Waif ananibana - Ati nichague JF au yeye

Waif ananibana - Ati nichague JF au yeye

Mama watoto wangu ananibana sana, hataki kuniona niko busy na na simu, anasema nichague kimoja, eidha JF au yeye. Ili niingie JF ni lazima niingie toilet, maana kinyume na hapo ni ugomvi mkubwa, simu zinavunjwa na amani inatoweka kwa wiki mbili unaweza usiitikiwe salamu yako.

du kumbe tuko wengi wa ivo ehhhhee
 
Mbona masharti rahisi. Mimi siruhusiwi hata kusoma novel kuanzia kwenye gari hadi home niwe napay full attention. Na naona normal tu, mambo yote nafanya ofisini iwe browsing au kusoma. Nikishika kitabu tu kujisomea tukiwa wote ananuna, anasema namchunia. Ndio mapenzi sometimes you have to give too much!
 
mama watoto wangu ananibana sana, hataki kuniona niko busy na na simu, anasema nichague kimoja, eidha jf au yeye. Ili niingie jf ni lazima niingie toilet, maana kinyume na hapo ni ugomvi mkubwa, simu zinavunjwa na amani inatoweka kwa wiki mbili unaweza usiitikiwe salamu yako.
1.kabla hujamucha kwanza anzisha thread ya kutafuta mchumba.
2.hata ukiacha jf bado atakwambia acha na kile.
3.eeeh,bwana mtaka cha uvunguni sharti ainame,ikibidi tuagane.
 
Mama watoto wangu ananibana sana, hataki kuniona niko busy na na simu, anasema nichague kimoja, eidha JF au yeye. Ili niingie JF ni lazima niingie toilet, maana kinyume na hapo ni ugomvi mkubwa, simu zinavunjwa na amani inatoweka kwa wiki mbili unaweza usiitikiwe salamu yako.
Subiri wapatikane wakware wenye nafasi na mkeo, wakati wewe ukiangaika na kusoma sredi JF
 
Mbona masharti rahisi. Mimi siruhusiwi hata kusoma novel kuanzia kwenye gari hadi home niwe napay full attention. Na naona normal tu, mambo yote nafanya ofisini iwe browsing au kusoma. Nikishika kitabu tu kujisomea tukiwa wote ananuna, anasema namchunia. Ndio mapenzi sometimes you have to give too much!
Good sign kwamba anakujali na kukupenda
 
Mama watoto wangu ananibana sana, hataki kuniona niko busy na na simu, anasema nichague kimoja, eidha JF au yeye. Ili niingie JF ni lazima niingie toilet, maana kinyume na hapo ni ugomvi mkubwa, simu zinavunjwa na amani inatoweka kwa wiki mbili unaweza usiitikiwe salamu yako.

mbona huonekani mjomba?
 
Mama watoto wangu ananibana sana, hataki kuniona niko busy na na simu, anasema nichague kimoja, eidha JF au yeye. Ili niingie JF ni lazima niingie toilet, maana kinyume na hapo ni ugomvi mkubwa, simu zinavunjwa na amani inatoweka kwa wiki mbili unaweza usiitikiwe salamu yako.

Nikwambie kitu! Chagua JF!
 
Mama watoto wangu ananibana sana, hataki kuniona niko busy na na simu, anasema nichague kimoja, eidha JF au yeye. Ili niingie JF ni lazima niingie toilet, maana kinyume na hapo ni ugomvi mkubwa, simu zinavunjwa na amani inatoweka kwa wiki mbili unaweza usiitikiwe salamu yako.

kumbe tuko wengi
 
Mwenzangu mie inanichanganya kabisa kwani wa kwangu nilimpatia humuhumu ila ananiambia nichague moja Jf au yeye!
 
Ndoa ndoana, ukishikwa shikamana. Vipi wewe unataka kushikamana na JF? Hebu acha noma bwana.
 
Back
Top Bottom