Wahuni wa Kinshasa Julai 17 1997- Desemba 25 2024

Wahuni wa Kinshasa Julai 17 1997- Desemba 25 2024

Maisha yanaenda kwa kasi mno.
Ni miaka mingi imepita ila nawakumbuka ndugu zangu vijana wa kitanzania....kutoka Mbagala, Temeke, Kinondoni na Kariakoo walioenda ukanda wa maziwa makuu kujitafutia mawe.
Kinshasa ya zamani sio hii ya leo.
Kigali ya zamani sio hii ya leo
Bujumbura ya zamani sio hii ya leo
Dar ya zamani sio hii ya leo.

Kabla ya yote niombe Mungu awalaze mahali pema peponi ndugu zangu hawa.
1 : Rais wa Rwanda.....Anko Juve.
2 : Rais wa Zaire.......Anko Seseseko.
3 : Kanali Fred wa RPF.
4 : My brother Hamed.
5 : Col Rutaremwa.
6 : My homie James Zugazuga.
Wengine wengi siwezi kuwataja hapa Bali nitawataja mbeleni Uzi uliendelea.

MAISHA YANATUFUNZA...KUFA HATUFI ILA CHA MOTO TUNAKIONA.
WATOTO WA KIUME TUNAKAZA

HATUKUZALIWA FAMILIA ZA KISHUA....ILIBIDI TUHANGAIKE KUWATUNZA WANAOTUTEGEMEA.

I HOPE HUU UZI SITOZUIWA NA WAHUSIKA KUENDELEA KUUANDIKA.
MAANA UZI ZANGU ZOTE..... WAHUSIKA WAGA WANANIKATAZA.
NA MIMI NATII SHERIA BILA SHURUTI.

Baada ya ukimya mrefu nimerudi Ili niwape story wadogo zangu kuhusu harakati za kutafuta tulizopitia kaka zenu.

STORY HII INAANZIA KINSHASA JULY 17 1997

Karibuni sana.

View attachment 3193900
Asante...
 
Ila watanzania sisi tunajifungia sana, itabidi tuchangamke asee
Kwa amani hii tuliyonayo, tutoke kwenda kwenye nchi zenye machafuko tukafanye nini wakati kama ni migodi na rasilimali tunazo za kutosha.

Hizi namba tuendelee kuzisoma na kuziona kwenye movie tu. Kwa tone hii ya uandishi ya mtoa mada, nachelea kutabiri kwamba hakutoboa licha ya risks zote alizopambana nazo
 
Bora niwaambie wamtest mbuzi kwenye risasi nione kama hatakufa.😀😀
Haaahaa, utajuaje Kama dawa inafanya kazi.. ☺️😊

Lazima utestiwe...yule brother angu alinambia ukiwa mwoga mnapanga mstari unageuka kuipa mgongo bunduki....then jamaa ana mimina risasi

Zipo simulizi nyingi Sana humu Jf za makamanda wa police huko Kagera hususani NGARA NA BIHARAMULO Kuna mijambazi yalikua yakikamatwa yanapigwa bunduki, mawe, mapanga, choma moto haungui
 
Haaahaa, utajuaje Kama dawa inafanya kazi.. ☺️😊

Lazima utestiwe...yule brother angu alinambia ukiwa mwoga mnapanga mstari unageuka kuipa mgongo bunduki....then jamaa ana mimina risasi

Zipo simulizi nyingi Sana humu Jf za makamanda wa police huko Kagera hususani NGARA NA BIHARAMULO Kuna mijambazi yalikua yakikamatwa yanapigwa bunduki, mawe, mapanga, choma moto haungui
Kuna movie inaitwa 'War Witch' na kama siyo 'Beasts with no Nation', wame-act hii nadharia unayoiongelea.
 
Back
Top Bottom