Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mutu ya watu....mutu ya kaziiiLusepee Mundende. Duh majina ya kibabe kabisa haya
Asante...Maisha yanaenda kwa kasi mno.
Ni miaka mingi imepita ila nawakumbuka ndugu zangu vijana wa kitanzania....kutoka Mbagala, Temeke, Kinondoni na Kariakoo walioenda ukanda wa maziwa makuu kujitafutia mawe.
Kinshasa ya zamani sio hii ya leo.
Kigali ya zamani sio hii ya leo
Bujumbura ya zamani sio hii ya leo
Dar ya zamani sio hii ya leo.
Kabla ya yote niombe Mungu awalaze mahali pema peponi ndugu zangu hawa.
1 : Rais wa Rwanda.....Anko Juve.
2 : Rais wa Zaire.......Anko Seseseko.
3 : Kanali Fred wa RPF.
4 : My brother Hamed.
5 : Col Rutaremwa.
6 : My homie James Zugazuga.
Wengine wengi siwezi kuwataja hapa Bali nitawataja mbeleni Uzi uliendelea.
MAISHA YANATUFUNZA...KUFA HATUFI ILA CHA MOTO TUNAKIONA.
WATOTO WA KIUME TUNAKAZA
HATUKUZALIWA FAMILIA ZA KISHUA....ILIBIDI TUHANGAIKE KUWATUNZA WANAOTUTEGEMEA.
I HOPE HUU UZI SITOZUIWA NA WAHUSIKA KUENDELEA KUUANDIKA.
MAANA UZI ZANGU ZOTE..... WAHUSIKA WAGA WANANIKATAZA.
NA MIMI NATII SHERIA BILA SHURUTI.
Baada ya ukimya mrefu nimerudi Ili niwape story wadogo zangu kuhusu harakati za kutafuta tulizopitia kaka zenu.
STORY HII INAANZIA KINSHASA JULY 17 1997
Karibuni sana.
View attachment 3193900
Mzee sisi wengine maninja uwa tunanusa hatari iliyopo mbele unakaa kimastaAcha porojo , una jua maana ya AMBUSH..
Una pigwa Tish for Tash...yaan Kama kuwasha taa... fasta fasta...
Nifah 2025 au bado una kinyongo??Tuko hapa Bro, shusha vitu.
Kaka MENEMENE TEKERI NA PERESI ume fanyaje tena kaka??, hebu nijuze pm.Hommie ,ilikuwa lazima upigwe Pin katika uzi ule maana ulikuwa unazifungua code mno Kaka .
Sema pamoja ,kheri ya mwaka mpya Kaka ,niombee mwanenu Kati si Safi na mwisho majuto yananichukua
Happy new year pia, maisha yenyewe mafupi.Hell nah, sinaga kinyongo mimi bali naweka distance.
Happy New Year.
Nashukuru sana, tuishi ✌🏽Happy new year pia, maisha yenyewe mafupi.
Nime Kumbuka Nika sema nikupe hi.
Bora niwaambie wamtest mbuzi kwenye risasi nione kama hatakufa.😀😀Brother,
Alinambia ana anza mganga mwenyewe kutestiwa.
Then,
Wengine ndio wanafuatia 😊 watakuja watalaamu kujazia nyama
Hii technology kirangaa atabishaa🤣
I mean no malice to nobody teacher 🤞Nashukuru sana, tuishi ✌🏽
au sio!!, haya komaa😅Nitawasimulia jeans nilivokua Napita pale riverside, Sinza kitambaa cheupe,
Hamna mkali uko sahivi sifanyi hzo mamboau sio!!, haya komaa
sipingi Kuna brother Joshua wa kg, baba ake ali kuwa uki mchoma kisu haki ingii.Brother,
Alinambia ana anza mganga mwenyewe kutestiwa.
Then,
Wengine ndio wanafuatia 😊 watakuja watalaamu kujazia nyama
Hii technology kirangaa atabishaa🤣
Kwa amani hii tuliyonayo, tutoke kwenda kwenye nchi zenye machafuko tukafanye nini wakati kama ni migodi na rasilimali tunazo za kutosha.Ila watanzania sisi tunajifungia sana, itabidi tuchangamke asee
Haaahaa, utajuaje Kama dawa inafanya kazi.. ☺️😊Bora niwaambie wamtest mbuzi kwenye risasi nione kama hatakufa.😀😀
Kuna movie inaitwa 'War Witch' na kama siyo 'Beasts with no Nation', wame-act hii nadharia unayoiongelea.Haaahaa, utajuaje Kama dawa inafanya kazi.. ☺️😊
Lazima utestiwe...yule brother angu alinambia ukiwa mwoga mnapanga mstari unageuka kuipa mgongo bunduki....then jamaa ana mimina risasi
Zipo simulizi nyingi Sana humu Jf za makamanda wa police huko Kagera hususani NGARA NA BIHARAMULO Kuna mijambazi yalikua yakikamatwa yanapigwa bunduki, mawe, mapanga, choma moto haungui