Wahusika mko wapi hadi hali imekuwa hivi hapa Mbezi?

Wahusika mko wapi hadi hali imekuwa hivi hapa Mbezi?

Madihani

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
6,154
Reaction score
7,083
Habari JamiiForums.

Update 25/02/2022
Hali inazidi kuwa mbaya watu wanakoswa koswa na magari kisa Machinga.
Serikali iko wapi watu wanajiamulia mambo bila kufuata Sheria.
============

Hapa Mbezi Louis machinga wamerudi na kuwa kero tena kwa watembea kwa miguu.

Sina maelezo mengi ila kuna picha nimepiga kwenye barabara ya kwenda Malamba hadi Kinyerezi machinga wanafunga njia ili watu wapite barabarani na kuhatarisha maisha yao.

20220215_170701.jpg
20220215_170700.jpg

 
Kweli nchi hii haitawaliki, pamoja na kelele zote za serikali ya CCM kuwa kuna njama toka kundi fulani kuwa nchi isitawalike kwa kufumbia macho wanaoshindwa kuheshimu sheria na sheria ndogo, hili la Mbezi Jijini Dar es Salaam ni ishara serikali imeshindwa kuongoza.
 
Dotto James ni Jipu!! Anashindana na wakubwa zake!! Mheshimiwa Makala mwangalie sana huyu DC yupo nyuma ya yote haya
 
Wilaya ya Temeke naona inafanya vizuri katika kusimamia hili jambo.
Huo ni uchafu na ushamba
 
Waenda kwa miguu tumekuwa wakimbizi watu hawana pa kupita, eneo la wazi lipo la kutosha ila njia za waenda kwa miguu na mitaro imezibwa!! Hujuma ya Dotto James
 
Mie nikipitaga huwa napiga mateke hayo mavi-chanja yao, na hawanifanyi kitu. Wananijua mziki wangu.
Subiri huo mguu ukatwe siku moja na kitu kisischojulikana
 
Back
Top Bottom