Njuka II
JF-Expert Member
- Feb 25, 2019
- 414
- 733
Dawa ni kuweka ndoo ya maji karibu na dirishani, wakipuliza ile dawa inavutwa na maji. Asubuhi maji unayamwagaDawa za usingizi siku hizi ndo zimeshamiri...juzi jirani yetu ameamkia sakafuni wamebeba hadi magodoro