Mama watoto wangu ananibana sana, hataki kuniona niko busy na na simu, anasema nichague kimoja, eidha JF au yeye. Ili niingie JF ni lazima niingie toilet, maana kinyume na hapo ni ugomvi mkubwa, simu zinavunjwa na amani inatoweka kwa wiki mbili unaweza usiitikiwe salamu yako.
1.kabla hujamucha kwanza anzisha thread ya kutafuta mchumba.mama watoto wangu ananibana sana, hataki kuniona niko busy na na simu, anasema nichague kimoja, eidha jf au yeye. Ili niingie jf ni lazima niingie toilet, maana kinyume na hapo ni ugomvi mkubwa, simu zinavunjwa na amani inatoweka kwa wiki mbili unaweza usiitikiwe salamu yako.
no......ongeza dozi.bujibuji dawa ya mkeo ni kumuongezea mke wa pili.
Subiri wapatikane wakware wenye nafasi na mkeo, wakati wewe ukiangaika na kusoma sredi JFMama watoto wangu ananibana sana, hataki kuniona niko busy na na simu, anasema nichague kimoja, eidha JF au yeye. Ili niingie JF ni lazima niingie toilet, maana kinyume na hapo ni ugomvi mkubwa, simu zinavunjwa na amani inatoweka kwa wiki mbili unaweza usiitikiwe salamu yako.
Subiri wapatikane wakware wenye nafasi na mkeo, wakati wewe ukiangaika na kusoma sredi JF
Mpe muda wake ili ajisikie amani alafu utaingia JF mpaka upachoke!!
Subiri wapatikane wakware wenye nafasi na mkeo, wakati wewe ukiangaika na kusoma sredi JF
Good sign kwamba anakujali na kukupendaMbona masharti rahisi. Mimi siruhusiwi hata kusoma novel kuanzia kwenye gari hadi home niwe napay full attention. Na naona normal tu, mambo yote nafanya ofisini iwe browsing au kusoma. Nikishika kitabu tu kujisomea tukiwa wote ananuna, anasema namchunia. Ndio mapenzi sometimes you have to give too much!
Mama watoto wangu ananibana sana, hataki kuniona niko busy na na simu, anasema nichague kimoja, eidha JF au yeye. Ili niingie JF ni lazima niingie toilet, maana kinyume na hapo ni ugomvi mkubwa, simu zinavunjwa na amani inatoweka kwa wiki mbili unaweza usiitikiwe salamu yako.
Mama watoto wangu ananibana sana, hataki kuniona niko busy na na simu, anasema nichague kimoja, eidha JF au yeye. Ili niingie JF ni lazima niingie toilet, maana kinyume na hapo ni ugomvi mkubwa, simu zinavunjwa na amani inatoweka kwa wiki mbili unaweza usiitikiwe salamu yako.
Mama watoto wangu ananibana sana, hataki kuniona niko busy na na simu, anasema nichague kimoja, eidha JF au yeye. Ili niingie JF ni lazima niingie toilet, maana kinyume na hapo ni ugomvi mkubwa, simu zinavunjwa na amani inatoweka kwa wiki mbili unaweza usiitikiwe salamu yako.
Mwenzangu mie inanichanganya kabisa kwani wa kwangu nilimpatia humuhumu ila ananiambia nichague moja Jf au yeye!