Wahuni wa Kinshasa Julai 17 1997- Desemba 25 2024

Wahuni wa Kinshasa Julai 17 1997- Desemba 25 2024

Mkuu kwanza nakupa hongera,pili embu shusha Madini hayo,Uzi wako umekuja wakati muafaka kwa kuwa ndio tunaanza mwaka 2025 naimani wapo Vijana watajifunza kitu hapa kuhusu Maisha na jinsi gani Vijana wa Tanzania miaka ya nyuma walivyokuwa ma Mafia katika kutafuta maisha nje ya nchi,Stori za namna hii ndio zilinifanya mwaka 2006 nianze harakati za kukimbilia nchi za kusini mwa Afrika, nashukuru nimevuruga karibu nchi zote za Sadc
 
Mkuu kwanza nakupa hongera,pili embu shusha Madini hayo,Uzi wako umekuja wakati muafaka kwa kuwa ndio tunaanza mwaka 2025 naimani wapo Vijana watajifunza kitu hapa kuhusu Maisha na jinsi gani Vijana wa Tanzania miaka ya nyuma walivyokuwa ma Mafia katika kutafuta maisha nje ya nchi,Stori za namna hii ndio zilinifanya mwaka 2006 nianze harakati za kukimbilia nchi za kusini mwa Afrika, nashukuru nimevuruga karibu nchi zote za Sadc
Nawewe tushushie story yako tujifunze then
 
Back
Top Bottom