Maoni yako ni yepi juu ya hili:
Wahitimu wa form six masomo ya Sayansi (PCM, PCB, CBG) wana uelewa zaidi kuliko wahitimu wa vyuo waliosomea ualimu.
Kuna mdau ameshauri wahitimu wa form six wawe wanaajiriwa moja kwa moja kufundisha shule za sekondari bila kupitia chuo wanakoenda kugoogle badala ya kusoma vitabu.
Japo umeleta thread kwa ushabiki kama ambavyo huwa unafanya katika nyuzi zakoMaoni yako ni yepi juu ya hili:
Wahitimu wa form six masomo ya Sayansi (PCM, PCB, CBG) wana uelewa zaidi kuliko wahitimu wa vyuo waliosomea ualimu.
Kuna mdau ameshauri wahitimu wa form six wawe wanaajiriwa moja kwa moja kufundisha shule za sekondari bila kupitia chuo wanakoenda kugoogle badala ya kusoma vitabu.
Maoni yako ni yepi juu ya hili:
Wahitimu wa form six masomo ya Sayansi (PCM, PCB, CBG) wana uelewa zaidi kuliko wahitimu wa vyuo waliosomea ualimu.
Kuna mdau ameshauri wahitimu wa form six wawe wanaajiriwa moja kwa moja kufundisha shule za sekondari bila kupitia chuo wanakoenda kugoogle badala ya kusoma vitabu.
Sijaelewa, unamaanisha kwenye mitihani wanaenda na smart phones???Maoni yako ni yepi juu ya hili:
Wahitimu wa form six masomo ya Sayansi (PCM, PCB, CBG) wana uelewa zaidi kuliko wahitimu wa vyuo waliosomea ualimu.
Kuna mdau ameshauri wahitimu wa form six wawe wanaajiriwa moja kwa moja kufundisha shule za sekondari bila kupitia chuo wanakoenda kugoogle badala ya kusoma vitabu.
Samahani sana boss sijawahi kufeli katika maisha yangu GPA yangu inaweza kuwa ni mara nne ya GPA yako. Sehemu pekee nayoweza kufeli ni biashara tu labda kwa kuogopa risk na masoko sahihi lakini sio mambo ya darasani hayo tunayochukua kwenye vitabu.Tangu ulipokosa GPA ya juu na kufeli ulivyofeli kivyako chuoni.. nimekupenda jinsi unavyozidi kufuatilia haya ya elimu.. na kuandika lolotwe lilwe.. bali tu upate amani moyoni mwako.. na kutaka mabadiliko kwa sanaa.. bali jifunze kujifunza kabla ya kuandika majanga..
Maswali.. Borwa ungeandika ki hivi. je,....?
Kwa maelezo hayo maana yake ukipata GPA chini ya 2Samahani sana boss sijawahi kufeli katika maisha yangu GPA yako inaweza kuwa ni mara nne ya GPA yangu. Sehemu pekee nayoweza kufeli ni biashara tu labda kwa kuogopa risk na masoko sahihi lakini sio mambo ya darasani hayo tunayochukua kwenye vitabu.
GPA yangu = GPA yake x 4Kwa maelezo hayo maana yake ukipata GPA chini ya 2
Sasa ndugu, hizo content za hao PCB na PCM si zimetoka kwa hao hao walimu ambao walishahitimu chuo kikuu!Maoni yako ni yepi juu ya hili:
Wahitimu wa form six masomo ya Sayansi (PCM, PCB, CBG) wana uelewa zaidi kuliko wahitimu wa vyuo waliosomea ualimu.
Kuna mdau ameshauri wahitimu wa form six wawe wanaajiriwa moja kwa moja kufundisha shule za sekondari bila kupitia chuo wanakoenda kugoogle badala ya kusoma vitabu.
Mgote form six alipata E kwny physics.. akaenda kusoma ualimu so by proffesional ni mwalimuUnga; Mgote; Kihombo; N.K
Kama huna taaluma ya ualimu huwezi andika uo uzi..Maoni yako ni yepi juu ya hili:
Wahitimu wa form six masomo ya Sayansi (PCM, PCB, CBG) wana uelewa zaidi kuliko wahitimu wa vyuo waliosomea ualimu.
Kuna mdau ameshauri wahitimu wa form six wawe wanaajiriwa moja kwa moja kufundisha shule za sekondari bila kupitia chuo wanakoenda kugoogle badala ya kusoma vitabu.
Wale ni makanjanja😄wa elimu.Hapa tunazungumzia ualimu hata huyo form six graduate pia ni mwalimu. Embu jaribu kuangalia wale walimu wetu wa chemistry wakina Sir Unga, walisomea chuo wapi. Lakini hao ndio wapo deep sana kwenye chemistry, angalia Mgote.
Private zipi hizo unazungumzia?Acha ujanja kaka, Unga amesoma teaching methodologies wapi. Na walimu wengi wa private schools wala hawaasomea huo ualimu unaousema.