Wahuni wa CCM wana nguvu kuliko nguvu ya umma? Mbona kama wao ndio wanaamua mustakari wetu?

Wahuni wa CCM wana nguvu kuliko nguvu ya umma? Mbona kama wao ndio wanaamua mustakari wetu?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Ziara za makonda alipokuwa bado ni mwenezi wa CCM ziliibua mambo mengi. Kero na uonevu wa kila namna. Ambao kimsingi ni aibu kwa serikali tawala ya rais Samia.

Rais Samia mwenyewe akatoa tamko kuwa sababu kuna uonevu na madudu mengi dhidi ya Wanannchi basi atakuwa akisikikiza kero za kila mwananchi mmoja mmoja nchi nzima.

Sisi tukajua sasa uhuni labda utadhibitiwaa. Uhuni wa wana CCM waovu.

Hii tu ya Makonda kutamka hadharani kuwa kuna Wahuni wanataka kumtenganisha Raid Samia na hayati JPM ni kosa la kuleta kizaazaa?

Hili mbona lipo wazi. Mbona kuna mmoja alitamka hadharani kuwa enzi za hayati JPM wawekezaji walitekwa na kunyag'anywa pesa zao? Si alimaanisha kuwa sasa ni tofauti na huko nyuma?

Hawajipendekezi na kufanya unafiki?
 
Yatasemwa yatapita
Ngojeeni iletwe funika ingine muhamie huko
Maana inaonekana Misomisondo imesha pitwa na wakati
Au tumrudishe Mr Liquid Tena !!!
Bongo Nyoso sihami!!!

Mlevi anakaribishwa Bungeni kwa heshima!!
Duu
 
Ziara za makonda alipokuwa bado ni mwenezi wa CCM ziliibua mambo mengi. Kero na uonevu wa kila namna. Ambao kimsingi ni aibu kwa serikali tawala ya rais Samia.

Rais Samia mwenyewe akatoa tamko kuwa sababu kuna uonevu na madudu mengi dhidi ya Wanannchi basi atakuwa akisikikiza kero za kila mwananchi mmoja mmoja nchi nzima.

Sisi tukajua sasa uhuni labda utadhibitiwaa. Uhuni wa wana CCM waovu.

Hii tu ya Makonda kutamka hadharani kuwa kuna Wahuni wanataka kumtenganisha Raid Samia na hayati JPM ni kosa la kuleta kizaazaa?

Hili mbona lipo wazi. Mbona kuna mmoja alitamka hadharani kuwa enzi za hayati JPM wawekezaji walitekwa na kunyag'anywa pesa zao? Si alimaanisha kuwa sasa ni tofauti na huko nyuma?

Hawajipendekezi na kufanya unafiki?
Chawa asiye na akili aka Bashite
 
Fuatilia clip ya makende wakati wa mapokezi ya ndege, alionyesha dharau ya wazi kwa Waziri Mkuu, hapo alivuka mstari wa kuvumiliwa

Mkuu tujuze kichwa muhogo alifanya dharau gani?
 
Makonda amekuwa maarufu kuliko chama, mwenyekiti na makamu mwenyekiti( imefikia akipita au akisimamishwa mahali watu wanashangilia)... amekuwa mbunifu kuliko rais..hoja anazohoji na kutafutia majawabu si rais wala Kinana wanaweza kusimamia..

Lakini yawezekana kuna figisu dhidi yake( kwa namna anvyozidi kuziteka siasa na kuwa na umaarufu kwa jamii) na hivyo mama ake kaamua kumficha dhidi ya watesi wake..kumbuka kuna kundi linamuogopa sana huyu jamaa na kuna uwezekano akifikia level fulani kuna watu watatamani kuhama hata nchi.
 
Ziara za makonda alipokuwa bado ni mwenezi wa CCM ziliibua mambo mengi. Kero na uonevu wa kila namna. Ambao kimsingi ni aibu kwa serikali tawala ya rais Samia.

Rais Samia mwenyewe akatoa tamko kuwa sababu kuna uonevu na madudu mengi dhidi ya Wanannchi basi atakuwa akisikikiza kero za kila mwananchi mmoja mmoja nchi nzima.

Sisi tukajua sasa uhuni labda utadhibitiwaa. Uhuni wa wana CCM waovu.

Hii tu ya Makonda kutamka hadharani kuwa kuna Wahuni wanataka kumtenganisha Raid Samia na hayati JPM ni kosa la kuleta kizaazaa?

Hili mbona lipo wazi. Mbona kuna mmoja alitamka hadharani kuwa enzi za hayati JPM wawekezaji walitekwa na kunyag'anywa pesa zao? Si alimaanisha kuwa sasa ni tofauti na huko nyuma?

Hawajipendekezi na kufanya unafiki?
Nawe kumbe hamnazo km hilo lofa lako Makonda? Kwanza huyo shetani wako tayari ni marehemu msimlinganishe na mtu yuko hai. Pili yule alikuwa mshenzi aliua watu, aligawa nchi vipande, alikuwa katili hakuna kuajiri wala kupandisha madaraja wafanyakazi, badala yake anajenga vitu vya hovyo km uwanja wa ndege Chato bila hata haya. Lile lilikuwa shetani. We na hilo Bashite km mnalipenda lile shetani lifuateni. Mabwege nyie, watanzania walisherehekea kufa kwa lile shetani. Mama ameletwa na mwenyenzi Mungu kuponya nchi
 
Makonda amekuwa maarufu kuliko chama, mwenyekiti na makamu mwenyekiti( imefikia akipita au akisimamishwa mahali watu wanashangilia)... amekuwa mbunifu kuliko rais..hoja anazohoji na kutafutia majawabu si rais wala Kinana wanaweza kusimamia..

Lakini yawezekana kuna figisu dhidi yake( kwa namna anvyozidi kuziteka siasa na kuwa na umaarufu kwa jamii) na hivyo mama ake kaamua kumficha dhidi ya watesi wake..kumbuka kuna kundi linamuogopa sana huyu jamaa na kuna uwezekano akifikia level fulani kuna watu watatamani kuhama hata nchi.
We ni bwege km hilo jinga lako Makonda
 
Nawe kumbe hamnazo km hilo lofa lako Makonda? Kwanza huyo shetani wako tayari ni marehemu msimlinganishe na mtu yuko hai. Pili yule alikuwa mshenzi aliua watu, aligawa nchi vipande, alikuwa katili hakuna kuajiri wala kupandisha madaraja wafanyakazi, badala yake anajenga vitu vya hovyo km uwanja wa ndege Chato bila hata haya. Lile lilikuwa shetani. We na hilo Bashite km mnalipenda lile shetani lifuateni. Mabwege nyie, watanzania walisherehekea kufa kwa lile shetani. Mama ameletwa na mwenyenzi Mungu kuponya nchi
Pole sana mkuu maisha ndivyo yalivyo,mimba ya jpm bado inakutesa hadi leo.
 
Makonda amekuwa maarufu kuliko chama, mwenyekiti na makamu mwenyekiti( imefikia akipita au akisimamishwa mahali watu wanashangilia)... amekuwa mbunifu kuliko rais..hoja anazohoji na kutafutia majawabu si rais wala Kinana wanaweza kusimamia..

Lakini yawezekana kuna figisu dhidi yake( kwa namna anvyozidi kuziteka siasa na kuwa na umaarufu kwa jamii) na hivyo mama ake kaamua kumficha dhidi ya watesi wake..kumbuka kuna kundi linamuogopa sana huyu jamaa na kuna uwezekano akifikia level fulani kuna watu watatamani kuhama hata nchi.
Mkuu kuna kanuni ya uongozi inasema nanukuu "Never outshine your boss!" mwisho wa kunukuu! Kumbuka yaliyomkuta Lowassa! Usisahau na Ndugai juzi juzi!

Makonda is so insignificant, ni wa kutumika tu inapohitajika! Hayupo kwenye position yoyote ya power! Sio threat kwa status quo!

Big G ikiisha kutumika, hutupwa chini na mwishowe ikikanyagwa huang'ang'ania kwenye soli ya viatu, ndio njia aiendeayo! Ni suala la muda!
 
Makonda amekuwa maarufu kuliko chama, mwenyekiti na makamu mwenyekiti( imefikia akipita au akisimamishwa mahali watu wanashangilia)... amekuwa mbunifu kuliko rais..hoja anazohoji na kutafutia majawabu si rais wala Kinana wanaweza kusimamia..

Lakini yawezekana kuna figisu dhidi yake( kwa namna anvyozidi kuziteka siasa na kuwa na umaarufu kwa jamii) na hivyo mama ake kaamua kumficha dhidi ya watesi wake..kumbuka kuna kundi linamuogopa sana huyu jamaa na kuna uwezekano akifikia level fulani kuna watu watatamani kuhama hata nchi.
Ccm inajua kumficha hakusaidii. Makonda hajui mipaka ya kazi yake. Ukiwa kama mwenez huwez amrisha mawazir na viongoz wa serikal kama umewateua wewe, kuna mipaka. Ni kiongoz mzuri ila siku akijua kuna mipaka kwenye uongoz, otherwise ataanza kutengeneza maadui hata wale ambao hawakutaka
 
Back
Top Bottom