Wahusika kwenye kadhia ya Mbowe Wawajibishwe

Siro amechoka yafaa Mzee wa watu akapumzike weledi unapungua KILA siku. Hawaaamini tena yupo wapi kingai mahita jumanne gudlack
 
Kama kweli ana akili angejitetea ila kukubali kuondoka bila kujitetea na hukumu ya mahakama kumsafisha then bado tuhuma zinabakia vile vile.

Mnamiaka 30 kwenye siasa ila makosa ya vyama vya upinzani ni yale yale siku zote.
Ni wapumbavu peke yao ndiyo wanaamini kuwa Mbowe ana tuhuma. Angekuwa na hizo tuhuma DPP asingefanya hayo aliyofanya
 
Tumwombe popote alipo afanye kama anajikuna tumwone.
 
Kama unafikiri Jaji alikuwa hayajui haya wewe utakuwa unachangia sana watawala kufungulia watu kesi za michongo kama hii. Katika shauri hili kila aliyehusika kuanzia mkamataji, mpelelezi, shahidi, mwendesha mashtaka, jaji wote walikuwa wa michongo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…