Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mpe muda wake ili ajisikie amani alafu utaingia JF mpaka upachoke!!
Ndio mana nlikua nasikia harufu kumbe hii thread imeandikiwa chooni.
Ndio mana nlikua nasikia harufu kumbe hii thread imeandikiwa chooni.
pole sana mpe haki yake kwanza wala hutasikia akilalamika tena
Mama watoto wangu ananibana sana, hataki kuniona niko busy na na simu, anasema nichague kimoja, eidha JF au yeye. Ili niingie JF ni lazima niingie toilet, maana kinyume na hapo ni ugomvi mkubwa, simu zinavunjwa na amani inatoweka kwa wiki mbili unaweza usiitikiwe salamu yako.
Buji sinaga nia mbaya ua kucheka... bahati mbaya saana Post zako makes my day... hua nafurahi saaaana. Sasa mmeishia wapi, hataki utumie kabisaaa au anakuruhu walau dakika 30