Wahuni wa CCM na Zitto Kabwe wameungana kumchafua hayati Magufuli. Wana kisasi sababu alizuia mianya yao ya kufanya ufisadi

Wahuni wa CCM na Zitto Kabwe wameungana kumchafua hayati Magufuli. Wana kisasi sababu alizuia mianya yao ya kufanya ufisadi

Wewe ulishuhudia kwa macho yako? Au ndio habari za kusikia mitaani na kukariri?

Unadhani ukatili na uhayawani aliokuwa anaufanya ulikuwa wa kificho hivyo? Pamoja na kwamba Zito ni mnafiki ila kuhusu Magufuli anasema ukweli. Hivyo jiandae kupambana na ukweli unaosemwa dhidi ya Magufuli.
 
Nimegundua wanasiasa wengi wa Nchi hii ni Majizi ya pesa za Umma.Ila tutamkumbuka sana Magufuli hasa mm binafsi Kwa kz nzuri aliyotufanyia sitabadilika hata siku Moja juu ya huyu Shujaa wa Afrika Mzalendo wa kweli juu ya Nchi yake Tanzania.
Sukuma gang
 
Alipandikiza uoga ili asisemwe, ila ukweli huo unafahamika na watu walikuwa wanazungumza kimyakimya.
Haya sasaivi kasha kufa hakuna uoga tena, pitahuko mitaani elezea huo ufisadi mmnaoujua alafu ujeuseme katika watu mia % ngapi wamekujibu nini.
 
Haya sasaivi kasha kufa hakuna uoga tena, pitahuko mitaani elezea huo ufisadi mmnaoujua alafu ujeuseme katika watu mia % ngapi wamekujibu nini.

Labda huko mtaani kwenu walikojaa mazoba, mtaani kwetu kuna waelewa wengi, na ukimwambia kitu anapima logic yake na dakika ya mwisho anapima logic na fact ilipo. Sasa ww unanitishia na watu wa mtaani wenye upeo mdogo wa mambo.
 
Mpaka sasa umejivua nguo maana kila kitu kipo wazi, Audit querries huibuliwa na baada ya consolidated report ya Parliament watcdog commitee kusomwa bungeni majibu hupatikana.
Umeandika nini sasa hapa?!Hii ni funika kombe mwanaharamu apite?
 
Labda huko mtaani kwenu walikojaa mazoba, mtaani kwetu kuna waelewa wengi, na ukimwambia kitu anapima logic yake na dakika ya mwisho anapima logic na fact ilipo. Sasa ww unanitishia na watu wa mtaani wenye upeo mdogo wa mambo.
Wewe ni cheti feki, sioni logic yoyote kwenye hizo post zenu za tuhuma za ufisadi kwa magu.

Logic gani mnapima na hao vilaza wenzako huko mtaani kwenu, nihiyo tr 1.5.
Ivi unafahamu wingi wa pesa kama hiyo? Ingekuwa nikweli kunaufisadi kama huo watu wanao watuma kumchafua marehemu sasahivi kila ushahidi ungeweka wazi na msinge kuwa mnahangaika kuungaunga ujinga ilikutafuta logic za hovyo wanazo ziamini hao mazoba wenzako huko mtaani kwenu.
Acheni kupambana na marehemu,somesheni watotowenu wapate vyeti halali yasije yakawakuta yaliyowakuta nyinyi.
 
Wewe ni cheti feki, sioni logic yoyote kwenye hizo post zenu za tuhuma za ufisadi kwa magu.

Logic gani mnapima na hao vilaza wenzako huko mtaani kwenu, nihiyo tr 1.5.
Ivi unafahamu wingi wa pesa kama hiyo? Ingekuwa nikSweli kunaufisadi kama huo watu wanao watuma kumchafua marehemu sasahivi kila ushahidi ungeweka wazi na msinge kuwa mnahangaika kuungaunga ujinga ilikutafuta logic za hovyo wanazo ziamini hao mazoba wenzako huko mtaani kwenu.
Acheni kupambana na marehemu,somesheni watotowenu wapate vyeti halali yasije yakawakuta yaliyowakuta nyinyi.

Huu utetezi wako kwa jizi la kura na 1.5t kuhusu kupambana na vyeti fake, huyo ndiye aliyempoteza kijana mwenzetu kwa kuhoji uhalali wa PhD yake. Hivyo utetezi wako wa hivyo vyeti fake vya wenzake ujikite kwenye uhalali wa PhD yake.
 
Kumbe kuna kundi kubwa la wanasiasa hapa Tanzania wana kinyongo na hayati JPM sababu alisimama kidete kulinda pesa za umma na kuwafanyia makubwa watanzania kwa kipindi kifupi akiwa rais wa JMT.

Kuna kundi la wanaCcm ambao huko nyuma walinufaika na ufisadi kupitia deal kama Epa, Kagoda Escrowa na mizengwe kibao. Ambao baada ya hayati JPM kuingia madarakani aliziba mianya yao na kuwafanya wakose raha kabisa maana walizoea kuwaibia watatanzania

Sasa hivi wanamtumia Zitto kumchafua hayati JPM ili aonekane kama alikuwa kiongozi fisadi na muonevu. Zitto alishughulikiwa na hayati JPM kwa siasa zake za kinafiki za undumila kuwili hiyo hakuwa na nafasi za kupiga dili kama enzi za Jakaya.

My take; Watanzania sio wajinga wameshashutuka juu ya mpango wa kumchafua hayati JPM.
Kuna zile til.1.5 na bil.800 huko Canada ,ni za nani mkuu mbona unajikuna?
 
Nimegundua wanasiasa wengi wa Nchi hii ni Majizi ya pesa za Umma.Ila tutamkumbuka sana Magufuli hasa mm binafsi Kwa kz nzuri aliyotufanyia sitabadilika hata siku Moja juu ya huyu Shujaa wa Afrika Mzalendo wa kweli juu ya Nchi yake Tanzania.
Barikiwa sana wakati wazushi kama kimsboy wakilaaniwa
 
Nimegundua wanasiasa wengi wa Nchi hii ni Majizi ya pesa za Umma.Ila tutamkumbuka sana Magufuli hasa mm binafsi Kwa kz nzuri aliyotufanyia sitabadilika hata siku Moja juu ya huyu Shujaa wa Afrika Mzalendo wa kweli juu ya Nchi yake Tanzania.
Kama hii hapa 👇

Screenshot_20211226-073313.png


Screenshot_20211113-134557.png
 
Ning
Kumbe kuna kundi kubwa la wanasiasa hapa Tanzania wana kinyongo na hayati JPM sababu alisimama kidete kulinda pesa za umma na kuwafanyia makubwa watanzania kwa kipindi kifupi akiwa rais wa JMT.

Kuna kundi la wanaCcm ambao huko nyuma walinufaika na ufisadi kupitia deal kama Epa, Kagoda Escrowa na mizengwe kibao. Ambao baada ya hayati JPM kuingia madarakani aliziba mianya yao na kuwafanya wakose raha kabisa maana walizoea kuwaibia watatanzania

Sasa hivi wanamtumia Zitto kumchafua hayati JPM ili aonekane kama alikuwa kiongozi fisadi na muonevu. Zitto alishughulikiwa na hayati JPM kwa siasa zake za kinafiki za undumila kuwili hiyo hakuwa na nafasi za kupiga dili kama enzi za Jakaya.

My take; Watanzania sio wajinga wameshashutuka juu ya mpango wa kumchafua hayati JPM.
Ungeeleweka sana kama watu hawakupigwa marisasi, kutolewa silaha hadharani, kuokotwa kwenye viroba, kutumia pesa za umma kununua wapinzani kuwapachika madaraka huku akiwatosa wanaccm wenzake waliomweka madarakani, watu kutekwa, watu kuuliwa, kupotezwa, kuuliwa kwa demokrasia, ukiukwaji wa haki za binadam, ukabila uliopitiliza nk nk. JPM haeleweki kutokana na maovu yake na kuusudu udikteta na hata kama kuna mema aliyafanya kamwe hayatokuwa na maana sababu yanafunikwa na uovu mwingi wa kutisha aliowafanyia wananchi.
 
Back
Top Bottom