John Fedha
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 624
- 717
Hawa ndiyo wahuni kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa nitapenda kusikia habari za kisangani, bafaswende, mambasa, niania, bangedaido, butembo, bwera, Kasindi, nitapenda ugusie jinsi waarabu wa taqwa , classic walivyotajirishwa na bangi na dhahabu za magendo, nitapenda kusikia kama makako mlikula, nitapenda kusikia visa vya akina general Salim Saleh wa Uganda mdogo wa muse7 , jinsi walivyo vuna mbao pori kupeleka ulaya na dhahabu za kutosha , nitapenda ugusie vita ya wanajeshi wa Uganda na Rwanda kisangani kugombea maeneo yenye madini mengi , nitapenda ugusie wanajeshi wa Rwanda na Uganda waliojipatia mabilioni ya dollar kwenye dili za magendo ya oral au dhahabu na diama au almasi , nitapenda uelezee biashara ya risasi haramu zilivokua zinaingia Congo kutokea Kenya Mombasa zikitokea Pakistan , umenikumbusha visa vingi pia hapa ngoja nilewe kwanza madogo wa Leo laini Sana , enzi hizo Ajira majeshi ya Congo nanrwanda hata uraia hawaulizi mtaulizana baadae na uraia utapewa baadae , Congo , zairwa Acha wateseke ni shamba la Bibi kitambo
Hiki kizazi cha sasa kinachoshinda betting tiktok f’book na insta sijui kitakuwa na nini cha ku-share na madogo zao ili kuwa-inspire wazidi kukaza na kwamba maisha lazima mtu jasho likutoke hasa ili utoboe.
FRED RWIGYEMA wengine wanamtuhuumu PK, though kuna taarifa zingine zinasema kati ya makamanda wenzie wawili ndio walimpiga risasi baada ya kujibizana kuhusu tactics za vita walizotakiwa kuzifuata. only God knows.
Dah!!!burudaniPapaa Maelengi Yanakuya We Umepia Marshe Pona Nini Bamasta? Tika Tumona Biso Eza Na Zoba!
Kwa ivo matajiri wote ni dhulumati au ni matajiri wa bongo pekee?Na Kuna mtu kashiba zake kishumba cha ugali atasema utajiri wa halali upo😄😄
Na Kuna mtu kashiba zake kishumba cha ugali atasema utajiri wa halali upo😄😄
