nipo wa tatunkajua nipo peke yngu mkuu kumbe tupo wawili๐๐
๐๐ kumbe familia ni kubwa tupo wa tatu chama kinaongezekanipo wa tatu
unaendaga kunya kweli kwa kula mikate mda wote mkuu๐๐Mimi siku hiz nilishaachana na hiz habar za kula migahawani.
Na nimekuja kugundua siku hiz nimekua mchovu kabisa kwenye masuala ya kupika.
Wife hayupo, na madogo nimewapeleka likizo week sasa, home nashindia maziwa fresh tu, nikifanya zaid nitachemsha mayai ama sivyo nitaongeza na mkate Basi ,asubuh mchana jion, siku inapita.week sasa inakata ni mwendo huo.
Kula magengeni no way. Siku hiz siwez kabisaa
Ahahahah.. sijapata shida yoyote kwakwel. Na pia sili mara kwa mara mfululizo mkateunaendaga kunya kweli kwa kula mikate mda wote mkuu๐๐
๐๐ apo sawa mjombaaaaaAhahahah.. sijapata shida yoyote kwakwel. Na pia sili mara kwa mara mfululizo mkate
Ushaambiwa kwenye mfereji. Sasa sijui jamaa alijuaje hapa ni mfereji umekunwa wakat mtu kavaa nguo ๐๐๐Alikuna tako la kulia au kushoto kuna jambo nataka kulifahamuใ
kama ni kwenye mfereji basi atakua anasafisha mfereji vizuri ili kuweza kupitisha maji(jasho) yanayotoka mgongoni kwasababu ya joto..Ushaambiwa kwenye mfereji. Sasa sijui jamaa alijuaje hapa ni mfereji umekunwa wakat mtu kavaa nguo ๐๐๐
Tatizo hawanawi sasa.kama ni kwenye mfereji basi atakua anasafisha mfereji vizuri ili kuweza kupitisha maji(jasho) yanayotoka mgongoni kwasababu ya joto..
Awezi kukumbuka kunawa, maana kazi ni nyingi, sio kufuta meza, sio kuosha sahani, sio kusikiliza oda yaani wanchokaga sana..Tatizo hawanawi sasa.
Biashara nyingi zimejaa uchafu...๐!
Wanalisha watu uchafu lo!