Wahindi na Bunge Kurushwa Live!

Wahindi na Bunge Kurushwa Live!

Kwa kuanzia soma hapo chini kwenye wikipedia, kwanza kulingana na wikipedia hata idadi yangu nimezidisha zaidi ya mara 3! Ukishamaliza hapo kama bado hujaridhika tunaweza kuendelea!

http://en.wikipedia.org/wiki/Indians_in_Tanzania


Hivi unaielewa hiyo wikipedia vizuri au basi umeingia ukakutana na hizo takwimu ukaridhika.., wikipedia inapata contents toka kwa users kama mimi na wewe, yawezekana zikawa na ukweli lakini pia zaweza kuwa za kupotosha. Hata hivyo wewe umesema umefanya utafiti wako mwenyewe ambao ningependa kujua umeufanyia wapi.
 
Ujinga ni mzigo sana...ni kama ulemavu vile.
 
Hivi unaielewa hiyo wikipedia vizuri au basi umeingia ukakutana na hizo takwimu ukaridhika.., wikipedia inapata contents toka kwa users kama mimi na wewe, yawezekana zikawa na ukweli lakini pia zaweza kuwa za kupotosha. Hata hivyo wewe umesema umefanya utafiti wako mwenyewe ambao ningependa kujua umeufanyia wapi.

Takwimu haziwezi hata siku moja kuwa sahihi kwa 100% na pia ni vigumu kuwa si sahihi kwa 100%, hivyo kama zimepotoshwa sana basi zitakuwa katikati!

Utafiti wangu BINAFSI nimeufanyia kwetu Dar, pia Mikoani kama Shinyanga, Arusha, Mbeya, Iringa, Mtwara na Lindi, na kote huko Uchumi wote kutoka kwenye miji Mikuu ya Mikoa mpaka Miji Mikuu ya Wilaya uko chini ya Wahindi!

Na ukitaka kulijua hilo leo hapa Tanzania jaribu kuanzisha shughuli yoyote ile halafu useme sitaki kuwahusisha Wahindi kwa namna moja ama nyingine uone kama hautakwama, anza hata kuvua samaki tu, lazima uende kitumbini kwa Muhindi akuuzie Nyavu, hata Ukitaka kununua vitenge upeleke nje ya nchi lazima uende kwa Wahindi vinginevyo haufiki mbali, spea za magari, Pembejeo za kilimo, Utalii, Mabenki, n.k na hawa ni watu ambao hawafiki hata asilimia Moja (1%) ya idadi yetu ya watu takribani milioni 40!

Serikali Simamisha kuonyesha Bunge Live Muda wa Kazi ili tufanye kazi kwa bidii na tutoke Hapa tulipo!

 
JF nadhani sasa ni wakati muanze kutuchaji kwa kila post tunayopost..
Watu hawatatumia pesa zao kupost ujinga!
 
unataka kutuambia nini hapa hii katiba ni ya miaka 50 ijayo halafu yetu watawaliwa

ni muhimu kwetu kufuatilia mpango mzima wa katiba ili tujitambue

ACHA KUTUKATISHA TAMAA
 
Lakini usichojua ni kwamba wanamiliki zaidi ya asilimia 85 (>85%) ya Uchumi wetu, kwa maana nyingine wewe hauwezi hata kujenga nyumba bila ya wao kukuzia kitu, hauwezi hata kuvua Samaki bila ya wao kukuuzia Nyavu, hauwezi kununua aspirini Dukani bila ya wao kukuuzia, wakati wewe unapoteza muda tangu asubuhi kuangalia Bunge, wenzako wanachapa kazi na wanazidi kujiimarisha kiuchumi na kujiwekea mazingira mazuri pamoja na vizazi vyao vijavyo! Ndio Ujumbe wangu, fikiria hilo!


Kijakazi wa wahindi!
 
unataka kutuambia nini hapa hii katiba ni ya miaka 50 ijayo halafu yetu watawaliwa

ni muhimu kwetu kufuatilia mpango mzima wa katiba ili tujitambue

ACHA KUTUKATISHA TAMAA

Simkatishi mtu Tamaa, bali nina nia kutufanya tuanze kuchapa Kazi, tujitume bila kuchoka, tuache Uvivu wa kuangalia TV muda ambao tulipashwa tuongeze kipato chetu ili tuweze kujikwamua na kujikomboa, vinginevyo tutabaki kutawaliwa na Watu wengine kutoka Nje Maisha yetu yote, na tutabaki kulalamika kubaguliwa kwenye Ardhi yetu wenyewe tulipozaliwa, tutaenda wapi kama hatujengi nchi yetu kwa kufanya kazi, Madiaspora nao wanalia huko waliko iwe Marekani, Ulaya, Japani, au Uchina hawatakiwi wanaitwa manyani, na kazi hawapewi, sasa ni mpaka lini?

Dawa ni moja tu Kuchapa kazi kwa Bidii na sio kuangalia Bunge Muda wa Kazi!
 
Kafie mbele huko!! kazi yako ya kufagia kwa wahindi isitupe taabu... Tangu lini Mhindi akaipenda Tanzania? Asilimia kubwa ya hao uliowataja wanapassport zaidi ya tatu... Katiba ni kwa maslahi ya watanzania sio wahindi...

Yaani hii komenti ya kwanza ktk uzi huu imenifanya nicheke kama juha hadi watu wamenishangaa!
 
Acha ujinga wewe!Wakati unazurula kuona nani anaangalia Tv ulikuwa unazalisha nini?
 
tatizo la Tanzania wala si CCM ama CDM, tatizo la Tanzania ni watanzania...WAtanzania wanaendekeza masihara masihara kwenye kila jambo..Maisha bora hayawezi kuja kuangalia TV wakati wa kazi
 
Sasa wahindi ni Watz au wanachuuma mali haapa, hao sio wenzetu ni majizi tu
 
Acha ujinga wewe!Wakati unazurula kuona nani anaangalia Tv ulikuwa unazalisha nini?

Sikuwa nazurula bali nilikuwa ktk majukumu ya kikazi ya kila siku, hivyo nilikuwa naingiza siku na kuchangia mapato ya nchi yetu wakati huo huo pia nafanya Utafiti wangu binafsi!

 
Wacha tu tuangalie Bunge ndugu yangu.....

Hata babu zetu pia walisema wakati tunachukuliwa kwenda kuuzwa Bagamoyo na Zanzibar, "wacha watuuze ndugu yangu"!

 
kafie mbele huko!! Kazi yako ya kufagia kwa wahindi isitupe taabu... Tangu lini mhindi akaipenda tanzania? Asilimia kubwa ya hao uliowataja wanapassport zaidi ya tatu... Katiba ni kwa maslahi ya watanzania sio wahindi...

kwani wahindi wamechaguliwa kwenye hilo bunge la katiba....serikali haikuwajali kama ni raia ..sasa wana umuhimu gani wa kusikiliza mambo ambayo wametengwa?
 
Back
Top Bottom