

Sasa kama unasema bado Serikali yetu ambayo ndio sisi bado inawapendelea Wahindi na Wageni basi sisi (mimi na wewe) ndio tatizo na sio Wageni!
Hauoni kama unajaribu kutafuta visingizio tuu?!

 
Sasa uo mda uliokua unazunguka kufanya utafiti si ungekua unafanya kaz na wewe??
 
Sasa uo mda uliokua unazunguka kufanya utafiti si ungekua unafanya kaz na wewe??

Ndio yale yale ninayosema, ukinisoma utaona kwamba nilishaulizwa hilo swali na tayari nimeshalibu, ulipaswa kujisumbua tu kidogo KUSOMA na KUELEWA nilichoandika!
 
Sasa hauoni kama tuna tatizo hapo? Serikali ni ya nani? ni ya Waingereza au Wajerumani? Kama umesema kwamba Wahindi waliweza kufanikiwa kwa kuwa Serikali za wakati ule za Wazungu ziliwapendelea, sasa kwa nini na leo pia Serikali iliyo chini yetu pia iendelee kuwapendelea tuu? Kumbuka kwamba Serikali siyo Mashine bali ni watu ambao ni mimi na wewe kwa maana nyingine Serikali ya Nchi fulani ndio kioo cha kuonyesha jinsi hiyo jamii ilivyo kwa ujumla na si vinginenvyo!

Sasa kama unasema bado Serikali yetu ambayo ndio sisi bado inawapendelea Wahindi na Wageni basi sisi (mimi na wewe) ndio tatizo na sio Wageni!
Hauoni kama unajaribu kutafuta visingizio tuu?!

Hizo ni nadharia tu.......mkoloni bado ana mkono wake. Ukitaka kujua hili fuatilia kwa nini Andy Chande alipewa knighthood na malkia Lizabeta wa Uingereza!

Jayantilal Keshavji Chande (born 7 May 1928) (aka Andy Chande) is a prominent Tanzanian businessman, philanthropist and a freemason.

In 2003 he received the ‘Hind Ratna' award from I.K. Gujral, the former Indian Prime Minister. The International Congress of Non-Resident Indians (NRI) then declared him to be the ‘non-Resident Indian of the year'. He was also given the Pride of India Gold Award by the NRI Institute in London.

He was made an Honorary Knight Commander of the Most Excellent Order of the British Empire on 29 August 2003, the first of its kind given to a Tanzanian citizen , for protectin BRITSH interests in Tanzania and Africa.


On 9 January 2005, The President of India, Dr APJ Abdul Kalam honoured him with the prestigious Pravasi Bharatiya Samman Award.
 

Hizo ni nadharia tu.......mkoloni bado ana mkono wake. Ukitaka kujua hili fuatilia kwa nini Andy Chande alipewa knighthood na malkia Lizabeta wa Uingereza!

Kwa hiyo sasa unataka kusemaje labda? Kwamba kuendelea kwa Umaskini wetu ni bado kwa ajili ya Mkoloni?
Mkoloni anahusika vipi na kutokutengeneza Reli ya Kati?
Mkoloni anahusika vipi na kuwalipa Wabunge laki tatu kwa siku?
Mkoloni anahusika vipi na Serikali yetu kutokukusanya kodi?
Mkoloni anahusika vipi kuibiwa mizigo yetu Bandarini na Uwanja wa ndege?
Mkoloni anahusika vipi na kupakia Meno ya Tembo na Faru kwenye gari la Polisi au Jeshi na kusafirisha Nje ya Nchi!

Bado unatafuta visingizio tuu!
 
Back
Top Bottom