Wahuni wa Kinshasa Julai 17 1997- Desemba 25 2024

Wahuni wa Kinshasa Julai 17 1997- Desemba 25 2024

TUNAENDELEA....!!!!!
YAKAPITA MAAMUZI NA UTARATIBU.
1 : Hakuna kujihushisha na siasa.......kinachopewa kipaumbele ni pesa.
2 : Hakuna kupeleka malalamiko ubalozi wa Tanzania hata litokee tatizo gani....tutalimaliza chini kwa chini.
3 : Hakuna kushirikiana na waarabu wa Lebanon na WASHIRIKA wa RPF sababu hawaaminiki.
4 : Mzee Kabila.....aeshimiwe kama kiongozi mbadala wa Anko Seseseko...Dili zake tusizitolee tamaa.....sababu tukubali ukweli SESESEKO hayupo tena nyakati zimebadilika.
5 : Hakuna kujionyesha mbele za watu kama tuna Hela........pale michongo ya mawe inapokubali.
6 : TUSISAHAU KUSAIDIANA KAMA WATANZANIA NA WOTE NI KITU KIMOJA..HAIJALISHI TUMETOKEA MIKOA TOFAUTI.
***********************************
Kazi ikawa kusikilizia hali ya upepo Kinshasa inaendaje.......... kipindi hilo mitaa yote ya Kinshasa kuanzia kule Boulevard na Masina na kule Pakadjuma......na mitaa mingine mingi usalama ulikua mdogo.
Na serikali mpya ilikua inapambana kurudisha usalama sababu Kinshasa ndio makao makuu ya nchi.....iliyopewa jina jipya CONGO DRC.
Wadau wote wamekimbia nchi...... kwahiyo inatubidi tuanzie upya kuchora ramani.
Na WANYARWANDA ni wabinafsi...hasa watu wa jamii za watusi.
Kama unavyojua mtafutaji hachoki...mikakati ikapangwa ikapangika.
Mungu ni mwema pakapatikana pa kuanzia mpango kazi.
MPANGO KAZI NO : 01
************************************************
COL RUTAREMWA/ RWANDESE BUSINESSMAN.
Kiuhasilia huyu jamaa hakua mwanajeshi Bali mtoto wa mjini ndani ya jeshi la RDF... chini ya
Amiri jeshi Abby Juve.
Rutaremwa alihudumu ndani ya jeshi la RDF kwa zaidi ya miaka 13...akianzia cheo cha chini mpaka kupanda juu na kua Col.
Biashara zote za mawe kati ya Kigali na Kinshasa alikua mtu wa kati ni yeye.
Na ndie mmojawapo wa wenyeji wetu..ukimtoa PAPAA MUNDENDE.
Ikabidi atafutwe tujue tunaanzia wapi.
Akatupa jibu kua.....kama kweli tunapenda mawe na tunataka Hela tuache kukaa Cabinda au Kinshasa bali tuingie uwanja wa fujo kama tulivyokua tunapita KIVU KASKAZINI NA KIVU KUSINI.
Kila kitu atasimamia yeye kuhusu usalama wetu....ila atakupa anachukua asilimia 40%.....ya faida ya kila mmoja kwenye team kazi.
UWANJA WA FUJO.
Sababu ya kuyaita maeneo yote ya Kivu kusini na Kivu kaskazini kua uwanja wa fujo....ni sababu kipindi hicho majimbo haya yalikua kama shamba la bibi... mwenye nguvu anajizolea mali.
Waganda wanajizolea.
Wanyarwanda wanajizolea.
Wakenya wanajizolea.
Wazimbabwe wanajizolea.
Waangola wanajizolea.
Warundi wanajizolea.
Walebanoni wanajizolea.
Wazambia wanajizolea.
Watanzania walikua wachache mno.

KATIKA NYUZI AMBAZO NINGWEZA KUSIMULIA HAYA MAMBO ILA NILIZISITISHA KWA SABABU ZA KIUSALAMA NI KWAMBA SIKU MOJA NIKIWA MPAKANI MWA DRC NA BURUNDI...NILIWAHI KUKUTANA NA DOGO ANA KILO KAMA TISA HIVI ZA DHAHABU CHAFU ILIYOSAGWA SAGWA KIENYEJI.
AFU DOGO AKATAKA KUNIPA NIZIVUSHE...NIKAOGOPA MSALA.
SASA HUYO NI DOGO TU...USHAWAHI KUFIKIRIA AKINA PAULO NA AKINA NAMBA SABA NA AKINA MUHOOZI NA WADAU WOTE WENYE NGUVU NA MAMLAKA UKANDA HUU WA MAZIWA MAKUU WANAPIGA HELA KIASI GANI KUANZIA MWAKA 1997 MPAKA 2024.....KATIKA UKANDA HUU WA FUJO....?????
Turudi kwenye simulizi..!!!!
Col Rutaremwa akatushauri tuondoke haraka mjini KINSHASA tuingie uwanja wa fujo.
Pesa inatafutwa kwa jasho na damu.
Pesa inafitinisha WASHIRIKA.
Pesa ndio siasa na siasa ni pesa.
Basi uamuzi ukapita wote tukutane kisangani....pale ndio patakua starting point ya kuingia mzigoni.
Na kiini cha simulizi yangu INAANZIA hapa.
Safari ya kuingia uwanja wa fujo.
Itaendelea...........!!!
 
TUNAENDELEA....!!!!!
YAKAPITA MAAMUZI NA UTARATIBU.
1 : Hakuna kujihushisha na siasa.......kinachopewa kipaumbele ni pesa.
2 : Hakuna kupeleka malalamiko ubalozi wa Tanzania hata litokee tatizo gani....tutalimaliza chini kwa chini.
3 : Hakuna kushirikiana na waarabu wa Lebanon na WASHIRIKA wa RPF sababu hawaaminiki.
4 : Mzee Kabila.....aeshimiwe kama kiongozi mbadala wa Anko Seseseko...Dili zake tusizitolee tamaa.....sababu tukubali ukweli SESESEKO hayupo tena nyakati zimebadilika.
5 : Hakuna kujionyesha mbele za watu kama tuna Hela........pale michongo ya mawe inapokubali.
6 : TUSISAHAU KUSAIDIANA KAMA WATANZANIA NA WOTE NI KITU KIMOJA..HAIJALISHI TUMETOKEA MIKOA TOFAUTI.
***********************************
Kazi ikawa kusikilizia hali ya upepo Kinshasa inaendaje.......... kipindi hilo mitaa yote ya Kinshasa kuanzia kule Boulevard na Masina na kule Pakadjuma......na mitaa mingine mingi usalama ulikua mdogo.
Na serikali mpya ilikua inapambana kurudisha usalama sababu Kinshasa ndio makao makuu ya nchi.....iliyopewa jina jipya CONGO DRC.
Wadau wote wamekimbia nchi...... kwahiyo inatubidi tuanzie upya kuchora ramani.
Na WANYARWANDA ni wabinafsi...hasa watu wa jamii za watusi.
Kama unavyojua mtafutaji hachoki...mikakati ikapangwa ikapangika.
Mungu ni mwema pakapatikana pa kuanzia mpango kazi.
MPANGO KAZI NO : 01
************************************************
COL RUTAREMWA/ RWANDESE BUSINESSMAN.
Kiuhasilia huyu jamaa hakua mwanajeshi Bali mtoto wa mjini ndani ya jeshi la RDF... chini ya
Amiri jeshi Abby Juve.
Rutaremwa alihudumu ndani ya jeshi la RDF kwa zaidi ya miaka 13...akianzia cheo cha chini mpaka kupanda juu na kua Col.
Biashara zote za mawe kati ya Kigali na Kinshasa alikua mtu wa kati ni yeye.
Na ndie mmojawapo wa wenyeji wetu..ukimtoa PAPAA MUNDENDE.
Ikabidi atafutwe tujue tunaanzia wapi.
Akatupa jibu kua.....kama kweli tunapenda mawe na tunataka Hela tuache kukaa Cabinda au Kinshasa bali tuingie uwanja wa fujo kama tulivyokua tunapita KIVU KASKAZINI NA KIVU KUSINI.
Kila kitu atasimamia yeye kuhusu usalama wetu....ila atakupa anachukua asilimia 40%.....ya faida ya kila mmoja kwenye team kazi.
UWANJA WA FUJO.
Sababu ya kuyaita maeneo yote ya Kivu kusini na Kivu kaskazini kua uwanja wa fujo....ni sababu kipindi hicho majimbo haya yalikua kama shamba la bibi... mwenye nguvu anajizolea mali.
Waganda wanajizolea.
Wanyarwanda wanajizolea.
Wakenya wanajizolea.
Wazimbabwe wanajizolea.
Waangola wanajizolea.
Warundi wanajizolea.
Walebanoni wanajizolea.
Wazambia wanajizolea.
Watanzania walikua wachache mno.

KATIKA NYUZI AMBAZO NINGWEZA KUSIMULIA HAYA MAMBO ILA NILIZISITISHA KWA SABABU ZA KIUSALAMA NI KWAMBA SIKU MOJA NIKIWA MPAKANI MWA DRC NA BURUNDI...NILIWAHI KUKUTANA NA DOGO ANA KILO KAMA TISA HIVI ZA DHAHABU CHAFU ILIYOSAGWA SAGWA KIENYEJI.
AFU DOGO AKATAKA KUNIPA NIZIVUSHE...NIKAOGOPA MSALA.
SASA HUYO NI DOGO TU...USHAWAHI KUFIKIRIA AKINA PAULO NA AKINA NAMBA SABA NA AKINA MUHOOZI NA WADAU WOTE WENYE NGUVU NA MAMLAKA UKANDA HUU WA MAZIWA MAKUU WANAPIGA HELA KIASI GANI KUANZIA MWAKA 1997 MPAKA 2024.....KATIKA UKANDA HUU WA FUJO....?????
Turudi kwenye simulizi..!!!!
Col Rutaremwa akatushauri tuondoke haraka mjini KINSHASA tuingie uwanja wa fujo.
Pesa inatafutwa kwa jasho na damu.
Pesa inafitinisha WASHIRIKA.
Pesa ndio siasa na siasa ni pesa.
Basi uamuzi ukapita wote tukutane kisangani....pale ndio patakua starting point ya kuingia mzigoni.
Na kiini cha simulizi yangu INAANZIA hapa.
Safari ya kuingia uwanja wa fujo.
Itaendelea...........!!!
Lete vitu mkuu
 
TUNAENDELEA....!!!!!
YAKAPITA MAAMUZI NA UTARATIBU.
1 : Hakuna kujihushisha na siasa.......kinachopewa kipaumbele ni pesa.
2 : Hakuna kupeleka malalamiko ubalozi wa Tanzania hata litokee tatizo gani....tutalimaliza chini kwa chini.
3 : Hakuna kushirikiana na waarabu wa Lebanon na WASHIRIKA wa RPF sababu hawaaminiki.
4 : Mzee Kabila.....aeshimiwe kama kiongozi mbadala wa Anko Seseseko...Dili zake tusizitolee tamaa.....sababu tukubali ukweli SESESEKO hayupo tena nyakati zimebadilika.
5 : Hakuna kujionyesha mbele za watu kama tuna Hela........pale michongo ya mawe inapokubali.
6 : TUSISAHAU KUSAIDIANA KAMA WATANZANIA NA WOTE NI KITU KIMOJA..HAIJALISHI TUMETOKEA MIKOA TOFAUTI.
***********************************
Kazi ikawa kusikilizia hali ya upepo Kinshasa inaendaje.......... kipindi hilo mitaa yote ya Kinshasa kuanzia kule Boulevard na Masina na kule Pakadjuma......na mitaa mingine mingi usalama ulikua mdogo.
Na serikali mpya ilikua inapambana kurudisha usalama sababu Kinshasa ndio makao makuu ya nchi.....iliyopewa jina jipya CONGO DRC.
Wadau wote wamekimbia nchi...... kwahiyo inatubidi tuanzie upya kuchora ramani.
Na WANYARWANDA ni wabinafsi...hasa watu wa jamii za watusi.
Kama unavyojua mtafutaji hachoki...mikakati ikapangwa ikapangika.
Mungu ni mwema pakapatikana pa kuanzia mpango kazi.
MPANGO KAZI NO : 01
************************************************
COL RUTAREMWA/ RWANDESE BUSINESSMAN.
Kiuhasilia huyu jamaa hakua mwanajeshi Bali mtoto wa mjini ndani ya jeshi la RDF... chini ya
Amiri jeshi Abby Juve.
Rutaremwa alihudumu ndani ya jeshi la RDF kwa zaidi ya miaka 13...akianzia cheo cha chini mpaka kupanda juu na kua Col.
Biashara zote za mawe kati ya Kigali na Kinshasa alikua mtu wa kati ni yeye.
Na ndie mmojawapo wa wenyeji wetu..ukimtoa PAPAA MUNDENDE.
Ikabidi atafutwe tujue tunaanzia wapi.
Akatupa jibu kua.....kama kweli tunapenda mawe na tunataka Hela tuache kukaa Cabinda au Kinshasa bali tuingie uwanja wa fujo kama tulivyokua tunapita KIVU KASKAZINI NA KIVU KUSINI.
Kila kitu atasimamia yeye kuhusu usalama wetu....ila atakupa anachukua asilimia 40%.....ya faida ya kila mmoja kwenye team kazi.
UWANJA WA FUJO.
Sababu ya kuyaita maeneo yote ya Kivu kusini na Kivu kaskazini kua uwanja wa fujo....ni sababu kipindi hicho majimbo haya yalikua kama shamba la bibi... mwenye nguvu anajizolea mali.
Waganda wanajizolea.
Wanyarwanda wanajizolea.
Wakenya wanajizolea.
Wazimbabwe wanajizolea.
Waangola wanajizolea.
Warundi wanajizolea.
Walebanoni wanajizolea.
Wazambia wanajizolea.
Watanzania walikua wachache mno.

KATIKA NYUZI AMBAZO NINGWEZA KUSIMULIA HAYA MAMBO ILA NILIZISITISHA KWA SABABU ZA KIUSALAMA NI KWAMBA SIKU MOJA NIKIWA MPAKANI MWA DRC NA BURUNDI...NILIWAHI KUKUTANA NA DOGO ANA KILO KAMA TISA HIVI ZA DHAHABU CHAFU ILIYOSAGWA SAGWA KIENYEJI.
AFU DOGO AKATAKA KUNIPA NIZIVUSHE...NIKAOGOPA MSALA.
SASA HUYO NI DOGO TU...USHAWAHI KUFIKIRIA AKINA PAULO NA AKINA NAMBA SABA NA AKINA MUHOOZI NA WADAU WOTE WENYE NGUVU NA MAMLAKA UKANDA HUU WA MAZIWA MAKUU WANAPIGA HELA KIASI GANI KUANZIA MWAKA 1997 MPAKA 2024.....KATIKA UKANDA HUU WA FUJO....?????
Turudi kwenye simulizi..!!!!
Col Rutaremwa akatushauri tuondoke haraka mjini KINSHASA tuingie uwanja wa fujo.
Pesa inatafutwa kwa jasho na damu.
Pesa inafitinisha WASHIRIKA.
Pesa ndio siasa na siasa ni pesa.
Basi uamuzi ukapita wote tukutane kisangani....pale ndio patakua starting point ya kuingia mzigoni.
Na kiini cha simulizi yangu INAANZIA hapa.
Safari ya kuingia uwanja wa fujo.
Itaendelea...........!!!
Simulizi yako inahamasisha tatizo unaweka vipande vidogo vidogo 😎
 
TUNAENDELEA....!!!!!
YAKAPITA MAAMUZI NA UTARATIBU.
1 : Hakuna kujihushisha na siasa.......kinachopewa kipaumbele ni pesa.
2 : Hakuna kupeleka malalamiko ubalozi wa Tanzania hata litokee tatizo gani....tutalimaliza chini kwa chini.
3 : Hakuna kushirikiana na waarabu wa Lebanon na WASHIRIKA wa RPF sababu hawaaminiki.
4 : Mzee Kabila.....aeshimiwe kama kiongozi mbadala wa Anko Seseseko...Dili zake tusizitolee tamaa.....sababu tukubali ukweli SESESEKO hayupo tena nyakati zimebadilika.
5 : Hakuna kujionyesha mbele za watu kama tuna Hela........pale michongo ya mawe inapokubali.
6 : TUSISAHAU KUSAIDIANA KAMA WATANZANIA NA WOTE NI KITU KIMOJA..HAIJALISHI TUMETOKEA MIKOA TOFAUTI.
***********************************
Kazi ikawa kusikilizia hali ya upepo Kinshasa inaendaje.......... kipindi hilo mitaa yote ya Kinshasa kuanzia kule Boulevard na Masina na kule Pakadjuma......na mitaa mingine mingi usalama ulikua mdogo.
Na serikali mpya ilikua inapambana kurudisha usalama sababu Kinshasa ndio makao makuu ya nchi.....iliyopewa jina jipya CONGO DRC.
Wadau wote wamekimbia nchi...... kwahiyo inatubidi tuanzie upya kuchora ramani.
Na WANYARWANDA ni wabinafsi...hasa watu wa jamii za watusi.
Kama unavyojua mtafutaji hachoki...mikakati ikapangwa ikapangika.
Mungu ni mwema pakapatikana pa kuanzia mpango kazi.
MPANGO KAZI NO : 01
************************************************
COL RUTAREMWA/ RWANDESE BUSINESSMAN.
Kiuhasilia huyu jamaa hakua mwanajeshi Bali mtoto wa mjini ndani ya jeshi la RDF... chini ya
Amiri jeshi Abby Juve.
Rutaremwa alihudumu ndani ya jeshi la RDF kwa zaidi ya miaka 13...akianzia cheo cha chini mpaka kupanda juu na kua Col.
Biashara zote za mawe kati ya Kigali na Kinshasa alikua mtu wa kati ni yeye.
Na ndie mmojawapo wa wenyeji wetu..ukimtoa PAPAA MUNDENDE.
Ikabidi atafutwe tujue tunaanzia wapi.
Akatupa jibu kua.....kama kweli tunapenda mawe na tunataka Hela tuache kukaa Cabinda au Kinshasa bali tuingie uwanja wa fujo kama tulivyokua tunapita KIVU KASKAZINI NA KIVU KUSINI.
Kila kitu atasimamia yeye kuhusu usalama wetu....ila atakupa anachukua asilimia 40%.....ya faida ya kila mmoja kwenye team kazi.
UWANJA WA FUJO.
Sababu ya kuyaita maeneo yote ya Kivu kusini na Kivu kaskazini kua uwanja wa fujo....ni sababu kipindi hicho majimbo haya yalikua kama shamba la bibi... mwenye nguvu anajizolea mali.
Waganda wanajizolea.
Wanyarwanda wanajizolea.
Wakenya wanajizolea.
Wazimbabwe wanajizolea.
Waangola wanajizolea.
Warundi wanajizolea.
Walebanoni wanajizolea.
Wazambia wanajizolea.
Watanzania walikua wachache mno.

KATIKA NYUZI AMBAZO NINGWEZA KUSIMULIA HAYA MAMBO ILA NILIZISITISHA KWA SABABU ZA KIUSALAMA NI KWAMBA SIKU MOJA NIKIWA MPAKANI MWA DRC NA BURUNDI...NILIWAHI KUKUTANA NA DOGO ANA KILO KAMA TISA HIVI ZA DHAHABU CHAFU ILIYOSAGWA SAGWA KIENYEJI.
AFU DOGO AKATAKA KUNIPA NIZIVUSHE...NIKAOGOPA MSALA.
SASA HUYO NI DOGO TU...USHAWAHI KUFIKIRIA AKINA PAULO NA AKINA NAMBA SABA NA AKINA MUHOOZI NA WADAU WOTE WENYE NGUVU NA MAMLAKA UKANDA HUU WA MAZIWA MAKUU WANAPIGA HELA KIASI GANI KUANZIA MWAKA 1997 MPAKA 2024.....KATIKA UKANDA HUU WA FUJO....?????
Turudi kwenye simulizi..!!!!
Col Rutaremwa akatushauri tuondoke haraka mjini KINSHASA tuingie uwanja wa fujo.
Pesa inatafutwa kwa jasho na damu.
Pesa inafitinisha WASHIRIKA.
Pesa ndio siasa na siasa ni pesa.
Basi uamuzi ukapita wote tukutane kisangani....pale ndio patakua starting point ya kuingia mzigoni.
Na kiini cha simulizi yangu INAANZIA hapa.
Safari ya kuingia uwanja wa fujo.
Itaendelea...........!!!
Panaanza kuchangamka sasa
 
TUNAENDELEA :
Saa nane usiku wakulungwa tunatoka CABINDA kwa usafiri wa Ndege ya jeshi la Angola.....tunafika uwanja wa akiba nje ya kisangani saa mbili asubuhi afu tunakuta uwanja unashambuliwa na vikosi vya waasi venue kupata usaidizi wa wanajeshi wa Uganda.
Rubani anatua hivyo hivyo..........tunakimbilia kwenye jengo la kuifadhia mzigo..huku milio ya risasi iliendelea...wakati huo wale wanajeshi wa Angola wanawarudisha nyuma waasi wasiojulikana wanaosaidiwa na waganda.
Sisi tulikua SESESEKO kaondoka..nchi utatulia... kumbe tulikua tunajidanganya....pale kisangani ndio uwanja wa fujo maingilio yake... namaanisha getini.
KWA WALE AMBAO HAMJAWAHI KUPANDA NDEGE ZA KIVITA..HASA ZA MZIGO.
NI KWAMBA MAZINGIRA YA NDANI HAYANA
STAREHE YOTOTE ZAIDI YA KUKALIA MABENCHI YA MBAO....!!!
NIKASEMA LEO KUMEKUCHA MAPAMBANO YAMEANZIA KISANGANI.
NDANI YA NDEGE WATU WOTE WANAVUTA BANGI ILI KULIFRESH MIND.
MARA NAPEWA BUNDUKI NIISHIKE.
NAPEWA NA MAGAZINE.
NAPEWA NA KOTI LA KIJESHI.
NAPEWA GRUNETI.
NAPEWA NA ELEMENTI YA CHUMA.
ASIKARI WOTE WANAONGEA KIRENO KASORO MMOJA TU NDIE ANAONGEA KINGEREZA.
YULE ASKARI ANANITAFSIRIA ANACHOSEMA MWENZIE ALIENIPA GURUNETI NA BUNDUKI.
Dogo tukishuka kimbia nyuma yake mufuate... Hiyo milio ya risasi inaonyesha waasi wanataka kuuteka uwanja wa akiba.
BUNDUKI nzito.
GURUNETI naogopa litanilipukia.
Washikaji wangu wote wametawanyika kila mmoja kaenda sehemu tofauti,na milio ya risasi inaendelea.....hiyo ndio inaitwa welcome to KISANGANI.
Saa mbili asubuhi watu wanatupiana risasi kama sherehe.
Baada ya milio ya risasi kutulia..ndio tunapata nafasi ya kupumua.
Kumbe wale walikua vikosi vya waasi waliojaribu kuuteka uwanja wa akiba wa Ndege.
Tunakutanishwa na Afande MONOO askari mpya wa jeshi la DRC....ambae anapenda biashara za magendo kuliko familia yake.
Kwa maelekezo ya Col Rutaremwa ndie mwenyeji wetu hapa kisangani.
Tunapandishwa land cruiser na safari ya kuingia porini inaanza.
Hakuna kuiacha bunduki yako iliyokatwa kitako na iliyoambatanishwa na magazine havu zote mbili...na kama hujui kutumia.....utajifunza mbele ya safari.
Kwa mara ya kwanza maishani ndio najua bunduki nzito.
MONOO ANAVUTA BANGI MDA WOTE.
DEREVA WAKE ANAVUTA BANGI MDA WOTE.
WALINZI WAKE WANAVUTA BANGI.
AFU NIMEKAA NAE SITI YA NYUMA ANANIONGELESHA KWA UTARATIBU.
KUMBE COL RUTAREMWA AMEMWAMBIA HAO MADOGO MASOKO YOTE WANAJUA WAO WALINDE KAMA MBONI YA JICHO LAKO.
Sehemu tuliyofikia nitaifanya Siri.
Baadhi ya wenyeji wetu sitowataja.
Na NINGEPENDA mjue hapa sitoi simulizi Bali habari ya kweli kuhusu watafutaji wa kitanzania nje ya mipaka ya nchi yetu.
Wengine waliokufa.
Wengine walidhulumiwa.
Wengine mpaka Leo hawajulikani walipo.
Wengine WALIFANIKIWA.
Ninaandika kwa uchungu mkubwa mno sababu kuna mengi ya kuumiza WAHUNI WA KINSHASA walipitia.
Ndio maana naandika kidogo kidogo nipate kumbukumbu sahii.
AFANDE MONOO NDANI YA GARI LLA JESHI ANAZO DHAHABU MIFUKO SITA ZA KWAKE BINAFSI
HII ALIKUJA KUNIONYESHA BAADAE USIKU.....AKITAKA KUUZA TOFAUTI NA USHIRIKA WA COL RUTAREMWA ILI ASITOE GAWIO KWA BOSI WAKE HUYO.
NAKUMBUKA ILIKUA USIKU WAKATI TUMELALA KWENYE KAMBI YA JESHI....NDIO ALIKUJA KUNIAMSHA NA KUNIONYESHA DHAHABU HIZO.
CONGO BHANA......HATUJAINGIA MZIGONI TUSHAANZA KUPATA DHAHABU....
KIMOYO MOYO TUKASEMA MAISHA SI NDIO HAYA.
PANDA MTI KATA MTI.....TUSHATOBOA.
KUMBE TUNGEJUA....!!!!!
Itaendelea..........!!!
 
TUNAENDELEA :
Saa nane usiku wakulungwa tunatoka CABINDA kwa usafiri wa Ndege ya jeshi la Angola.....tunafika uwanja wa akiba nje ya kisangani saa mbili asubuhi afu tunakuta uwanja unashambuliwa na vikosi vya waasi venue kupata usaidizi wa wanajeshi wa Uganda.
Rubani anatua hivyo hivyo..........tunakimbilia kwenye jengo la kuifadhia mzigo..huku milio ya risasi iliendelea...wakati huo wale wanajeshi wa Angola wanawarudisha nyuma waasi wasiojulikana wanaosaidiwa na waganda.
Sisi tulikua SESESEKO kaondoka..nchi utatulia... kumbe tulikua tunajidanganya....pale kisangani ndio uwanja wa fujo maingilio yake... namaanisha getini.
KWA WALE AMBAO HAMJAWAHI KUPANDA NDEGE ZA KIVITA..HASA ZA MZIGO.
NI KWAMBA MAZINGIRA YA NDANI HAYANA
STAREHE YOTOTE ZAIDI YA KUKALIA MABENCHI YA MBAO....!!!
NIKASEMA LEO KUMEKUCHA MAPAMBANO YAMEANZIA KISANGANI.
NDANI YA NDEGE WATU WOTE WANAVUTA BANGI ILI KULIFRESH MIND.
MARA NAPEWA BUNDUKI NIISHIKE.
NAPEWA NA MAGAZINE.
NAPEWA NA KOTI LA KIJESHI.
NAPEWA GRUNETI.
NAPEWA NA ELEMENTI YA CHUMA.
ASIKARI WOTE WANAONGEA KIRENO KASORO MMOJA TU NDIE ANAONGEA KINGEREZA.
YULE ASKARI ANANITAFSIRIA ANACHOSEMA MWENZIE ALIENIPA GURUNETI NA BUNDUKI.
Dogo tukishuka kimbia nyuma yake mufuate... Hiyo milio ya risasi inaonyesha waasi wanataka kuuteka uwanja wa akiba.
BUNDUKI nzito.
GURUNETI naogopa litanilipukia.
Washikaji wangu wote wametawanyika kila mmoja kaenda sehemu tofauti,na milio ya risasi inaendelea.....hiyo ndio inaitwa welcome to KISANGANI.
Saa mbili asubuhi watu wanatupiana risasi kama sherehe.
Baada ya milio ya risasi kutulia..ndio tunapata nafasi ya kupumua.
Kumbe wale walikua vikosi vya waasi waliojaribu kuuteka uwanja wa akiba wa Ndege.
Tunakutanishwa na Afande MONOO askari mpya wa jeshi la DRC....ambae anapenda biashara za magendo kuliko familia yake.
Kwa maelekezo ya Col Rutaremwa ndie mwenyeji wetu hapa kisangani.
Tunapandishwa land cruiser na safari ya kuingia porini inaanza.
Hakuna kuiacha bunduki yako iliyokatwa kitako na iliyoambatanishwa na magazine havu zote mbili...na kama hujui kutumia.....utajifunza mbele ya safari.
Kwa mara ya kwanza maishani ndio najua bunduki nzito.
MONOO ANAVUTA BANGI MDA WOTE.
DEREVA WAKE ANAVUTA BANGI MDA WOTE.
WALINZI WAKE WANAVUTA BANGI.
AFU NIMEKAA NAE SITI YA NYUMA ANANIONGELESHA KWA UTARATIBU.
KUMBE COL RUTAREMWA AMEMWAMBIA HAO MADOGO MASOKO YOTE WANAJUA WAO WALINDE KAMA MBONI YA JICHO LAKO.
Sehemu tuliyofikia nitaifanya Siri.
Baadhi ya wenyeji wetu sitowataja.
Na NINGEPENDA mjue hapa sitoi simulizi Bali habari ya kweli kuhusu watafutaji wa kitanzania nje ya mipaka ya nchi yetu.
Wengine waliokufa.
Wengine walidhulumiwa.
Wengine mpaka Leo hawajulikani walipo.
Wengine WALIFANIKIWA.
Ninaandika kwa uchungu mkubwa mno sababu kuna mengi ya kuumiza WAHUNI WA KINSHASA walipitia.
Ndio maana naandika kidogo kidogo nipate kumbukumbu sahii.
AFANDE MONOO NDANI YA GARI LLA JESHI ANAZO DHAHABU MIFUKO SITA ZA KWAKE BINAFSI
HII ALIKUJA KUNIONYESHA BAADAE USIKU.....AKITAKA KUUZA TOFAUTI NA USHIRIKA WA COL RUTAREMWA ILI ASITOE GAWIO KWA BOSI WAKE HUYO.
NAKUMBUKA ILIKUA USIKU WAKATI TUMELALA KWENYE KAMBI YA JESHI....NDIO ALIKUJA KUNIAMSHA NA KUNIONYESHA DHAHABU HIZO.
CONGO BHANA......HATUJAINGIS MZIGONI TUSHAANZA KUOATA DHAHABU....
KIMOYO MOYO TUKASEMA MAISHA SI NDIO HAYA.
PANDA MTI KATA MTI.....TUSHATOBOA.
KUMBE TUNGEJUA....!!!!!
Itaendelea..........!!!
Kazikazi mwanaume hizi ndo nyuzi sasa za kusoma mwanaume huku ukinywa konyagi taratiibu.
ACHANA NA UZI WA KULA TUNDA KIMASIHARA
 
Maisha yanaenda kwa kasi mno.
Ni miaka mingi imepita ila nawakumbuka ndugu zangu vijana wa kitanzania....kutoka Mbagala, Temeke, Kinondoni na Kariakoo walioenda ukanda wa maziwa makuu kujitafutia mawe.
Kinshasa ya zamani sio hii ya leo.
Kigali ya zamani sio hii ya leo
Bujumbura ya zamani sio hii ya leo
Dar ya zamani sio hii ya leo.

Kabla ya yote niombe Mungu awalaze mahali pema peponi ndugu zangu hawa.
1 : Rais wa Rwanda.....Anko Juve.
2 : Rais wa Zaire.......Anko Seseseko.
3 : Kanali Fred wa RPF.
4 : My brother Hamed.
5 : Col Rutaremwa.
6 : My homie James Zugazuga.
Wengine wengi siwezi kuwataja hapa Bali nitawataja mbeleni Uzi uliendelea.

MAISHA YANATUFUNZA...KUFA HATUFI ILA CHA MOTO TUNAKIONA.
WATOTO WA KIUME TUNAKAZA

HATUKUZALIWA FAMILIA ZA KISHUA....ILIBIDI TUHANGAIKE KUWATUNZA WANAOTUTEGEMEA.

I HOPE HUU UZI SITOZUIWA NA WAHUSIKA KUENDELEA KUUANDIKA.
MAANA UZI ZANGU ZOTE..... WAHUSIKA WAGA WANANIKATAZA.
NA MIMI NATII SHERIA BILA SHURUTI.

Baada ya ukimya mrefu nimerudi Ili niwape story wadogo zangu kuhusu harakati za kutafuta tulizopitia kaka zenu.

STORY HII INAANZIA KINSHASA JULY 17 1997

Karibuni sana.

View attachment 3193900
Hakika
 
Hapa nitapenda kusikia habari za kisangani, bafaswende, mambasa, niania, bangedaido, butembo, bwera, Kasindi, nitapenda ugusie jinsi waarabu wa taqwa , classic walivyotajirishwa na bangi na dhahabu za magendo, nitapenda kusikia kama makako mlikula, nitapenda kusikia visa vya akina general Salim Saleh wa Uganda mdogo wa muse7 , jinsi walivyo vuna mbao pori kupeleka ulaya na dhahabu za kutosha , nitapenda ugusie vita ya wanajeshi wa Uganda na Rwanda kisangani kugombea maeneo yenye madini mengi , nitapenda ugusie wanajeshi wa Rwanda na Uganda waliojipatia mabilioni ya dollar kwenye dili za magendo ya oral au dhahabu na diama au almasi , nitapenda uelezee biashara ya risasi haramu zilivokua zinaingia Congo kutokea Kenya Mombasa zikitokea Pakistan , umenikumbusha visa vingi pia hapa ngoja nilewe kwanza madogo wa Leo laini Sana , enzi hizo Ajira majeshi ya Congo nanrwanda hata uraia hawaulizi mtaulizana baadae na uraia utapewa baadae , Congo , zairwa Acha wateseke ni shamba la Bibi kitambo
 
Hapa nitapenda kusikia habari za kisangani, bafaswende, mambasa, niania, bangedaido, butembo, bwera, Kasindi, nitapenda ugusie jinsi waarabu wa taqwa , classic walivyotajirishwa na bangi na dhahabu za magendo, nitapenda kusikia kama makako mlikula, nitapenda kusikia visa vya akina general Salim Saleh wa Uganda mdogo wa muse7 , jinsi walivyo vuna mbao pori kupeleka ulaya na dhahabu za kutosha , nitapenda ugusie vita ya wanajeshi wa Uganda na Rwanda kisangani kugombea maeneo yenye madini mengi , nitapenda ugusie wanajeshi wa Rwanda na Uganda waliojipatia mabilioni ya dollar kwenye dili za magendo ya oral au dhahabu na diama au almasi , nitapenda uelezee biashara ya risasi haramu zilivokua zinaingia Congo kutokea Kenya Mombasa zikitokea Pakistan , umenikumbusha visa vingi pia hapa ngoja nilewe kwanza madogo wa Leo laini Sana , enzi hizo Ajira majeshi ya Congo nanrwanda hata uraia hawaulizi mtaulizana baadae na uraia utapewa baadae , Congo , zairwa Acha wateseke ni shamba la Bibi kitambo
Na wewe tupe story inaonekana ulikuwa mbabe na mkora 😹
 
Back
Top Bottom