hahaaaaMmeanza mmeona kutukataza vpn haitoshi mnakuja na huku!,walahi huku tutatoka na uhai wa mtu naona ukimchekea nyani utavuna mabua!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaaaMmeanza mmeona kutukataza vpn haitoshi mnakuja na huku!,walahi huku tutatoka na uhai wa mtu naona ukimchekea nyani utavuna mabua!
Pombe ni nyoko nlilewa nikabeba bar maid nkaenda mkula asubuhi pombe zimeisha dah kumtoa ilikua aibu demu ana ngeo usoni Kama kibaka wakati usiku nlikua namwona Kama Rihanna vileKama hutaki kuona mapaja nunua bia ukanywe nyumbani kwako.
Moja ya raha ya pombe ni kuona kina Salome wakipita na vimini vilivyobana huku wakikubania sauti uwanunulie bia moja.
Uzuri wa pombe ikikolea hata kina Fatuma wenye miguu kama fito unaiyona ni miguu ya bia.
Sasa ulitaka wavae madera au magauni ya vitenge kama waimba kwaya.
😂😂😂Mawili aidha kuna barmaid mwenye kimini kamvutia ila ni domo zege kashindwa kumpata ama ana demu wake barmaid anaona watu wanamkodolea sana macho.
Kinyume na hapo haingii akilini mtu anakwenda bar na kutarajia kuona wahudumu wamevaa mabazee.
Dawa yako ndogo, nakupeleka bwawa la kuogrlea ukaaibike😂😂Mmeanza mmeona kutukataza vpn haitoshi mnakuja na huku! Walahi huku tutatoka na uhai wa mtu naona ukimchekea nyani utavuna mabua!
smartphone bila YouTube ni sawa na kanjanja mkuu.Hili ndio swali ambalo siku zote huwa najiuliza.
Nani aliwaambia wamiliki wa bar kuwa wanaume tunaenda bar kuangalia mapaja na sio kufuata huduma bora?
Na hili tutasingizia wazungu au utandawazi?
Vidada vingine hata miguu na mapaja havina, ila vinalazimika tu kujianika.
Pumbafu kabisa.
inategemea sera ta mwenye baaHili ndio swali ambalo siku zote huwa najiuliza.
Nani aliwaambia wamiliki wa bar kuwa wanaume tunaenda bar kuangalia mapaja na sio kufuata huduma bora?
Na hili tutasingizia wazungu au utandawazi?
Vidada vingine hata miguu na mapaja havina, ila vinalazimika tu kujianika.
Pumbafu kabisa.
Sahivi nishakuwa kambare mwenyewe...😂Dawa yako ndogo, nakupeleka bwawa la kuogrlea ukaaibike😂😂
Sheikh, kwani huko bar ulifuata nini? Majaribu mengine ni ya kujitakia.Hili ndio swali ambalo siku zote huwa najiuliza.
Nani aliwaambia wamiliki wa bar kuwa wanaume tunaenda bar kuangalia mapaja na sio kufuata huduma bora?
Na hili tutasingizia wazungu au utandawazi?
Vidada vingine hata miguu na mapaja havina, ila vinalazimika tu kujianika.
Pumbafu kabisa.
Weka picha sisi Wengine huwa hatuendi barHili ndio swali ambalo siku zote huwa najiuliza.
Nani aliwaambia wamiliki wa bar kuwa wanaume tunaenda bar kuangalia mapaja na sio kufuata huduma bora?
Na hili tutasingizia wazungu au utandawazi?
Vidada vingine hata miguu na mapaja havina, ila vinalazimika tu kujianika.
Pumbafu kabisa.
yes, biashara ni ngumu sana bila hilo vazi, asikwambie mtu....Hili ndio swali ambalo siku zote huwa najiuliza.
Nani aliwaambia wamiliki wa bar kuwa wanaume tunaenda bar kuangalia mapaja na sio kufuata huduma bora?
Na hili tutasingizia wazungu au utandawazi?
Vidada vingine hata miguu na mapaja havina, ila vinalazimika tu kujianika.
Pumbafu kabisa.
Unaibiwa.Utakuwa sio mnywaji wewe. Sisi nafsi zetu huwa zinasuzika unakunywa bea huku unaona wahudumu wakiwa wamejaza mzigo kwenye vipedo.