Wahitimu wa vyuo vikuu wanapitia mateso makali sana kisaikolojia. Wazazi mkumbuke kuaanzisha family business, watunzieni mitaji ya kuwapa after chuo

Tatizo hawataki kihustle pamoja wanataka mubaba wa v8 ndio shida yao.
 
Ulichosema ni kweli
 
Nakusikitikia sana mkuu "ety Elimu ni urithi wa mtoto" Yan mtoto kaji pambania usiku kucha anasoma anafanya mitihani mwenyewe alafu unasema kwamba umerithisisha 🤣🤔kwa kweli haina mantiki kabisa
 
Sasa mdada miaka 10 toka umalize chuo hujaolewa jamani....hili mie naoma ndio tatizo kubwa zaidi.

Jamani kataa ndoa evu walegezeeni wanawake wanataabika huku.
Waoeni muwatunze
Ndoa inauhusiano gani na ajira?? Wew hushindwi kumshauri mtu akajiuze
 
Eti enh tusisomeshe, tuwaandalie high income business sio? Tuanzishe family business.... Si haba tunaheshimu mawazo yako .
 
Sasa mdada miaka 10 toka umalize chuo hujaolewa jamani....hili mie naoma ndio tatizo kubwa zaidi.

Jamani kataa ndoa evu walegezeeni wanawake wanataabika huku.
Waoeni muwatunze
Mkuu kuolewa ni ajira?
 
Sasa mdada miaka 10 toka umalize chuo hujaolewa jamani....hili mie naoma ndio tatizo kubwa zaidi.

Jamani kataa ndoa evu walegezeeni wanawake wanataabika huku.
Waoeni muwatunze
Kuolewa ni ajira?ni wanaume wangapi ambao wanaweza kumuaccomodate mwanamke needs zake na familia yake alikotoka ?unajua familia yake inahitaji msaada wake kiasi gani kiasi kwamba hajakata tamaa ya kuatafuta?unajua ni maumivu kiasi gani kuolewa na mwanaume asiyejielewa na kutambua mahitaji ya mwanamke unatamani utimiziwe ila mwanaume kwa makusudi au kutotaka hafanyi hivo..unajua ni maumivu kiasi gani huna ajira na unacheti kabatini maisha yanakuchapa vilivyo...
mliopata msidharau wanaojitafuta ni neema tu imewashukia kwa wakati wenu na ipo siku Mungu akiamua na wao watapata haina haja ya kejeli na masimango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…