Wahusika mko wapi hadi hali imekuwa hivi hapa Mbezi?

Waenda kwa miguu tumekuwa wakimbizi watu hawana pa kupita, eneo LA wazi lipo LA kutosha ila njia za waenda kwa miguu na mitaro imezibwa!! Hujuma ya Dotto James
Mimi jana nilishangaa kuona njia wameziba na barabarani kuna watu wamepanga biashara.
 
Duh! Hakuna bango la kukataza hilo eneo la karibu? Serikali ya mtaa?
Njia ya kwenda goba muuza chips kuweka kiko chini ya Tangazo la kukataza kabisaaaaa!
Tatizo la mbezi ni serikali ya mtaa wa mshikamano.
RC hawezi kuwepo kila sehemu
 
Hali inazidi kuwa mbaya kila siku.
 
Hii ni uasi. Kuasi dira na maagizo ya Mhe. Rais. Usipofanikiwa ama ukugongwa unasema kwasababu ya maisha.

Na wengine serikali imewapa mikopo hapo ili wakaasi maagizo yake vizuri. Kweli haipendezi. Usipo mheshimu Kiongoz Mkuu. Usitegemee upate heri na mafanikio. Trust me. Yeye amebeba moyo wa Taifa.
 
Watumishi wa manispaa ubungo ndiyo wengi zarau serikali ya awamu ya 6,ndiyo chanzo machinga kurudi mbezi.
 

Mbezi sio jijini dar es salaam, Mbezi ipo manispaa ya ubungo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…