Wahudumu wamama wa kwenye migahawa wanakera sana wanapohudumia huku wakijikuna mwilini

Wahudumu wamama wa kwenye migahawa wanakera sana wanapohudumia huku wakijikuna mwilini

Mimi siku hiz nilishaachana na hiz habar za kula migahawani.
Na nimekuja kugundua siku hiz nimekua mchovu kabisa kwenye masuala ya kupika.
Wife hayupo, na madogo nimewapeleka likizo week sasa, home nashindia maziwa fresh tu, nikifanya zaid nitachemsha mayai ama sivyo nitaongeza na mkate Basi ,asubuh mchana jion, siku inapita.week sasa inakata ni mwendo huo.

Kula magengeni no way. Siku hiz siwez kabisaa
 
Mimi siku hiz nilishaachana na hiz habar za kula migahawani.
Na nimekuja kugundua siku hiz nimekua mchovu kabisa kwenye masuala ya kupika.
Wife hayupo, na madogo nimewapeleka likizo week sasa, home nashindia maziwa fresh tu, nikifanya zaid nitachemsha mayai ama sivyo nitaongeza na mkate Basi ,asubuh mchana jion, siku inapita.week sasa inakata ni mwendo huo.

Kula magengeni no way. Siku hiz siwez kabisaa
unaendaga kunya kweli kwa kula mikate mda wote mkuu😆😀
 
Angalia na sehemu za kula. Kuna sehemu chakula kuanzia muandaaji na mazingira yake ya jiko ni safi hata unapokula chakula una amani. Ogopa sana hawa wapishi wa kiswali anapika huku anaongea mdomoni hajavaa barakoa. Mikononi hana gloves, eneo lina inzi kama kiwanda cha utumbo, harufu, taka zipo kando hapo, yaani full uchafu babu.
 
Back
Top Bottom