Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Binafsi umefanikiwaje huko?
Kwa Tanzania, Ila kwa wenzetu Talents, Professions na Innovations (Brain) ndizo zinazotajirisha watuMaisha hayapo ivyo kama unavyodhani.
Okay, vizuri.Mimi sijasomea taaluma za kutawala mtandaoni. Ndio maana nimeuliza graduates wenye taaluma ama tabia zinazoruhusu kutawala mitandaoni nilizozitaja kwenye uzi.
Pia maendeleo yangu sio haba kwa mtu mwenye age yangu.
Mimi ninamiliki rums za kupangisha zaidi ya 30. Plus Viwanja kazaa
Na safari bado inaendelea..
Ni wenzetu, wanatuwakilisha, kwa pamoja tunasema, fani inalipahabari wadau.
kila mwaka udsm inamwaga vijana graduates wenye degree mbali mbali.
Mzumbe na udom hivyo hivyo.
Ajira ni ngumu wote tunajua, graduates karibu wote wa vyuo hivyo vikuu huwa wanatumia social media mbali mbali.
kizazi cha internet kinatambua kwamba kuna fursa nyingi za kupiga hela na ajira zinapatikana ukiweza kutawala ama kujibrand kwenye mtandao.
1.vyuoni kuna wadada kibao wana tabia kama za Hamisa mobetto, najiuliza wanakwama wapi kutumia tabia zao hizo hizo Kujibrand na kupiga hela za mtandaoni. Hamisa mobetto form 4 failure anawazidi vipi ujanja dada zetu wenye tabia kama zake waliojaa vyuo vikuu vyetu.
2. Mc garab ni mwalimu level ya diploma kasoma zake kigurunyembe teachers college.. kajiongeza kwa kujibrand mtandaoni.. kawa MC mkubwa anapiga hela harusi moja anachaji milioni 4. kwenda kuongea masaa kazaa ukumbini. wasomi wa vyuo vikuu na degree zetu tunakwama wapi kujibrand kwa kutumia elimu zetu tuwe zaidi yake
3. Millard ayo na yeye hivyo hivyo. form 4 failure kasoma zake certificate ya journalism tu vyuo vya kienyeji. ila ndie amedominate soko la habari. sababu kuu kajua kujibrand mtandaoni.. udsm inamwaga graduates wenye degree za uandishi wa habari kila mwaka,, wanakwama wapi kujibrand kwa kutumia elimu zao wamkimbize millard ayo. maana internet unajibeba mwenyewe kwa content zako
Babu tale na yeye kajiongeza kadandia umeneja WCB, umembeba mpaka kaenda bungeni, wasomi wa managemet degrees wanamwagwa kila siku na vyuo vikuu vyetu, why hawajiongezi kwenye fursa za ku manage wasanii
wasomi tunakwama wapi kutawala ajira za mitandaoni
Okay, vizuri.
Ila kwani hao graduate wamesomea hizo taaluma za kutawala mitandaoni Kweli?he hizo taaluma za kutawala mitandaoni zinafundishwa huko vyuoni?
hazifundishwi kutoboa mitandaoni ni juhudi za mtu binafsi ila sana sana bahatiOkay, vizuri.
Ila kwani hao graduate wamesomea hizo taaluma za kutawala mitandaoni Kweli?
Je hizo taaluma za kutawala mitandaoni zinafundishwa huko vyuoni?
kua social media influencer hakuhitaji elimu yeyoteJournalism ni mojawapo lazima iende mtandaoni ili kusambaza habari.
Taaluma za creative arts department. Sanaa zote lazima iende mtandaoni ili ifikie audience.
Hapo kwenye bahati uko sawa!maana Kuna watu wanaforce sana ila bilabilahazifundishwi kutoboa mitandaoni ni juhudi za mtu binafsi ila sana sana bahati
mpaka uwe na ile personality ambayo inapendwa na watu, ni kipaji kwa namna yakeHapo kwenye bahati uko sawa!maana Kuna watu wanaforce sana ila bilabila
Duuuh! anyways ngoja magraduate wenyewe waje waseme,sie wengine hatukumbuki hata vyeti tulitupa wapi!Journalism ni mojawapo lazima iende mtandaoni ili kusambaza habari.
Taaluma za creative arts department. Sanaa yoyote lazima iende mtandaoni ili ifikie audience.
Mtoe gara b ,unamdhalilisha kaka wa watu msomi
Mimi sijasomea taaluma za kutawala mtandaoni. Ndio maana nimeuliza graduates wenye taaluma ama tabia zinazoruhusu kutawala mitandaoni nilizozitaja kwenye uzi.
Pia maendeleo yangu sio haba kwa mtu mwenye age yangu.
Mimi ninamiliki rums za kupangisha zaidi ya 30. Plus Viwanja kazaa
Na safari bado inaendelea..
Mwenye kudharau ilmu binfsi huwa namuonea tu huruma!
Msisahau huyo Millard pamoja na hapo alipofika ni wasomi kawaajili wanamfanyia kazi
Anao content developers
Anao graphics designers
Anao sound editors
Anao video producers and video editors
In short anamiliki kampuni iliyokamilika na inayoendeshwa kama inavyotakiwa
Yeye alipata wazo + capital mengine mengi sasa yanayaendelea sio mawazo yake tena Bali ya watu tena wenye taaluma zao walioajiliwa na kampuni.
Sent from my phone