Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Iko njema kama mvinyo ulio chacha yani hujui kama umelewa ama utalewa alooh Twende kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Respect Kwako,Hapa nitapenda kusikia habari za kisangani, bafaswende, mambasa, niania, bangedaido, butembo, bwera, Kasindi, nitapenda ugusie jinsi waarabu wa taqwa , classic walivyotajirishwa na bangi na dhahabu za magendo, nitapenda kusikia kama makako mlikula, nitapenda kusikia visa vya akina general Salim Saleh wa Uganda mdogo wa muse7 , jinsi walivyo vuna mbao pori kupeleka ulaya na dhahabu za kutosha , nitapenda ugusie vita ya wanajeshi wa Uganda na Rwanda kisangani kugombea maeneo yenye madini mengi , nitapenda ugusie wanajeshi wa Rwanda na Uganda waliojipatia mabilioni ya dollar kwenye dili za magendo ya oral au dhahabu na diama au almasi , nitapenda uelezee biashara ya risasi haramu zilivokua zinaingia Congo kutokea Kenya Mombasa zikitokea Pakistan , umenikumbusha visa vingi pia hapa ngoja nilewe kwanza madogo wa Leo laini Sana , enzi hizo Ajira majeshi ya Congo nanrwanda hata uraia hawaulizi mtaulizana baadae na uraia utapewa baadae , Congo , zairwa Acha wateseke ni shamba la Bibi kitambo
Sasa hapo kwenye kutest mapanga etc kama dawa haijakolea ina maana yana penya sio 😬Respect Kwako,
Kuna brother angu mmoja alienda huko akapata mchongo kuingia jeshi la waasi..
Kuna kitu anisimulia..Kuna dawa za kienyeji zinachemshwa kwenye pipa maji pokopoko..unavua nguo unaingia kwa maelekezo ya mganga..
Anaanza yeye mganga anazama kwenye waji...anawathibitishia..then nyie mnaingia kwenye maji mnapikwaa dawa
Then.
Linafuata zoezi la kutest kukatwa na panga, risasi e.t.c yaan unakua IMMORTAL ukipigwa risasi hazipitii..ukikatwa panga halipiti..
Alinisimulia pia walikua wanavamia vijiji na kushambulia raia na mali ZAO yaan Kama muvi vileee
Mkuu ,
Unaweza kujazia nyamaa... kuhusu risasi kupenya mwilini.
Brother,Sasa hapo kwenye kutest mapanga etc kama dawa haijakolea ina maana yana penya sio 😬
😅😅🤣🤣 Bora uende MMUKila nikijitahidi kusoma story naona sielewi.
Aiseee dunia ina mengi sana hiiBrother,
Alinambia ana anza mganga mwenyewe kutestiwa.
Then,
Wengine ndio wanafuatia 😊 watakuja watalaamu kujazia nyama
Hii technology kirangaa atabishaa🤣
Napenda kumsoma Nelson, lakini story zake zote nikijitahidi kusoma lazima kichwa kiniume.😅😅🤣🤣 Bora uende MMU
Hata mimi ananichosha hapo tu, yan hata hii nimejishauri sana ,sijui nisome sijui niache maana unasomaaa unafikia pazuuuri , ghafla, kapoteaStory za huyu mwamba huwa nzr, shida moja tuu, haziishi ghafla utaskia nimeambiwa nimepigwa stop na wahusika
Hukusikia yule alibutuliwa na risasi za mganga kigoma wakitest hiyo dawa!?.. dizaini mganga alisahau ingredients,ikawa murder caseSasa hapo kwenye kutest mapanga etc kama dawa haijakolea ina maana yana penya sio 😬
Shida yake ndo hiyo tuuHata mimi ananichosha hapo tu, yan hata hii nimejishauri sana ,sijui nisome sijui niache maana unasomaaa unafikia pazuuuri , ghafla, kapotea
DuuuuhHapa nitapenda kusikia habari za kisangani, bafaswende, mambasa, niania, bangedaido, butembo, bwera, Kasindi, nitapenda ugusie jinsi waarabu wa taqwa , classic walivyotajirishwa na bangi na dhahabu za magendo, nitapenda kusikia kama makako mlikula, nitapenda kusikia visa vya akina general Salim Saleh wa Uganda mdogo wa muse7 , jinsi walivyo vuna mbao pori kupeleka ulaya na dhahabu za kutosha , nitapenda ugusie vita ya wanajeshi wa Uganda na Rwanda kisangani kugombea maeneo yenye madini mengi , nitapenda ugusie wanajeshi wa Rwanda na Uganda waliojipatia mabilioni ya dollar kwenye dili za magendo ya oral au dhahabu na diama au almasi , nitapenda uelezee biashara ya risasi haramu zilivokua zinaingia Congo kutokea Kenya Mombasa zikitokea Pakistan , umenikumbusha visa vingi pia hapa ngoja nilewe kwanza madogo wa Leo laini Sana , enzi hizo Ajira majeshi ya Congo nanrwanda hata uraia hawaulizi mtaulizana baadae na uraia utapewa baadae , Congo , zairwa Acha wateseke ni shamba la Bibi kitambo
Ninayo clip hii, waafrika tuna tech zetu nying sana ila tunazidharauRespect Kwako,
Kuna brother angu mmoja alienda huko akapata mchongo kuingia jeshi la waasi..
Kuna kitu anisimulia..Kuna dawa za kienyeji zinachemshwa kwenye pipa maji pokopoko..unavua nguo unaingia kwa maelekezo ya mganga..
Anaanza yeye mganga anazama kwenye waji...anawathibitishia..then nyie mnaingia kwenye maji mnapikwaa dawa
Then.
Linafuata zoezi la kutest kukatwa na panga, risasi e.t.c yaan unakua IMMORTAL ukipigwa risasi hazipitii..ukikatwa panga halipiti..
Alinisimulia pia walikua wanavamia vijiji na kushambulia raia na mali ZAO yaan Kama muvi vileee
Mkuu ,
Unaweza kujazia nyamaa... kuhusu risasi kupenya mwilini.
Ninayo clip hii, waafrika tuna tech zetu nying sana ila tunazidharau
Hiyo hata Kigoma wanafanya inaitwa kidono 😹Respect Kwako,
Kuna brother angu mmoja alienda huko akapata mchongo kuingia jeshi la waasi..
Kuna kitu anisimulia..Kuna dawa za kienyeji zinachemshwa kwenye pipa maji pokopoko..unavua nguo unaingia kwa maelekezo ya mganga..
Anaanza yeye mganga anazama kwenye waji...anawathibitishia..then nyie mnaingia kwenye maji mnapikwaa dawa
Then.
Linafuata zoezi la kutest kukatwa na panga, risasi e.t.c yaan unakua IMMORTAL ukipigwa risasi hazipitii..ukikatwa panga halipiti..
Alinisimulia pia walikua wanavamia vijiji na kushambulia raia na mali ZAO yaan Kama muvi vileee
Mkuu ,
Unaweza kujazia nyamaa... kuhusu risasi kupenya mwilini.
😹😹😹Sasa hapo kwenye kutest mapanga etc kama dawa haijakolea ina maana yana penya sio 😬