Waiengereza na wamarekani wapewa siku 30 wawe wameondoka Yemen

Waiengereza na wamarekani wapewa siku 30 wawe wameondoka Yemen

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Wafanyakazi wa mashirika ya misaada ya Marekani na Uiengereza wamepewa siku 30 za matayarisho ya kuondoka nchini Yemen kwenye maeneo yanayodhibitiwa na wanajeshi wa Houth.

Amri hiyo imetolewa baada ya meli za kivita za nchi hizo kufanya mashambulio kwenye maeneo ya Yemen kwa mara ya nane hapo juzi.

Katika barua inayoelekeza amri hiyo ambayo nakala yake imeshuhudiwa na Skynews,mashirika yote ya misaada hayatakiwi kuwaajiri hatu watu wenye uraia pacha na nchi hizo.

Houthis give British aid workers 30 days to leave Yemen


Katika enzi hizi Yemen inaweza kuwa ni nchi ya mwanzo ya kiarabu kutoa amri ya kuwafukuza raia wa nchi hizo mbili ambazo kwa ujumla zimekuwa na ushawishi mkubwa katika siasa za ndani na nje ya nchi hizo .
 
Houth wametoa tangazo kwa niaba ya Serikali ya Yemen au Houthi ndiyo Serekali ya Yemen mbona sielewi mimi.
Kuna kikundi chochote tofauti na serikali inaweza kutoa tamko wa namna hiyo na serikali ikaa kimya au Yemen ni nchi ya namna gani hiyo
 
Houth wametoa tangazo kwa niaba ya Serikali ya Yemen au Houthi ndiyo Serekali ya Yemen mbona sielewi mimi.
Kuna kikundi chochote tofauti na serikali inaweza kutoa tamko wa namna hiyo na serikali ikaa kimya au Yemen ni nchi ya namna gani hiyo
Wabaki wapanuliliwe
 
Kwanini wasiwalipue kwa mabomu kuliko kutoa vitisho nyau namna hiyo?

Si tuliambiwa hilo eneo litakuwa jehanamu ya wanajeshi wa US na UK?
 
Houth wametoa tangazo kwa niaba ya Serikali ya Yemen au Houthi ndiyo Serekali ya Yemen mbona sielewi mimi.
Kuna kikundi chochote tofauti na serikali inaweza kutoa tamko wa namna hiyo na serikali ikaa kimya au Yemen ni nchi ya namna gani hiyo
Houth ndio watawala wa Yemen kwa sasa.Serikali nyengine waliifurusha ikaenda Saudi Arabia na hakuna anayewatambua isipokuwa UN na USA na Saudi Arabia yenyewe.
 
Kwanini wasiwalipue kwa mabomu kuliko kutoa vitisho nyau namna hiyo?

Si tuliambiwa hilo eneo litakuwa jehanamu ya wanajeshi wa US na UK?
Hawastahiki kufanyiwa hivyo.Wote ni watu wa kawaida.
Siku wakiwakamata askari wa US na UK ndio watachagua cha kuwafanya.Wawaripue au wabaki nao kama Gaza.
 
Kwanini wasiwalipue kwa mabomu kuliko kutoa vitisho nyau namna hiyo?

Si tuliambiwa hilo eneo litakuwa jehanamu ya wanajeshi wa US na UK?
Hawastahiki kufanyiwa hivyo.Wote ni watu wa kawaida.
Siku wakiwakamata askari wa US na UK ndio watachagua cha kuwafanya.Wawaripue au wabaki nao kama Gaza.
 
Kwanini wasiwalipue kwa mabomu kuliko kutoa vitisho nyau namna hiyo?

Si tuliambiwa hilo eneo litakuwa jehanamu ya wanajeshi wa US na UK?
Kuna mambo wa marekani au Uingereza pale red sea [emoji3]
Wote wamekimbia kusiko julikanika
 
Hawastahiki kufanyiwa hivyo.Wote ni watu wa kawaida.
Siku wakiwakamata askari wa US na UK ndio watachagua cha kuwafanya.Wawaripue au wabaki nao kama Gaza.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mnateseka sana aisee
 
✍️ Wazungu hawashindwi, utawafukuza Leo ila kesho watakuja Kwa uraia wa Kizimkazi...

✍️ Hawa ni kudili nao kama Putin anavyodili nao...
 
Houth wametoa tangazo kwa niaba ya Serikali ya Yemen au Houthi ndiyo Serekali ya Yemen mbona sielewi mimi.
Kuna kikundi chochote tofauti na serikali inaweza kutoa tamko wa namna hiyo na serikali ikaa kimya au Yemen ni nchi ya namna gani hiyo
✍️ Kwa sasa Houth ndio Yemen....

✍️ Bado Chadema kuwa One Tz...
 
Kazi kweli kweli!! Huyu Mungu wetu kama kweli yupo huwa Kila siku anacheka sana kwa vituko vya waja wake.
ulikua umbo tumboni wala c chochote wala hukua na hiko kibur ukazaliwa ukawa unajinyea na hukuwa hata na uwezo wa kujizuia kinyesi kisitoke huku ukiwa hujui chochote Ila leo umekua umeshasahau yote unajiona Kama uliumbwa na umli wako huo uliokua nao na maalifa hayo mpaka unadiliki kusema hivi kwel Kama huyu mungu yupo , afya inakudanganya ngoja uumwe japo UTI tu wewe huyo huyo hutomtaja dokta wala kulia dokta bali utalia mungu wangu kizazi cha firauni we.
 
Back
Top Bottom