Wahudumu ndani ya ndege Kenya Airways ni homa ya uchaguzi au mmenyimwa mishahara yenu? Mmenitisha

Wahudumu ndani ya ndege Kenya Airways ni homa ya uchaguzi au mmenyimwa mishahara yenu? Mmenitisha

Kuna kitu ambacho wapare tunaita "labour emotion". Hao wachina wameweza kumudu hilo.
 
Ngoja ni mtagi huyu ndugu yangu MK254 njoo huku aisee

Tena akome sana huyu mleta mada, anataka tumtabasamie ili iweje...hehehe. Yupo hapo kama msafiri anayekwenda zake na wale ni wahudumu sio wacheza show ili wamkenulie meno muda wote. Hivi unajua kuna baadhi ya wahudumu japo anatabasamu lakini kimoyo moyo anakutukana matusi ya ajabu.....
 
Nunua ndege yako mkuu

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Mashauzi tu hao hawajui maana ya customer care tena ndani ya ndege.
Mashirika mengine haya makubwa ya kimataifa kama emirates wale wadada wanakuhudumia hadi unaona sasa wanakutia majaribuni [emoji23]
 
ila wenzetu wanajua biashara sana, yani ukikohoa au kujikuna kama yupo karibu huyo keshafika, kwa ndege zetu sijaona hata shirika 1 likifanya hivyo wakishamaliza kutoa tahadhari huwasikii tena labda wapitishe vinywaji,

Mkuu juzi kati nimepanda precisionair kilichotokea ni kama ulivyosema. Tahadhari-korosho maji-tunatua funga mkanda!
 
ila wenzetu wanajua biashara sana, yani ukikohoa au kujikuna kama yupo karibu huyo keshafika, kwa ndege zetu sijaona hata shirika 1 likifanya hivyo wakishamaliza kutoa tahadhari huwasikii tena labda wapitishe vinywaji,
Ukosahihi mkuu, mfano mwisho wa safari utawakuta mlangoni wakikutakia kila la kheli na kukukaribisha usafiri nao tena, lakini kwa hawa jirani zetu Kenya Airways tumefika Dar es salaam tunatoka kwenye ndege hata sikuwaona wahudumu sijui walikuwa wapi.
 
What is there to be happy about flying to Tanzania? Better niendd somalia...i would be sad too

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
ila wenzetu wanajua biashara sana, yani ukikohoa au kujikuna kama yupo karibu huyo keshafika, kwa ndege zetu sijaona hata shirika 1 likifanya hivyo wakishamaliza kutoa tahadhari huwasikii tena labda wapitishe vinywaji,
Kuna mshamba mmoja wa Tanzania alipoona wahudumu wa Qatar wanachekacheka kikazi yeye akajua mtoto kamzimia baada ya kilevi si akaenda kumshikashika akajua yupo ambiance Sinza matokeo yaje Safari ya UK ikaishia Doha Mahabusu
 
Ukosahihi mkuu, mfano mwisho wa safari utawakuta mlangoni wakikutakia kila la kheli na kukukaribisha usafiri nao tena, lakini kwa hawa jirani zetu Kenya Airways tumefika Dar es salaam tunatoka kwenye ndege hata sikuwaona wahudumu sijui walikuwa wapi.
tena hapo wote wanajikusanya na kuanza kukaribishwa tena, mie nadhani labda wale customer care yao ya airline ni tofauti na ya wa kwetu, labda principles wanazofundishwa ni tofauti na za huku ndio maana, kwanza utakuta wamenuna, wanatabasamu wakiwa wenyewe kwa wenyewe, huwa nawatizama tu nasema wacha nifike tu mengine hayanihusu
 
Kuna mshamba mmoja wa Tanzania alipoona wahudumu wa Qatar wanachekacheka kikazi yeye akajua mtoto kamzimia baada ya kilevi si akaenda kumshikashika akajua yupo ambiance Sinza matokeo yaje Safari ya UK ikaishia Doha Mahabusu
alidhani pombe ni chai hahahahaha
 
Ukosahihi mkuu, mfano mwisho wa safari utawakuta mlangoni wakikutakia kila la kheli na kukukaribisha usafiri nao tena, lakini kwa hawa jirani zetu Kenya Airways tumefika Dar es salaam tunatoka kwenye ndege hata sikuwaona wahudumu sijui walikuwa wapi.
kuna mwaka nilikuwa natoka SA na SAA basi wakakosea kwenye kucheck in wakacheki in na kaka 1 ( seat 1 - watu wa2) kutoka malawi nae alikuwa anarudi tz, sijui alikuwa mlevi sasa mie nilitangulia, kaka alikuja moto siti yangu toka, akafuatwa yule kaka akawa mkali, nikaona wanaongea kikwao na ops manager wao, dk 1 nyingi niliona wanakuja wananiomba na msamaha, wakaniambia ninyanyuke wakauliza mizigo iko wapi, wakaichukua nikapelekwa business class, kwanza nataka kukaa huku navua koti nilisikia tu bint wa watu sorry, akalichukua koti akaenda liweka kwenye makabati yao, muda huo anakuja kuniomba msamaha kwa lililotokea, nikaulizwa nitapendelea kitu gani cha kula au kunywa, daah kwa vile nilikuwa nina siku sijala mipande ya samaki, wacha nifakamie misamaki na kinywaji murua, kuna wakati niliinama hivi nikamuona anakuja speed, vipi nikusaidie nini huku anatabasamu, si unajua mitoto ya kizulu ilivyoumbika, ndege ilipofika dar bado nikabebewa mzigo wangu mpaka natoka nje ya ndege na samahani zikiwepo kibao, nikasema kwetu hicho kitu sahau aisee,
 
Ata sisi tunaosafiri kwa mabasi haya ya mikoani tunapata shida sana. Ukishalipa nauli umesahaulika kabisa. Huduma mbovu ukiomba ata kuchimba dawa unaambiwa bado hatujafika pa kuchimba dawa. Dawa nyingine density ndogo unaweza mwaga ndani ya bus ikawa aibu. Kiufupi somo la customer care linatakiwa pewa sector zote Tanzania na Some of african countries. Tuko nyuma sana. Bank unaenda weka hela yako lakini unapigwapigwa mikwara hadi na mlinzi.
 
Duh!hongera yako mwayebo umepanda ndege kipindi hiki wenzio mpaka tukafanyiwe upasuaji India tena kwa michango ya watanzania

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Yeye hakuwa mpiga dili nyie mlio zoea kupiga madili ndiyo mnalala mika maisha magumu:By JPM
 
Kuna mshamba mmoja wa Tanzania alipoona wahudumu wa Qatar wanachekacheka kikazi yeye akajua mtoto kamzimia baada ya kilevi si akaenda kumshikashika akajua yupo ambiance Sinza matokeo yaje Safari ya UK ikaishia Doha Mahabusu
Hahahaha... Jamaa hakujiongezea kazama mazima hzi nyege bhana
 
Kuna kitu labda hakipo sawa..

Mkuu kirefu cha KQ ni nini?
Kenya Airways(KQ) ilianzishwa mwaka 1977,wakati inaanzishwa shirika la ndege la Korea lilikuwa limeshaanzishwa na lilikuwa linatumia code ya KA (Korean Air)...ndipo Kenya walipoamua kutumia hiyo code wanayotumia mpk sasa.

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
 
Kenya Airways(KQ) ilianzishwa mwaka 1977,wakati inaanzishwa shirika la ndege la Korea lilikuwa limeshaanzishwa na lilikuwa linatumia code ya KA (Korean Air)...ndipo Kenya walipoamua kutumia hiyo code wanayotumia mpk sasa.

Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Hizi sasa ndo 'facts' anazofaa kusoma mtu kila anapoingia hapa jf!Kula like yangu mkuu!
 
Mi mwenyewe nilishangaa sana jana, hii hali sio nzuri kabisa, nawasihi wajirekebishe kulinda heshime yao na kwa masilahi ya taifa letu kuanzia sasa na baadae katika kujenga uchumi wa viwanda ikizingatiwa hata ukiwa na chelehani ni tayari una kiwanda sembuse panga boy.

Kama hujaelewa rudia tena kusoma.

Sent from Iphone price 5Mil
 
Back
Top Bottom