Wahitimu wa Vyuo mnakwama wapi? Kina Millard Ayo, MC Garab, Babu Tale, Hamissa Mobetto wanakimbiza kutawala fursa za social media

Wahitimu wa Vyuo mnakwama wapi? Kina Millard Ayo, MC Garab, Babu Tale, Hamissa Mobetto wanakimbiza kutawala fursa za social media

Mc garab ni mwalimu kwa taaluma. Ana diploma ya ualimu.

Hana degree ila diploma anayo. Hivyo ni msomi pia
 
Nadhani influencers wengi waliosoma wapo Twitter na linkedin kwa sababu huko kuna audience ambayo ipo serious zaidi

Lakini ukiangalia watu maarufu au influencers waliopo katika siasa au corporate world kama zitto au kelvin twissa ni wasomi wazuri sanaa

Lakini hata katika entertainment watu maarufu waliofika hata chuo wapo wengi ila hawaweki sana elimu mbele maana kipaji ndio kimewafikisha hapo mfano Mimi Mars, Nikki wa pili, Jokate, Faraja Kotta, Nancy Sumari, Mwana Fa, Zuchu, Maua Sama, deo etc

Twitter na linkedin zina maana gani kama hazileti madili ya hela.

Mitandao inayowafanya watu wajenge brand ni instagram, youtube na tik tok.

Kama unataka kupiga hela weka nguvu kuweka content kali kwenye hii mitandao
 
Na watu wakubwa ambao wamefikisha sanaa au kuwapush hao tunaowaona kama successful stories ni wasomi kiasi pia mfano Ruge na Seven Mosha, wote shule zipo

Kiufupi elimu haikupi mafanikio ila inarahisisha kuyapata

Na kingine wasanii wengi sana kama diamond au ali kiba kufeli kwao kunawasaidia muda wa kupambania kipaji.
Imagine mtu ni form four failure, ananda kupambana mara THT au studios kwa miaka hata mitano ndo anakuja kutoka, sasa graduate unamaliza hata na 23 or 24 ndio uanze kupambana kwenye entertainment 🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️

Itahitajika bahati kufika pakubwa, naamini hata Idris asingefika hapo alipo kama angeendelea na degree ya udaktari. Aliishia form six, akaanza kupambana

Wewe umeongea point kubwa sana
 
Twitter na linkedin zina maana gani kama hazileti madili ya hela.

Mitandao inayowafanya watu wajenge brand ni instagram, youtube na tik tok.

Kama unataka kupiga hela weka nguvu kuweka content kali kwenye hii mitandao

Linkedin ni online CV ile mkuu..


Kwa hiyo ukitaka umaarufu na deal za kisuzy bale kule HAKUNA Ila kama unataka kupambana na fursa za corporate au NGOs au hata kutengeneza brand ya kuuza professional services. Kule ndio penyewe
 
Back
Top Bottom