Wahuni wa CCM na Zitto Kabwe wameungana kumchafua hayati Magufuli. Wana kisasi sababu alizuia mianya yao ya kufanya ufisadi

Wahuni wa CCM na Zitto Kabwe wameungana kumchafua hayati Magufuli. Wana kisasi sababu alizuia mianya yao ya kufanya ufisadi

Kumbe kuna kundi kubwa la wanasiasa hapa Tanzania wana kinyongo na hayati JPM sababu alisimama kidete kulinda pesa za umma na kuwafanyia makubwa watanzania kwa kipindi kifupi akiwa rais wa JMT.

Kuna kundi la wanaCcm ambao huko nyuma walinufaika na ufisadi kupitia deal kama Epa, Kagoda Escrowa na mizengwe kibao. Ambao baada ya hayati JPM kuingia madarakani aliziba mianya yao na kuwafanya wakose raha kabisa maana walizoea kuwaibia watatanzania

Sasa hivi wanamtumia Zitto kumchafua hayati JPM ili aonekane kama alikuwa kiongozi fisadi na muonevu. Zitto alishughulikiwa na hayati JPM kwa siasa zake za kinafiki za undumila kuwili hiyo hakuwa na nafasi za kupiga dili kama enzi za Jakaya.

My take; Watanzania sio wajinga wameshashutuka juu ya mpango wa kumchafua hayati JPM.
Mwache Mwendazake apumzike, kama lilivyopumzika gazeti la Tanzanite na Fahari Yetu. Nani anajali Mwendazake akichafuliwa ilhali utawala wake ulisifika kwa kuchafua watu?
 
Kumbe kuna kundi kubwa la wanasiasa hapa Tanzania wana kinyongo na hayati JPM sababu alisimama kidete kulinda pesa za umma na kuwafanyia makubwa watanzania kwa kipindi kifupi akiwa rais wa JMT.

Kuna kundi la wanaCcm ambao huko nyuma walinufaika na ufisadi kupitia deal kama Epa, Kagoda Escrowa na mizengwe kibao. Ambao baada ya hayati JPM kuingia madarakani aliziba mianya yao na kuwafanya wakose raha kabisa maana walizoea kuwaibia watatanzania

Sasa hivi wanamtumia Zitto kumchafua hayati JPM ili aonekane kama alikuwa kiongozi fisadi na muonevu. Zitto alishughulikiwa na hayati JPM kwa siasa zake za kinafiki za undumila kuwili hiyo hakuwa na nafasi za kupiga dili kama enzi za Jakaya.

My take; Watanzania sio wajinga wameshashutuka juu ya mpango wa kumchafua hayati JPM.
Magufuli hachafuliwi na mtu yoyote bali staili yake ya utawala isiyokuwa inaheshimu haki za kiraia,kibinadamu na misingi ya utawala bora ndiyo imemchafua, na katika yote ushenzi uliofanyika kwenye mchakato wa uchaguzi wa Serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ndiyo kabisa ulikuja kuhitimisha utawala wake dhalim na mabavu.
 
Magufuli ndiye Rais fisadi Papa bora wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi wake.

Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.

Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa Musa Assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule wa historia.

View attachment 2057729View attachment 2057730View attachment 2057732View attachment 2057733
Utakuta na weww umemaliza form 4 au six hivi lakini kichwani ni 0
Alafu ndo tutegemee kuwa tuna wasomi tanzania.
 
Kumbe kuna kundi kubwa la wanasiasa hapa Tanzania wana kinyongo na hayati JPM sababu alisimama kidete kulinda pesa za umma na kuwafanyia makubwa watanzania kwa kipindi kifupi akiwa rais wa JMT.

Kuna kundi la wanaCcm ambao huko nyuma walinufaika na ufisadi kupitia deal kama Epa, Kagoda Escrowa na mizengwe kibao. Ambao baada ya hayati JPM kuingia madarakani aliziba mianya yao na kuwafanya wakose raha kabisa maana walizoea kuwaibia watatanzania

Sasa hivi wanamtumia Zitto kumchafua hayati JPM ili aonekane kama alikuwa kiongozi fisadi na muonevu. Zitto alishughulikiwa na hayati JPM kwa siasa zake za kinafiki za undumila kuwili hiyo hakuwa na nafasi za kupiga dili kama enzi za Jakaya.

My take; Watanzania sio wajinga wameshashutuka juu ya mpango wa kumchafua hayati JPM.
Ni nini hasa kinawasumbua na hayati huyo.
Kwani ni yeye tu alikuwepo mbona wengine hawatamkwi.
Hii inadhihirisha wazi jinsi alivyoharibu taswira ya uongozi.
Hii ni hatari. Hebu asahaulike kidogo watu wafanye kazi.
 
Utakuta na weww umemaliza form 4 au six hivi lakini kichwani ni 0
Alagu ndo tutegemee kuwa tuna wasomi tanzania.
🤡🤡🤡
WUAEy7HC.jpg
SzS.jpg
 
Huwezi na hutaweza kujilinganisha nae huyo mtu.
Vichwa vyenu mlishakabidhi kwa Mbowe Lema Zito na Tundu, kila wanachosema nyie mnainamisha vichwa na kupiga makofi.
Yaani mimi nijilinganishe na mwizi wa kura?

Mimi nijilinganishe na mwizi wa kura ambae alilinyima Taifa zima haki?!

Yaani mimi nijilinganishe na muuaji ambae alikuwa anaua watu na kuzipakia maiti za watu wasiokua na hatia kwenye viroba na kwenda kuzitupa baharini?

Haki MATAGA hamna akili!😁😁😁
 
Kumbe kuna kundi kubwa la wanasiasa hapa Tanzania wana kinyongo na hayati JPM sababu alisimama kidete kulinda pesa za umma na kuwafanyia makubwa watanzania kwa kipindi kifupi akiwa rais wa JMT.

Kuna kundi la wanaCcm ambao huko nyuma walinufaika na ufisadi kupitia deal kama Epa, Kagoda Escrowa na mizengwe kibao.Uk Ambao baada ya hayati JPM kuingia madarakani aliziba mianya yao na kuwafanya wakose raha kabisa maana walizoea kuwaibia watatanzania

Sasa hivi wanamtumia Zitto kumchafua hayati JPM ili aonekane kama alikuwa kiongozi fisadi na muonevu. Zitto alishughulikiwa na hayati JPM kwa siasa zake za kinafiki za undumila kuwili hiyo hakuwa na nafasi za kupiga dili kama enzi za Jakaya.

My take; Watanzania sio wajinga wameshashutuka juu ya mpango wa kumchafua hayati JPM.
Ukweli sikumpenda JPM kwa uharamia wake! Lakini kuna kitu ninaendelea kuchambua kwa uangalifu! Huyu snitch mnafiki Zito Kabwe! Awamu ya tatu alikuwa mwanachama safi wa chadema! Awamu ya nne akaendelea kwa nguvu kijanja huku akisnitch wenzie! Awamu ya nne ndio ile awamu alivuta mkwanja kutoka kwa serikali ili kusaliti CDM hadi akaunti ya ujerumani na kiasi kikajulikana! Ahsante kwa wataalam wa IT kijana Ben Saanane (ZZK anaweza kuwa na mkono). Huyu ZZK ni opportunist mbaya kama swila JPM hakumpa usnitch hivyo akachukia! Kumbukumbu wakati wapinzani wanasusia hotuba ya kufungua bunge la kwanza la JPM yeye alibaki na akasifiwa na JPM. Huyu snitch kuna wakati anaegemea mpaka siasa uozo za udini!. Ukaribu wa SSH na JK umemrudisha huyu mnyonya damu ulingoni!
Shut this idiot out!!
 
Kumbe kuna kundi kubwa la wanasiasa hapa Tanzania wana kinyongo na hayati JPM sababu alisimama kidete kulinda pesa za umma na kuwafanyia makubwa watanzania kwa kipindi kifupi akiwa rais wa JMT.

Kuna kundi la wanaCcm ambao huko nyuma walinufaika na ufisadi kupitia deal kama Epa, Kagoda Escrowa na mizengwe kibao. Ambao baada ya hayati JPM kuingia madarakani aliziba mianya yao na kuwafanya wakose raha kabisa maana walizoea kuwaibia watatanzania

Sasa hivi wanamtumia Zitto kumchafua hayati JPM ili aonekane kama alikuwa kiongozi fisadi na muonevu. Zitto alishughulikiwa na hayati JPM kwa siasa zake za kinafiki za undumila kuwili hiyo hakuwa na nafasi za kupiga dili kama enzi za Jakaya.

My take; Watanzania sio wajinga wameshashutuka juu ya mpango wa kumchafua hayati JPM.
Kuna ile zaid ya 2trl ilihojiwa matumiz yake yake mpak ikapelekea CAG Assad kufukuzwa kaz! Kisa alitaka kujua matumiz yake. Ila nyie....

IMG_20211029_105959.jpg
 
Vijana wengi wa cdm,zambarau
Ni wachumia tumbo na mamluki ya CCM
Uki yasema wanakuja kukutukana

Kuna haja ya kuwa na siasa za ukweli
 
Hawataweza JPM ndo rais aliyeonyesha hii nchi ilikwapuliwa Sana.
Aliyofanya miaka 5 bila kwenda kutembeza bakuli nje waliomtangulia hawakuweza kuyafanya kwa miaka 10.

Zitto ni tapeli huyo hatuwezi kupoteza muda,na mdini aliyepindukia.
 
Magufuli ndiye Rais fisadi Papa bora wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi wake.

Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.

Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa Musa Assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule wa historia.

View attachment 2057729View attachment 2057730View attachment 2057732View attachment 2057733
Bora aliyetuibia 1.5 trillion ila alifanya mengi tumeyaona na atakumbukwa kuliko yule aliyetembea na bakuli miaka 10 hatujuwi alipewa sh ngapi? Na katuibia sh ngapi? Hatujuwi kama alikuwa anakuja nazo na kutokomea nazo hatujuwi alichotufanyia watz na deni aliloacha wala haviendani? Na miradi aliyotufanyia
 
Back
Top Bottom