JUNK MASTER
Member
- Aug 14, 2012
- 84
- 18
Sio ivyo bhana !! Ila kwa bahati nzuri brother angu amebahatika kufanya field na jamaa kutoka DIT katika kiwanda cha TBL hapa dar "Alisema Ya kwamba jamaa wa dit Wana kiherehere na mbwembwe kila kitu wanajifanya wanajua kumbe ni vilaza tu " Afu wanatabia ya kujipendekeza kwa mameneja ili waonekane wao ni bora kumbe ni uwozo mtupu !! DIT Hawana jipya
Kweli ndio maana majengo mengi yalikuwa yanaporomoka kwa maana ENGINEERS wengi walikuwa ni wamezaji kutoka UDSM wala si watendaji
Anayejua anajua tu kwanini huyo brother wako wa UDSM asiwe na kiherehere ,he had no confidence kwa maana ni mmezaji na wala si mtendaji
Kusema ukweli JUNK MASTER kweli ni junk na ni msomi wa kukariri kariri tu. Nina shaka sana na uwezo wako wa kuelewa mambo ya ulimwengu huu yanavyokwenda...pengine ndio wale mafundi mchundo tuliokuwa tunakutana nao kwenye field miaka ile. As long as these engineers you discredit continue to push their professional forward hata ukisema nini unapoteza muda tu. Unachongombania hapa hutakaa kukipa maana hakuna atakayekupa. Nionyeshe jina la engineer aliyeangusha ghorofa kama sio kukariri kwenye magazeti ya udaku?
Ukijisahau na kufikiria kusoma Dar tech ndio kutakupa maisha bora jiandae kuwa frustrated kwenye hii system yetu.
Unajua Engineers ambao hawakuandaliwa vizuri practically kama UDSM ndio watakaotuaibisha katika soko la ajira katika Jumuiya ya Afrika Mashariki so lazima tuseme ukweli hili ni janga la kitaifa maana hata kwenye interview hawajiamini maana wamekariri tu vitendo hamna bora hata St. Joseph wako juu
Dar Tech mko juu sana.,...ndio maana mnapata kazi kila sehemu na kuwagaragaza watu wa UDSM...teh teh teh!
Bora umekubari kufunga thread kwa kukubari ukweli that's true, tena sio kuajiriwa tu hata kujiajiri kitu ambacho UDSM hamtaweza kufanya
ninachojua mimi Muhandisi ni Muhandisi tu,sijawai kuona mahala popote hata iwe tangazo la kazi wanasema eti wanaitaji Muhandisi wa DIT au Muhandisi wa UDSM,haya aliyoleta mleta mada ni pumba na ulimbukeni,ni upuuzi wa hali ya juu na hakuna chochote cha kumsaidia ili kutoka hapo alipo isipokua maombi tu.Pepo la ujinga toka kwa jina la yesu
wee thubutu !! Nenda pale coet uulizie jamaa anayewakimbiza kwenye mechanical engrn mwaka wa 3 ndo anaingia wa 4 jamaa yuko fit kotekote pract and theory
Jaman, competence ya mtu inatokana na mtu mwenyewe wala si mahali aliposoma, mimi nimesoma shule ya kata o-level na nikapata 1 ya 15, aliyenifuata alikuwa na 3 ya 25, na wale waliosoma shule kubwa wapo waliofaulu na waliopata zero ingawa mtihani tulifanya ulele, so kuwa competent ni mtu mwenyewe na si chuo wala taasisi aliyosoma, PERIOD!!!
wee thubutu !! Nenda pale coet uulizie jamaa anayewakimbiza kwenye mechanical engrn mwaka wa 3 ndo anaingia wa 4 jamaa yuko fit kotekote pract and theory
Bora umekubari kufunga thread kwa kukubari ukweli that's true, tena sio kuajiriwa tu hata kujiajiri kitu ambacho UDSM hamtaweza kufanya
nngekua kwenye pc nngekugongea like
Du ! Hizi discussion nimezizoea kwa watu wa biashara , kumbe na ma engineers nao wanazipenda ?
UDSM na DIT ni vyuo vyenye madhumuni tofauti , UDSM kinawajenga wanafunzi wake wawe good designers ,
wakati DIT inawajenga wanafunzi wake waweze ku operate (designs) hizo machines in more efficient way .
Generally , hakuna faida yeyote kuvilinganisha hivi vyuo ,labda kama unajidanganya UDSM /DIT itakubeba katika ajira.
Musa17 , futa hii thread , ma engineers hatuhitaji kujua chuo gani zaidi kati ya UDSM / DIT ,
tufikirie mambo ya maendeleo na sio kuiga ushindani wa kijinga wa fani nyingine ,
kutegemea chuo kukubeba ni dalili ya kutojiamini wewe binafsi .
FUTA HII THREAD ,TUMIA HII NGUVU KUTUUNGANISHA SOTE , TUJENGE TAIFA LETU MOJA
Musa17 , hizi inshu za majigambo na dharua zisizo na vichwa ni sisi wenyewe tunalipa kichwa ,Pamoja na kuwepo kwa wachangiaje wengi waliotoka nje ya maada! Lengo kuu la post hii ni kuwafungua macho vijana wanaotaraji kujiunga na vyuo mbalimbali waki specialize katika field hii ya UHANDISI. Lengo si kuweka makundi au utengano baina ya wahandisi hapa nchini. Naamini kwa aliyehitaji kujua mambo yalivyo huku vyuoni, kashajua. Ahsante kwa ushauri wako na next posts zitazingatia pendekezo lako mkuu.