Wahudumu wa bar bila kuvaa nguo fupi, biashara haiendi?

Wahudumu wa bar bila kuvaa nguo fupi, biashara haiendi?

Mmeanza mmeona kutukataza vpn haitoshi mnakuja na huku!,walahi huku tutatoka na uhai wa mtu naona ukimchekea nyani utavuna mabua!
hahaaaa
5b96f54d-65e4-4f30-bc73-7976f6748660.jpg
 
Kama hutaki kuona mapaja nunua bia ukanywe nyumbani kwako.

Moja ya raha ya pombe ni kuona kina Salome wakipita na vimini vilivyobana huku wakikubania sauti uwanunulie bia moja.

Uzuri wa pombe ikikolea hata kina Fatuma wenye miguu kama fito unaiyona ni miguu ya bia.

Sasa ulitaka wavae madera au magauni ya vitenge kama waimba kwaya.
Pombe ni nyoko nlilewa nikabeba bar maid nkaenda mkula asubuhi pombe zimeisha dah kumtoa ilikua aibu demu ana ngeo usoni Kama kibaka wakati usiku nlikua namwona Kama Rihanna vile
 
Mawili aidha kuna barmaid mwenye kimini kamvutia ila ni domo zege kashindwa kumpata ama ana demu wake barmaid anaona watu wanamkodolea sana macho.

Kinyume na hapo haingii akilini mtu anakwenda bar na kutarajia kuona wahudumu wamevaa mabazee.
😂😂😂
 
Mmeanza mmeona kutukataza vpn haitoshi mnakuja na huku! Walahi huku tutatoka na uhai wa mtu naona ukimchekea nyani utavuna mabua!
Dawa yako ndogo, nakupeleka bwawa la kuogrlea ukaaibike😂😂
 
Hili ndio swali ambalo siku zote huwa najiuliza.

Nani aliwaambia wamiliki wa bar kuwa wanaume tunaenda bar kuangalia mapaja na sio kufuata huduma bora?

Na hili tutasingizia wazungu au utandawazi?

Vidada vingine hata miguu na mapaja havina, ila vinalazimika tu kujianika.

Pumbafu kabisa.
smartphone bila YouTube ni sawa na kanjanja mkuu.
 
Bila picha nakushauri nenda msikitini utakuta wamevaa hadi kichwani.
 
Hili ndio swali ambalo siku zote huwa najiuliza.

Nani aliwaambia wamiliki wa bar kuwa wanaume tunaenda bar kuangalia mapaja na sio kufuata huduma bora?

Na hili tutasingizia wazungu au utandawazi?

Vidada vingine hata miguu na mapaja havina, ila vinalazimika tu kujianika.

Pumbafu kabisa.
inategemea sera ta mwenye baa
 
Hili ndio swali ambalo siku zote huwa najiuliza.

Nani aliwaambia wamiliki wa bar kuwa wanaume tunaenda bar kuangalia mapaja na sio kufuata huduma bora?

Na hili tutasingizia wazungu au utandawazi?

Vidada vingine hata miguu na mapaja havina, ila vinalazimika tu kujianika.

Pumbafu kabisa.
Sheikh, kwani huko bar ulifuata nini? Majaribu mengine ni ya kujitakia.
 
Hili ndio swali ambalo siku zote huwa najiuliza.

Nani aliwaambia wamiliki wa bar kuwa wanaume tunaenda bar kuangalia mapaja na sio kufuata huduma bora?

Na hili tutasingizia wazungu au utandawazi?

Vidada vingine hata miguu na mapaja havina, ila vinalazimika tu kujianika.

Pumbafu kabisa.
Weka picha sisi Wengine huwa hatuendi bar
 
Hili ndio swali ambalo siku zote huwa najiuliza.

Nani aliwaambia wamiliki wa bar kuwa wanaume tunaenda bar kuangalia mapaja na sio kufuata huduma bora?

Na hili tutasingizia wazungu au utandawazi?

Vidada vingine hata miguu na mapaja havina, ila vinalazimika tu kujianika.

Pumbafu kabisa.
yes, biashara ni ngumu sana bila hilo vazi, asikwambie mtu....
 
Utakuwa sio mnywaji wewe. Sisi nafsi zetu huwa zinasuzika unakunywa bea huku unaona wahudumu wakiwa wamejaza mzigo kwenye vipedo.
 
Back
Top Bottom