Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Maisha yanaenda kwa kasi mno.
Ni miaka mingi imepita ila nawakumbuka ndugu zangu vijana wa kitanzania....kutoka Mbagala, Temeke, Kinondoni na Kariakoo walioenda ukanda wa maziwa makuu kujitafutia mawe.
Kinshasa ya zamani sio hii ya leo.
Kigali ya zamani sio hii ya leo
Bujumbura ya zamani sio hii ya leo
Dar ya zamani sio hii ya leo.
Kabla ya yote niombe Mungu awalaze mahali pema peponi ndugu zangu hawa.
1 : Rais wa Rwanda.....Anko Juve.
2 : Rais wa Zaire.......Anko Seseseko.
3 : Kanali Fred wa RPF.
4 : My brother Hamed.
5 : Col Rutaremwa.
6 : My homie James Zugazuga.
Wengine wengi siwezi kuwataja hapa Bali nitawataja mbeleni Uzi uliendelea.
MAISHA YANATUFUNZA...KUFA HATUFI ILA CHA MOTO TUNAKIONA.
WATOTO WA KIUME TUNAKAZA
HATUKUZALIWA FAMILIA ZA KISHUA....ILIBIDI TUHANGAIKE KUWATUNZA WANAOTUTEGEMEA.
I HOPE HUU UZI SITOZUIWA NA WAHUSIKA KUENDELEA KUUANDIKA.
MAANA UZI ZANGU ZOTE..... WAHUSIKA WAGA WANANIKATAZA.
NA MIMI NATII SHERIA BILA SHURUTI.
Baada ya ukimya mrefu nimerudi Ili niwape story wadogo zangu kuhusu harakati za kutafuta tulizopitia kaka zenu.
STORY HII INAANZIA KINSHASA JULY 17 1997
Karibuni sana.
Ni miaka mingi imepita ila nawakumbuka ndugu zangu vijana wa kitanzania....kutoka Mbagala, Temeke, Kinondoni na Kariakoo walioenda ukanda wa maziwa makuu kujitafutia mawe.
Kinshasa ya zamani sio hii ya leo.
Kigali ya zamani sio hii ya leo
Bujumbura ya zamani sio hii ya leo
Dar ya zamani sio hii ya leo.
Kabla ya yote niombe Mungu awalaze mahali pema peponi ndugu zangu hawa.
1 : Rais wa Rwanda.....Anko Juve.
2 : Rais wa Zaire.......Anko Seseseko.
3 : Kanali Fred wa RPF.
4 : My brother Hamed.
5 : Col Rutaremwa.
6 : My homie James Zugazuga.
Wengine wengi siwezi kuwataja hapa Bali nitawataja mbeleni Uzi uliendelea.
MAISHA YANATUFUNZA...KUFA HATUFI ILA CHA MOTO TUNAKIONA.
WATOTO WA KIUME TUNAKAZA
HATUKUZALIWA FAMILIA ZA KISHUA....ILIBIDI TUHANGAIKE KUWATUNZA WANAOTUTEGEMEA.
I HOPE HUU UZI SITOZUIWA NA WAHUSIKA KUENDELEA KUUANDIKA.
MAANA UZI ZANGU ZOTE..... WAHUSIKA WAGA WANANIKATAZA.
NA MIMI NATII SHERIA BILA SHURUTI.
Baada ya ukimya mrefu nimerudi Ili niwape story wadogo zangu kuhusu harakati za kutafuta tulizopitia kaka zenu.
STORY HII INAANZIA KINSHASA JULY 17 1997
Karibuni sana.