Tunakubaliana ila sio kusababishia wengine matatizo na kuharibu matumizi bora ya miundombinuMaisha ndio tatizo
hali ni Ngumu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunakubaliana ila sio kusababishia wengine matatizo na kuharibu matumizi bora ya miundombinuMaisha ndio tatizo
hali ni Ngumu sana
Mimi jana nilishangaa kuona njia wameziba na barabarani kuna watu wamepanga biashara.Waenda kwa miguu tumekuwa wakimbizi watu hawana pa kupita, eneo LA wazi lipo LA kutosha ila njia za waenda kwa miguu na mitaro imezibwa!! Hujuma ya Dotto James
No way out ni maisha tuDuh ! Hakuna bango la kukataza hilo eneo la karibu ?? Serikali ya mtaa ??
Mimi nilishasema Hawa sukuma gang kazi yao ni kumkwamisha Mama sijui anawakumbatia wa niniDotto James ni Jipu!! Anashindana na wakubwa zake!! Mheshimiwa Makala mwangalie sana huyu DC yupo nyuma ya yote haya
DC hawana kazi saizi ni bata bataniDotto James ni Jipu!! Anashindana na wakubwa zake!! Mheshimiwa Makala mwangalie sana huyu DC yupo nyuma ya yote haya
Njia ya kwenda goba muuza chips kuweka kiko chini ya Tangazo la kukataza kabisaaaaa!Duh! Hakuna bango la kukataza hilo eneo la karibu? Serikali ya mtaa?
Yupo kumhujumu mama tu hana lolote yeye na slowslowDc wao si Kheri James mtoto wa mzee wa legasi
Kwa hiyo hata ukiona mtu anajisadia barabarani umwache eti kwa sababu anafamilia? bogus comment kabisa.Ungekuwa na familia usingeandika huu ukosefu wa heshima kwa watafutaji
Hii ni uasi. Kuasi dira na maagizo ya Mhe. Rais. Usipofanikiwa ama ukugongwa unasema kwasababu ya maisha.Kweli nchi hii haitawaliki, pamoja na kelele zote za serikali ya CCM kuwa kuna njama toka kundi fulani kuwa nchi isitawalike kwa kufumbia macho wanaoshindwa kuheshimu sheria na sheria ndogo, hili la Mbezi Jijini Dar es Salaam ni ishara serikali imeshindwa kuongoza.
Jaman.Pia Mbezi kumekuwa na vibaka hatari.
Wakatafute hapo katikati ya barabara.? Wakifa leo hizo familia zitafaidi nini? Rambirambi ama?Ungekuwa na familia usingeandika huu ukosefu wa heshima kwa watafutaji
Kweli nchi hii haitawaliki, pamoja na kelele zote za serikali ya CCM kuwa kuna njama toka kundi fulani kuwa nchi isitawalike kwa kufumbia macho wanaoshindwa kuheshimu sheria na sheria ndogo, hili la Mbezi Jijini Dar es Salaam ni ishara serikali imeshindwa kuongoza.