Waiengereza na wamarekani wapewa siku 30 wawe wameondoka Yemen

Daah! Nisamehe
 
Wacha kufru wewe.
Mpaka leo hii unakula na kushiba na hujajua kuwa Mungu yupo.
Usirudie tena maneno yako hayo.
Kwani Mungu alibeba torori la chakula akampelekea? Nyoe vipi!!! Si anashiba kwa jasho lake? Anahangaika,anapata hera anakula na kushiba. Hapo Mugu huyo anahusikaje?!

Hivi,kwa nini watu wengi mnataka wanzenu waamini mnachokiamini!! Kwamba nyie ndo mna imani za kweli!!!
 
Angalieni hii kenge nayo dah 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…