A
Anonymous
Guest
Mimi nina kero moja hawa wahudumu wa mabasi ya mwendokasi wanatoza nauli zaidi tofauti na utaratibu wa nauli zilizowekwa kwa kisinginzio cha kukosa chenji.
Kwa mfano nauli ya kutoka Mbezi kwenda Gerezani ni Tsh 1,250 ukitoa noti ya 2,000 unarundishiwa 500 wakisema chenji hamna.
Kwa mfano nauli ya kutoka Mbezi kwenda Gerezani ni Tsh 1,250 ukitoa noti ya 2,000 unarundishiwa 500 wakisema chenji hamna.