Waifu kanisamehe kikweli kweli au?

Waifu kanisamehe kikweli kweli au?

Dada yangu kinachosababisha nipige kazi za nje ni tabia ya waifu wangu.
Yaani ni mtu wa kununa nuna tu, mara nyingi huwa ni mkali sana.
Nampenda sana lakini pia nahitaji 'peace of mind'.
Amekuwa tofauti na kipindi kile cha uchumba, yeye ndo kama baba mwenye nyumba.

kutoka nje sio suluhisho la matatizo ya ndoa!
 
Leo mi kazi yangu leo ni moja tu.....kamata hiyo!




The Following User Says Thank You to Baba_Enock For This Useful Post:

Asprin (Today)

Hivi katibu yuko wapi? Au anataka kusimamishwa kazi kama Kaijage wa TFF
 
sbb mie ni mkristo nakubali kuwa bible inasema kuwa mume ni kichwa.
lkn huo ukichwa wake unahusiana nini na kuisliti ndoa!!
yaani hata akisaliti ndoa atumie hii kujitetea noo way!
ingekua mie ndo mke wa ndibalema ningeweza "kumsamehe" baada ya kumfundisha adabu kidogo lkn akijitetea kwa maneno uliyotamka hapa nisingemsamehe!

Cheusi acha ubishi basi mpenzi. Hebu msome baba Enock vizuri na umwelewe. Sawa mama?
 
utakomaaa! unalo hilo huyo hajakusamehe hatakidogo,cha kufanya inabidi uanzishe ugomvi wowote ule ili uone atakumbushia?akikumbushia tu jua alikusamehe la sivyo imekula kwako na ubazazi wako huo,
 
dah dadangu umeongea ya ukweli
bt wantia hofu sasa apo penye red..kuolewa issue enh?mbona vilio daily jaman?
mi uyo nisingemfanya kitu ni kutafuta line ingne namimi mwendo mdudo kuanzia kwa shirima muuza duka mpak mpemba wa genge ili tu nipoze hasira...dah inakera

katika tukio km ilo 2b honest haina haja ya kugomba..sasa unagomba nin wakat km gemu washamaliza na ngome yao washaijenga?
ni kumchora tu..ahh baba cheap yako i...sjui akianza unajua...unajua mwambie tu plsss sjaomba clarification wala maelezo ya aina yote then unampiga flat...aftr whle mkalishe chn akwambie kwa kina on y n hw ameipeleka nje iyo mambo?najua hatakuwa na maelezo ya kukupa yaliyoshba zaid ya kujiuma uma

hapo sasa wengi wao ndio huishia kuharibu kabisa,ni bora utafute mbadala mwingine....mjue tu ndoa ngumu.
 
Dada yangu kinachosababisha nipige kazi za nje ni tabia ya waifu wangu.
Yaani ni mtu wa kununa nuna tu, mara nyingi huwa ni mkali sana.
Nampenda sana lakini pia nahitaji 'peace of mind'.
Amekuwa tofauti na kipindi kile cha uchumba, yeye ndo kama baba mwenye nyumba.

Wanawake wengi wanatabia hii ya kubadilika pindi wakisha olewa.

Kipindi cha uchumba unaweza ukawa unaogeshwa na kupakwa mafuta lakini akisha izoea nyumba dah salaleeeeeee

Ndo maana wazee wanasema maisha ya uchumba ni matamu sana kuliko ya ndoa.
 
Dada yangu kinachosababisha nipige kazi za nje ni tabia ya waifu wangu.
Yaani ni mtu wa kununa nuna tu, mara nyingi huwa ni mkali sana.
Nampenda sana lakini pia nahitaji 'peace of mind'.
Amekuwa tofauti na kipindi kile cha uchumba, yeye ndo kama baba mwenye nyumba.

Wala usimlaumu, kuna kipindi niliwahi kuona kwenye TV, mchungaji mmoja alisema,....'Wanaume msiwalalamikie wanawake/wake zenu, tatizo ni kwamba mmeacha kufanya wajibu wenu! Mmejisahau mpaka sasa wanawake ambao mwanzoni walionekana viumbe dhaifu, wanaanza kung'ang'ania nafasi za uongozi, wanalisha nyumba, wanalipa ada za watoto, na kufanya mambo mengi ambayo zamani walikuwa hawafanyi..."!

Inawezekana unamuona mkali coz somewhere somehow umejisahau, so she has to take the role......
 
sbb mie ni mkristo nakubali kuwa bible inasema kuwa mume ni kichwa.
lkn huo ukichwa wake unahusiana nini na kuisliti ndoa!!!

Na ndo maana mme anatongoza kisha anakuja kuonekana kwenu.

Fikiria ww ndo uende ukatoe posa kwa mwanaume inakuja kweli?

Kwa hiyo mme akiwa kama kichwa cha familia anao uhuru wa kumega kazi za nje atakavyo pindi anapo ona mke wake anaelemewa.
 
hebu

sikilizeni hiyo itawasaidia kidogo especially you ndibalema n co.
 
Last edited by a moderator:
Wanawake wengi wanatabia hii ya kubadilika pindi wakisha olewa.

Kipindi cha uchumba unaweza ukawa unaogeshwa na kupakwa mafuta lakini akisha izoea nyumba dah salaleeeeeee

Ndo maana wazee wanasema maisha ya uchumba ni matamu sana kuliko ya ndoa.

sasa na nyie nanyi mmezidi, alikuwa wa blue kawa wa njano? uogeshwe wewe, bado watoto watatu hawajaoga, hawajala...mwingine umasaidie homework, huku mwingine skirt ya shule imechanika pindo inatakiwa ishonwe, humu baba anataka umbebe umpeleke kitanda akalale....amekuwa punda huyo mwanamke, mjue tu mchumba ilikuwa bado hamjaingia kwenye majukumu ya kifamilia kama mlivyoingia kwenye ndoa....
 
Wanawake wengi wanatabia hii ya kubadilika pindi wakisha olewa.

Kipindi cha uchumba unaweza ukawa unaogeshwa na kupakwa mafuta lakini akisha izoea nyumba dah salaleeeeeee

Ndo maana wazee wanasema maisha ya uchumba ni matamu sana kuliko ya ndoa.

Ulizoea kuitwa honey sweet potato, sweet pie sasa hivi unaitwa "Yaani hili lijanaume linanikera kweli"
 
Na ndo maana mme anatongoza kisha anakuja kuonekana kwenu.

Fikiria ww ndo uende ukatoe posa kwa mwanaume inakuja kweli?

Kwa hiyo mme akiwa kama kichwa cha familia anao uhuru wa kumega kazi za nje atakavyo pindi anapo ona mke wake anaelemewa.

Mkurugenzi unazidi kunifurahisha.
 
Msaada wenu wa mawazo please.
Juzi Nimerudi kutoka safari ya kikazi na kwa bahati mbaya wife ameibamba sim card yangu ya siri(ambayo yeye alikuwa haijui)
Kwenye hiyo laini kuna sms za hatari amezikuta ambazo mtu mzima nimeshindwa kabisa kujitetea kwani mambo ni hadharani.
Ikabidi nimwombe radhi wife na nikamwambia ni shetani tu.
Cha ajabu wife wangu ambaye ni mtata sana akanisamehe kirahisi sana bila kuleta songombingo.
Wakati sio kawaida yake kwani siku za nyuma kama akitilia shaka jambo hata kama si la kweli basi moto wake si wa kitoto.
Jamani hivi wife kanisamehe kikweli kweli au anapanga 'revenge' ambayo nitakiona cha moto?
Au na yeye yapo mabaya yake hivyo kaona ngoma ndroo haina haja ya kulianzisha?
Mwenzenu nina hofu kweli.

Hapo kwenye red, ndo kama naona pana ukweli vile!si mazoea kwa wanawake wlio wengi kukaa kimya hivyo, huwa wanalipuka kama petrol kwenye swaga za dizaini hiyo!
 
Na ndo maana mme anatongoza kisha anakuja kuonekana kwenu.

Fikiria ww ndo uende ukatoe posa kwa mwanaume inakuja kweli?

Kwa hiyo mme akiwa kama kichwa cha familia anao uhuru wa kumega kazi za nje atakavyo pindi anapo ona mke wake anaelemewa.

Ni kama vile ujenge sehemu ambayo haistahili ingawa ulipewa kiwanja basi wanakuvunjia na fidia unalipwa
 
Na ndo maana mme anatongoza kisha anakuja kuonekana kwenu.

Fikiria ww ndo uende ukatoe posa kwa mwanaume inakuja kweli?


Kwa hiyo mme akiwa kama kichwa cha familia anao uhuru wa kumega kazi za nje atakavyo pindi anapo ona mke wake anaelemewa.

ulivyoongea hapo nilipopigia mstari ni sawa lkn ni tofauti na usaliti.hakuna mke analemewa na mumewe,na kichwa cha nyumba kina wajibu wakuimarisha upendo na furaha ktk ndoa sio kuivuruga kwa kutoka nje!
acheni kutetea KUSALITI NDOA ZENU mnatuolea nini kama mnatukosea huruma kwa kutusaliti!
laiti mngejua inavyouma hata msingesema uwiii acha tu jamani.
mkitulia tutakua viumbe wenye furaha sana!
 
sasa na nyie nanyi mmezidi, alikuwa wa blue kawa wa njano?...

Alafu kuna mdau hapa alisema wanawake wengi huwa wanapoteza hamu mapema kuliko wanaume.

Sasa mwanaume akisha gundua hilo hapati manjonjo kama zamani akijitafutia dogo dogo nje kama 5 hivi zitakuwa zinamridhisha yaani hapo anakuwa na sampuli tofauti anakuwa na mwembamba, bonge, mrefu, mwenye wowowo na mfupi kwa hiyo akijisikia njaa na mwenye wowowo basi anacall tu anaenda kuburudika akifika home ni kugeukia ukutani au pembeni basi kumekucha.
Tatizo ni nyie kujisahau sana
 
Ndibalema:

Ukitaka kuhakikisha kama Wife amekusamehe fanya yafuatayo:

1. Nunua cellphone nyingine
2. Weka hiyo line yako ya "siri"
3. Save jina "halisi" la huyo "mpenzi wa siri" kwenye phonebook ya hiyo simu
4. Hakikisha wife yupo around : probably baada ya kazi afte dinner/supper
5. Mbeep huyo "mpenzi wa siri" au mtumie "please call me"
6. Halafu acha hiyo simu kwenye "arm reach ya wife" na utoke nje for few minutes
7. Obviously "mpenzi wasiri" ataku-call back while upo nje na wife anaweza kuangalia with confidence "who is the caller"
8. Ukirudi ndani nakuhakikishia utapata kujua kama MSAMAHA ni wa KWELI!!!!!!!!!!
 
Msaada wenu wa mawazo please.
Juzi Nimerudi kutoka safari ya kikazi na kwa bahati mbaya wife ameibamba sim card yangu ya siri(ambayo yeye alikuwa haijui)
Kwenye hiyo laini kuna sms za hatari amezikuta ambazo mtu mzima nimeshindwa kabisa kujitetea kwani mambo ni hadharani.
Ikabidi nimwombe radhi wife na nikamwambia ni shetani tu.
Cha ajabu wife wangu ambaye ni mtata sana akanisamehe kirahisi sana bila kuleta songombingo.
Wakati sio kawaida yake kwani siku za nyuma kama akitilia shaka jambo hata kama si la kweli basi moto wake si wa kitoto.
Jamani hivi wife kanisamehe kikweli kweli au anapanga 'revenge' ambayo nitakiona cha moto?
Au na yeye yapo mabaya yake hivyo kaona ngoma ndroo haina haja ya kulianzisha?
Mwenzenu nina hofu kweli.

Mkuu Ndiba, usikonde wala nini, shem amekusamehe na roho yake iko kwatuuuuu, ila achana kabisa na tabia hiyo maana atakufuatilia kubaini kama ataendelea na hivyo V-sms au kweli ni shetani alikutuma!!!
 
Back
Top Bottom