Apeche alolo
JF-Expert Member
- Apr 14, 2023
- 2,517
- 5,533
malisa napitaga kwake hapo kanisani kukatiza jeshini mwanzoni nlizani ni ukumbi wa harusi mpaka nlipokuja kujua ni kanisaYule kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kaa chini na kumsikiloza Kuhani Musa. Ni bora mara sabini nirudi kunuwa ulanzi kuliko kwenda kusali kwa Kuhani Musa,Mwamposa, Sijui shilla au Bashando au Yule mama Shaboka au mtalemwa au Masanja. Bora nirudi kwenye umalaya wangu wa zamani tu kuliko kukaa pale niwasikilize. Eti unamsikiliza Maboya, Mgogo, Kapora, Mashimo, Geordavie, Malisa au mchungaji sijui Mtume au nabii wa namna hii.View attachment 2819000
Cathryn Kuhlman alikuwa mlezi wake, lakini suala la "incarnation", n.k. sijawahi kusikia kitu kama hicho, na sitarajii Benny Hinn kuwa na mtazamo huo. Labda ulimwelewa vibaya mkuu.Kiongozi wa KIROHO wa Benny Hin nazani ni Catherine kuhlman na huwaga anaenda kutembelea kaburi lake Anasema Ile roho ya Catherine ime incarnate kwake
Sasa sijui hii nini kama sio uchawi
Malisa yupi, wa Kanisa la Ukombozi Mwanza?malisa napitaga kwake hapo kanisani kukatiza jeshini mwanzoni nlizani ni ukumbi wa harusi mpaka nlipokuja kujua ni kanisa
β πMungu awasimamie watumishi wake Amen.Binafsi tangu nikiwa na Miaka minne Wazazi wangu walikuwa wananunua tapes za Mwl Mwakasege,amekuwa mwalimu mwema sana kwangu Kwa Miaka takribani 30.Mungu amuongezee.
huyu alieyepo ubungo river side kama unaenda ubungo makokaMalisa yupi, wa Kanisa la Ukombozi Mwanza?
Ni wa wapi hao watumishi?Pastor Ceasar Masis
Apostle Oscar Obeid (RIP)
Kumbe ni huko "mjini?"huyu alieyepo ubungo river side kama unaenda ubungo makoka
ndio yupo wa huku naona wasanii wanasali kwake mpaka wolper sema kanisa lipo kama ukumbi flan ivi.Kumbe ni huko "mjini?"
Wengine tupo huku "mikoani" maeneo ya vijijini.
Huwa tukija huko "mjini" tunakuwa kama "wageni" fulani hivi.
yaani wewe tangu uzaliwe unaonekana hujawahi kuhubiriwa na hauyajui mahubiri halisi yapoje. Mungu akusaidie.Wote hawa bado sijaona wa kumzidi yule nimpendae na ninayemkubali kwa 100% kama Daniel Mgogo mwenye Mahubiri ya Kiuhalisia wa Kimaisha na siyo Unafiki kama walio Wengi.
πππndio yupo wa huku naona wasanii wanasali kwake mpaka wolper sema kanisa lipo kama ukumbi flan ivi.
Mkuu kwema? Unapatikana wapi ndugu?yaani wewe tangu uzaliwe unaonekana hujawahi kuhubiriwa na hauyajui mahubiri halisi yapoje. Mungu akusaidie.
humu ndani sio watu wote wapo bongo ndugu yangu. sio wote tunatoka Geita humu. tafadhali.Mkuu kwema? Unapatikana wapi ndugu?
Natamani tuonane. Kwa Sasa nipo Geita, na mwezi ujao nitaenda Dar Es Salaam.
Kama unapatikana Mwanza, Dar Es Salaam, Geita au mikoa iliyo jirani na niliyoitaja itakuwa rahisi kukutana. Tunaweza kuonana?
utakuwa mhaya wewe si bure mjibu alicho uliza kama haupo sema haupo acha sarakasi.humu ndani sio watu wote wapo bongo ndugu yangu. sio wote tunatoka Geita humu. tafadhali.
HahahahaGwajiboy askofu, mwingira mtume na nabii, kakobe askofu, mwamposa mtume, mussa richadi mwacha nabii, geodavie nabii. KIKUNDI CHA MATAPELI WAKUU TANZANIA.
Umenena vema sanaKwa Mungu hakuna huyu mtumishi ndio Bora kuliko wengine. Mungu amempatia kila mmoja karama yake, na huwezi kushindanisha karama na kuanza kuwashindanisha watumishi.
Na mara nyingi tunapotoka kwa kulazimisha kwamba watumishi maarufu ndio waziri kuliko wengine. Mtumishi akisha kuwa na you tube channel au redio basi ndio anaitwa Bora.
Kuna siku nilikuwa nasikiliza Mwalimu Mwakasege, akasema Kuna siku Mchungaji wa Kanisa alimfuata akamwuliza , Kama Mwakasege akiwa kwenye ibada huwa anafuatilia mahubiri ya watumishi wengine. Mwakasege akamjibu kuwa huwa anafuatilia Sana na Kuna mambo mengi anayapata.
Point ya Mwakasege ni kwamba kila mtumishi kawekewa kitu chake tofauti hivyo huwezi kuanza kuwarank huyu ni Bora huyu sio Bora ( hii happy kwa manabii matapeli).
Mimi miaka ya Nyuma nilikuwa najua Askofu Kulola ndio mwanzilishi wa Upentekoste, ila nilipokuja kusoma historia ya Upentekoste nikagundua kumbe kulikuwa Kuna watumishi wakubwa miaka ya nyuma walioanzisha Upentekoste, tatizo hawakuwa maarufu.
Kwa mfano miaka ya 1935 kipindi Cha ukoloni kulikuwa na mwinjilisti mkubwa Sana alihubiri maeneo mengi Sana alikuwa anaitwa Harris Kapiga. Na wengine wengi akiwemo Mzee Andrea shimba ila hawakuwa maarufu. So nashauri tuachane na roho ya mashindano ndani ya kanisa , na kila mmoja afanye kwa kadri alivyopewa na Mungu.
Ni kweli mkuu, lakini watu si milima kwamba itakuwepo hapo siku zote.humu ndani sio watu wote wapo bongo ndugu yangu. sio wote tunatoka Geita humu. tafadhali.
πππUmenena vema sana