Ndombwindo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2013
- 1,387
- 2,085
Hivi PAC anayeongelewa hapa ni huyu huyu Makaveli au tumngoje mwingine!Ngoja nikieleweshe. CAG huibua hoja, na kamati za PAC au LAAC hufanya ukaguzi na kisha kutoa ripoti yenye ukweli. Haiwesekani serikali inayochunguzwa alafu ijikague na kutoa majibu. Tumia akili we bwege