king Chuga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 510
- 52
Nafurahi kusikia kila siku chuo cha Mzumbe kinategewa sana katika idara mbali mbali za serikali na mashirika ya watu binafsi. Kuna tathimini ambazo sio rasmi zinaonesha 71% ya wafanyakazi hapa Tanzania ni matunda ya Mzumbe.
NB: hizo 71% utafiti unazungumzia mambo ya administration na sio ajira zote kiujumla.
NB: hizo 71% utafiti unazungumzia mambo ya administration na sio ajira zote kiujumla.